iqna

IQNA

Wiki ya Umoja
IQNA- Toleo la 38 la Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu litaanza katika mji mkuu wa Iran siku ya Alhamisi, wakati wa Wiki ya Kimataifa ya Umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3479435    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14

Umoja wa Kiislamu
IQNA: Tukio hilo lililopewa jina la "Katika Mapenzi ya Mtume," lilifanyika usiku wa kuamkia Ijumaa katika Uwanja wa Mtume Muhammad (SAW) ulio katika Haram ya Imam Ridha (AS) kuashiria kuanza kwa Wiki ya Umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3479425    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/13

Jinai za Israel
IQNA - Apple, YouTube na majukwaa mengine ya vyombo vya habari yamehimizwa na kikundi cha kutetea Waislamu cha Marekani kufuta podikasti ya kila wiki ya Wazayuni Waisraeli ya lugha ya Kiingereza ambayo husifu mauaji ya kimbari ya Wa palestina huko Gaza.
Habari ID: 3479385    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/05

Watetezi wa Palestina
IQNA - Takriban watu milioni moja walikusanyika katika mji mkuu wa Yemen wa Sana'a siku ya Ijumaa ili kuelezea mshikamano wao na Wa palestina huko Gaza na pia kulaani jinai ya wanajeshi wa Israel ya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479356    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/31

IQNA-Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inaunga mkono makubaliano yoyote ambayo yanakubaliwa na Wa palestina na muqawama.
Habari ID: 3479348    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/29

Harakati za Qur'ani
IQNA – Kikao cha kuhitimisha Qur’ani kimefanyika huko Nablus, Ukingo wa Magharibi Palestina, wikendi hii iliyopita.
Habari ID: 3479342    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/28

Kadhia ya Palestina
IQNA - Washiriki katika mkutano wa kimataifa huko Karbala, Iraq wamesisitiza haja ya mshikamano na watu wa Palestina na kususia utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3479278    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/14

Watetezi wa Palestina
IQNA - Kundi la kutetea haki za Waislamu Marekani limetangaza kesi dhidi ya serikali ya shirikisho kwa kuwaweka Wa palestina -Wamarekani wawili kwenye orodha ya siri ya kufuatiliwa kutokana na msimamo wao wa kuwaunga mkono Wa palestina wanaoteswa na Israel huko Gaza.
Habari ID: 3479272    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/13

Jinai Israel
IQNA - Jeshi la Israel lilifanya mashambulizi ya anga dhidi ya shule moja katikati mwa Mji wa Gaza wakati Wa palestina waliokimbia makazi yao walipokuwa wakiswali alfajiri, na kuua takriban watu 100.
Habari ID: 3479256    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10

Kadhia ya Palestina
IQNA-Nasser Kan'ani, msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran, ametoa wito kwa serikali za Kiislamu kuunga mkono haki za Wa palestina kwa ufanisi zaidi.
Habari ID: 3479233    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/05

Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza ushujaa wa wananchi wanaodhulumiwa na wenye nguvu wa Ghaza na kusema: Leo bendera ya juu kabisa ya Uislamu iko mikononi mwa watu wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479202    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/30

Kadhia ya Israel
IQNA - Wa palestina na nchi za Kiislamu hazina budi ila kuonyesha upinzani dhidi ya uhalifu na uvamizi wa Israel, anasema mchambuzi wa kisiasa wa Palestina.
Habari ID: 3479176    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/23

Kadhia ya Palestina
IQNA-Harakati ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, yenye makao yake huko Gaza imesema imetia saini makubaliano mjini Beijing na makundi mengine ya Palestina, ikiwa ni pamoja na Fat'h, kufanya kazi pamoja kwa ajili ya "umoja wa kitaifa."
Habari ID: 3479173    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/23

Kadhia ya Palestina
Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imetangaza kwamba kuendelea kuwepo kwa utawala wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni kinyume cha sheria na kunapaswa kukomeshwa "haraka iwezekanavyo."
Habari ID: 3479152    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/20

Utawala wa Kizayuni
Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ametoa aya za Qur'ani Tukufu na kusisitiza kwamba mwisho wa utawala mbovu wa Israel utakuja mapema zaidi kuliko baadaye.
Habari ID: 3479139    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/17

Kadhia ya Palestina
Vikosi vya utawala katili wa Kizayuni wa Israel vimefanya mashambulizi ya kikatili dhidi ya kambi ya wakimbizi ya al-Mawasi karibu na mji wa Khan Younis, kusini mwa Gaza na kuua Wa palestina wasiopungua 90.
Habari ID: 3479120    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14

Kadhia ya Palestina
Anwar El Ghazi ameshinda kesi dhidi ya klabu ya Ujerumani ya Bundesliga Mainz 05, ambayo ilikatisha kandarasi yake kwa kuunga mkono Palestina, kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya Ujerumani.
Habari ID: 3479119    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14

Kuiunga Mkono Palestina
Zaidi ya watu milioni moja walishiriki katika maandamano huko Sanaa, mji mkuu wa Yemen, siku ya Ijumaa ili kuthibitisha mshikamano wao na watu wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479118    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/13

Kadhia ya Palestina
Takriban miili 60 imegunduliwa katika kitongoji cha Tal al-Hawa kusini mwa Mji wa Ukanda wa Gaza kufuatia kuondolewa kwa wanajeshi wa utawala huo katili wa Israel katika eneo hilo.
Habari ID: 3479114    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/13

Kadhia ya Palestina
Njaa imetanda katika Ukanda wa Gaza baada ya zaidi ya miezi tisa ya vita vya mauaji ya halaiki ya Israel kwenye eneo la pwani ya Palestina, kundi la wataalamu huru wa Umoja wa Mataifa wanaonya.
Habari ID: 3479106    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/11