iqna

IQNA

“ Laylatul Qadri (Usiku wa Cheo Kitukufu) ni bora kuliko miezi elfu”. Hii aya ya 3 ya Surat Al-Qadr katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3475158    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/23

TEHRAN (IQNA)- Msomi mmoja wa Iraq ametoa wito kwa jamii ya kimataifa na nchi za Kiislamu kuchukua hatua za kuzuia vitendo vya kuvunjia heshima dini na matukufu ya kidini.
Habari ID: 3475149    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/21

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa wito kwa Umma mzima wa Kiislamu kuanzisha harakati kubwa zaidi dhidi ya kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Sweden.
Habari ID: 3475143    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Vituo vya Kiislamu Ulaya imelaani kitendo cha kuvunjiwa heshim Qur'ani Tukufu nchini Sweden hivi karibuni.
Habari ID: 3475139    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/18

TEHRAN (IQNA)- Waislamu na wapenda haki nchini Sweden wameendeleza maandamano kwa siku ya nne mfululizo kulalamikia mpango wa kuchoma moto nakala za Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3475138    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/18

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi mdogo wa Sweden mjini Tehran na kumfahamisha kuhusu malalamiko makali ya Iran kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na kundi moja lenye misimamo mikali nchini Sweden katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475136    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/18

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema serikali ya Sweden inapaswa kuwajibika kuhusu kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3475132    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/17

TEHRAN (IQNA)- Raundi ya kwanza ya Mashindano ya 45 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran imepengwa kufanyika katika miezi ya Juni na Julai.
Habari ID: 3475111    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/11

TEHRAN (IQNA)-Warsha imefanyika nchini Uganda kuhusu kuifahamu Qur'ani Tukufu na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475103    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/09

TEHRAN (IQNA) – Mashindano maalumu ya Qur’ani Tukufu na adhana yanaendelea katika mji wa Jeddah, Saudi Arabia ambapo zawadi zenye thamani ya dola milioni 3.2 zitatunukiwa washindi.
Habari ID: 3475099    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Ramadhani ni mwezi wa ugeni na rehema zisizo na kikomo za Mwenyezi Mungu, na kwamba kutakasa nafsi, kuanisika kunakoambata na kutafakari kwa kina na kuelewa vyema Qur'ani ni miongoni mwa mambo muhimu yanayomuwezesha mwanadamu kufaidika na ugeni huo wa Mola Karima.
Habari ID: 3475094    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/04

TEHRAN (IQNA) – Maktaba ya Kitaifa ya Qatar (QNL) inapanga kuandaa matukio kadhaa ya mtandaoni yaliyotolewa kwa ajili ya utafiti wa Misahafu.
Habari ID: 3475086    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/29

TEHRAN (IQNA) - Washindi wa shindano la 36 la kitaifa la kuhifadhi Qur'ani nchini Nigeria walitunukiwa zawadi katika hafla ya kufunga Jumamosi.
Habari ID: 3475081    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/27

TEHRAN (IQNA)- Huku Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ukikaribia, wanafunzi 700 wamehitimu somo la kuhifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu ambapo wote waliofuzu watatumwa katika misikiti mbali mbali nchini humo.
Habari ID: 3475071    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/24

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani nchini Mauritania yatafanyika katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3475040    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/14

TEHRAN (IQNA) - Qari wa Qur'ani Tukufu wa Iran anayetambulika kimataifa alisisitiza umuhimu wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran katika kukabiliana na propaganda dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3475008    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/05

TEHRAN (IQNA)- Mtaalamu wa masuala ya Qur'ani kutoka Morocco amepongeza utaratibu bora katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran mwaka huu.
Habari ID: 3475007    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/05

TEHRAN (IQNA) – Mtaalamu wa Qur'ani Tukufu wa Jordan ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutositisha mashindano yake ya kimataifa ya Qur'ani pamoja na kuwepo janga la corona.
Habari ID: 3475006    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/04

TEHRAN (IQNA)- Duru ya 22 yla shindano la Qur'ani kwa vijana wa kike lilihitimishwa Jumatano huko Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3475000    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/03

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Wakfu na Masuala ya Kidini Algeria amesisitiza kuhusu nafasi muhimu ya misikiti katika kuzuia misimamo mikali ya kidini na utumiaji mabavu.
Habari ID: 3474962    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/22