iqna

IQNA

Kadhia ya Israel
IQNA - Wa palestina na nchi za Kiislamu hazina budi ila kuonyesha upinzani dhidi ya uhalifu na uvamizi wa Israel, anasema mchambuzi wa kisiasa wa Palestina.
Habari ID: 3479176    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/23

Kadhia ya Palestina
IQNA-Harakati ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, yenye makao yake huko Gaza imesema imetia saini makubaliano mjini Beijing na makundi mengine ya Palestina, ikiwa ni pamoja na Fat'h, kufanya kazi pamoja kwa ajili ya "umoja wa kitaifa."
Habari ID: 3479173    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/23

Kadhia ya Palestina
Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imetangaza kwamba kuendelea kuwepo kwa utawala wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni kinyume cha sheria na kunapaswa kukomeshwa "haraka iwezekanavyo."
Habari ID: 3479152    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/20

Utawala wa Kizayuni
Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ametoa aya za Qur'ani Tukufu na kusisitiza kwamba mwisho wa utawala mbovu wa Israel utakuja mapema zaidi kuliko baadaye.
Habari ID: 3479139    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/17

Kadhia ya Palestina
Vikosi vya utawala katili wa Kizayuni wa Israel vimefanya mashambulizi ya kikatili dhidi ya kambi ya wakimbizi ya al-Mawasi karibu na mji wa Khan Younis, kusini mwa Gaza na kuua Wa palestina wasiopungua 90.
Habari ID: 3479120    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14

Kadhia ya Palestina
Anwar El Ghazi ameshinda kesi dhidi ya klabu ya Ujerumani ya Bundesliga Mainz 05, ambayo ilikatisha kandarasi yake kwa kuunga mkono Palestina, kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya Ujerumani.
Habari ID: 3479119    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14

Kuiunga Mkono Palestina
Zaidi ya watu milioni moja walishiriki katika maandamano huko Sanaa, mji mkuu wa Yemen, siku ya Ijumaa ili kuthibitisha mshikamano wao na watu wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479118    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/13

Kadhia ya Palestina
Takriban miili 60 imegunduliwa katika kitongoji cha Tal al-Hawa kusini mwa Mji wa Ukanda wa Gaza kufuatia kuondolewa kwa wanajeshi wa utawala huo katili wa Israel katika eneo hilo.
Habari ID: 3479114    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/13

Kadhia ya Palestina
Njaa imetanda katika Ukanda wa Gaza baada ya zaidi ya miezi tisa ya vita vya mauaji ya halaiki ya Israel kwenye eneo la pwani ya Palestina, kundi la wataalamu huru wa Umoja wa Mataifa wanaonya.
Habari ID: 3479106    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/11

IQNA - Mpango wa kibinadamu kwa Palestina na Ukanda wa Gaza  kwa ajiri ya kuwaunga mkono Wa palestina  ulizinduliwa nchini Malaysia siku ya Jumatano.
Habari ID: 3479072    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/05

Kadhia ya Palestina
Wanaharakati wa kitamaduni na wasanii wa nchi za Magharibi wamekabiliwa na matatizo baada ya kueleza mshikamano wao na Gaza na kuchukua misimamo dhidi ya vita vya mauaji ya kimbari ya Israel.
Habari ID: 3479065    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/04

Chama tawala Australia
Chama cha Labour cha Australia kimemsimamisha Seneta Fatima Payman kushiriki katika mikutano yake ya kundi la Seneti kwa muda usiojulikana baada ya kuunga mkono hoja ya Chama cha Kijani cha kuitambua Palestina kama taifa huru.
Habari ID: 3479056    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/03

Muungano wa makundi ya Waislamu wa Marekani ulisisitiza kuwa Joe Biden na Donald Trump ni "wagombea walio na dosari mbaya," wakibainisha kwamba utawala ujao unapaswa kuweka "utakaso wa kikabila wa Wa palestina " kama mstari wake mwekundu.
Habari ID: 3479047    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/01

Kadhia ya Palestina
Mkurugenzi wa Hospitali ya Al-Shifa ya Gaza, Dk. Muhammad Abu Salmiya, aliachiliwa kutoka kizuizini cha Israeli siku ya Jumatatu baada ya kipindi cha miezi saba.
Habari ID: 3479045    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/01

Kadhia ya Palestina
Shirika la Euro-Mediterranean Human Rights Monitor limepokea ripoti kwamba vikosi vya utawala katili wa Israel vinahusika katika "mauaji yaliyoenea" katika vitongoji vya Shujayea na Jdaida katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479034    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/30

Kadhia ya Palestina
Vikosi vya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas vimelipua vifaru vya jeshi la utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza kwa kutumia mabomu yaliyotekwa kutoka wanajeshi wa Israel.
Habari ID: 3479028    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/29

Katibu wa mkutano wa kimataifa kuhusu "Miaka 75 ya Uvamizi huko Palestina" alisema karatasi 300 za lugha 6 zimewasilishwa kwenye mkutano huo.
Habari ID: 3479027    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/29

Kadhia ya Palestina
Mama Muislamu na watoto wake walikua wahasiriwa wa madai ya jaribio la mauaji katika kidimbwi cha kuogelea cha ghorofa huko Euless, Texas.
Habari ID: 3478999    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/22

Kadhia ya Palestina
IQNA-Marekani na utawala wa Kizayuni zinatekeleza sera ya njaa katika Ukanda wa Gaza ili kuhakikisha Wa palestina wa eneo hilo wanaagamia kutokana na ukosefu wa chakul, maafisa katika eneo hilo la Palestina walisema.
Habari ID: 3478990    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/20

Kadhia ya Palestina
IQNA-Makumi ya maelfu ya Wa palestina wameshiriki katika Swala ya Iddul Adh'ha iliyosaliwa leo kwenye Msikiti wa al-Aqsa mjini Baitul Muqaddas, licha ya kuwekewa vizuizi na kukabiliwa na hatua kali za kiusalama zilizochukuliwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika mji huo unaoukalia kwa mabavu.
Habari ID: 3478971    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/16