iqna

IQNA

palestina
Watetezi wa Palestina
TEHRAN (IQNA) -Makumi kwa maelfu ya waandamanaji wanaounga mkono Palestina waliandamana nchini Uingereza Jumamosi wakitaka kusitishwa kwa mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na jeshi katili la Israel dhidi ya Wa palestina katika Ukanda wa Ghaza. Mbali na Uingereza, maandamano kama hayo yamefanyika pia Ufaransa na Uswisi.
Habari ID: 3477810    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/29

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo ya simu aliyofanya na Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad bin Khalifa Al Thani kwamba, leo taifa la Palestina linahitaji zaidi uungaji mkono athirifu wa walimwengu na hasa wa nchi za Kiislamu kuliko wakati wowote ule.
Habari ID: 3477809    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/29

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Sambamba na kuanza operesheni ndogo ya nchi kavu ya jeshi katili la utawala haramu Israel kwa lengo la kujipenyeza Ghaza usiku wa kuamkia leo, zaidi ya raia 100 Wa palestina wameuawa shahidi huku utawala huo ukilaaniwa kote duniani kwa kutekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wa palestina . Hayo yamejiri huku Umoja wa Mataifa ukitaka vita visitishwe mara moja.
Habari ID: 3477800    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/28

Kadhia ya Palestina
LONDON (IQNA) - Wazayuni hawawakilishi Uyahudi na wanataka "kuwaangamiza" watu wa Palestina, kuhani mwenye makao yake nchini Uingereza anasema huku kukiwa na mashambulizi ya Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza yakiwa yamesababisha vifo vya zaidi ya Wa palestina 7,000 wengi wakiwa ni wanawake, watoto na wazee.
Habari ID: 3477793    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27

Kimbunga cha Al Aqsa
AL-QUDS (IQNA) - Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limesema hadi sasa takriban watoto 2,360 walikuwa wameuawa katika mashambulizi ya anga ya  utawala wa Israel huko Gaza, na kubainisha masikitiko yake kuhusu idadi "ya kushtua" ya watoto waliojeruhiwa katika eneo hilo lililozingirwa.
Habari ID: 3477791    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/26

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu (WFPIST) ametoa wito kwa maafisa wa nchi za Kiislamu kuiunga mkono Palestina kwa vitendo badala ya kutoa matamshi tu ya kulaani.
Habari ID: 3477789    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/26

Taarifa Muhimu
TEHRAN (IQNA) –Wahadhiri 9,200 wa vyuo vikuu vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamelaani vikali ukatili wa utawala dhalimu wa Israel katika eneo la Palestina lililozingirwa la Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477783    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/24

AL-QUDS (IQNA) - Shambulio la anga la Israel limepiga  msikiti mmoja huko Jenin, eneo linalokaliwa kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi, huku kukiwa na mashambulizi ya mabomu katika Ukanda wa Gaza ambayo yamegharimu maisha ya zaidi ya Wa palestina 4,300. 
Habari ID: 3477776    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/23

Leo, maelfu ya akina mama wa Iran pamoja na watoto wao wameshiriki katika mikusanyiko mingi iliyofanyika kote nchini, kwa ajili ya kuwaunga mkono wananchi wa Gaza na kulaani jinai za utawala wa Israel wa mauaji ya watoto.
Habari ID: 3477768    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/21

Katika siku ya 14 ya uvamizi wa Israeli dhidi ya Ghaza, jeshi linaloikalia kwa mabavu la utawala wa Kizayuni liliendelea kushambulia kwa mabomu maeneo ya makazi ya watu, jambo ambalo lilipelekea makumi ya watu kuuawa shahidi, Kuendelea kushambuliwa kwa mabomu huko Gaza kumesababisha mashahidi 3,785 na zaidi ya 12,000 kujeruhiwa, wengi wao wakiwa watoto na wanawake.
Habari ID: 3477767    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/21

TEHRAN (IQNA) - Mwakilishi wa harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina mjini Tehran alitoa wito kwa ulimwengu wa Kiislamu kukusanya nguvu zake zote ili kukabiliana na utawala wa Israel.
Habari ID: 3477763    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/19

TEHRAN (IQNA) - Kufuatia mawimbi ya hivi karibuni ya jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya watu wa Ghaza, hususan shambulio lake katika hospitali iliyoua takriban watu 500, kaburi la Imam Reza (AS) Lilinyanyua bendera nyeusi tarehe 18 mwezi Oktoba.
Habari ID: 3477761    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/19

AL-QUDS (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamasi Ismail Haniyeh alielezea Operesheni ya Kimbunga cha ya Al-Aqsa iliyoanzishwa na vikosi vya upinzani huko Gaza dhidi ya utawala wa Kizayuni kama kushindwa kwa kimkakati kwa Maadui.
Habari ID: 3477748    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/17

NAIROBI (IQNA) - Waislamu wa Kenya wameitaka serikali ya nchi hiyo ya Kiafrika kuvunja uhusiano na utawala wa Israel kutokana na mauaji yake ya watu wasio na hatia katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477745    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/17

BEIRUT (IQNA) - Naibu katibu mkuu wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon alisisitiza uungaji mkono wa mapambano kati ya watu katika nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3477743    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/17

Kimbunga cha Al-Aqsa
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa juu wa kidini wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq ametoa mwito kwa Waislamu kote duniani kuwaunga mkono, kuwahami na kuwasaidia wananchi wa Palestina, wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kufanya mashambulizi ya kikatili dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477709    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/10

GAZA (IQNA) - Tangu kuanza kwa mashambulizi ya kijeshi ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza tarehe 7 Oktoba, utawala huo dhalimu umeshambulia kwa mabomu na kuharibu misikiti saba katika eneo hilo la Palestina lililozingirwa.
Habari ID: 3477708    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/10

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema utawala wa Kizayuni wa Israel utachapwa "kibao kikali zaidi" kwa mauaji inayoendelea kufanya dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza iliouwekea mzingiro.
Habari ID: 3477707    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/10

TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Hamas amepongeza operesheni ya hivi karibuni iliyozinduliwa Gaza kama sura mpya katika makabiliano dhidi ya wavamizi wa Israeli.
Habari ID: 3477703    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/09

TEHRAN (IQNA) –Wananchi wa jiji la Tehran wamekusanyika mbele ya ubalozi wa Palestina kusherehekea ushindi wa kihistoria waliopata wanapambano wa Palestina katika shambulio kubwa walilofanya jana Jumamosi dhidi ya Wazayuni.
Habari ID: 3477700    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/08