iqna

IQNA

Siasa
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, chimbuko la matatizo ya eneo la Asia Magharibi ni mataifa kama Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya zinazodai kwa uwongo kwamba, zinataka amani na utulivu.
Habari ID: 3479525    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/02

Kiongozi Muadhamu
IQNA- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonana na wanaharakati wa Vita vya Kujihami Kutakatifu na Muqawama na kusisitiza kuwa, kambi ya Muqawama ya Palestina na Hizbullah ya Lebanon ndiye mshindi katika Jihadi kwa njia ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479490    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/26

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mufti Mkuu wa Oman, aliyekosolewa na baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii kutokana na uungaji mkono wake kwa Palestina, amepata uungwaji mkono na mshikamano kutoka kwa wengine wengi.
Habari ID: 3479485    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/25

Watetezi wa Haki
IQNA -Maandamano yamefanyika nchini Kanada kulaani vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza na Lebanon.
Habari ID: 3479481    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/24

Jinai za Israel
IQNA-Rais Gustavo Petro wa Colombia amelaani kimya kinachoonyeshwa kwa vita vya kinyama vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza, na kusisitiza kwamba mauaji ya kimbari yanafanyika huko Palestina.
Habari ID: 3479474    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23

IQNA - Kongamano la 38 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu lilimalizika Jumamosi huku washiriki wakisisitiza umoja katika taarifa yao ya mwisho kama suluhu pekee la kusitisha ukatili wa Israel.
Habari ID: 3479470    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/22

Maulidi
IQNA – Hafla maalumu ya kusoma Qur'ani ilifanyika mjini Al-Khalil katika Masjid Ibrahimi kwa mnasaba wa Milad-un-Nabi au Maulidi ambayo ni maadhimisho ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtukufu Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3479444    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/16

Muqawama
IQNA – Wananchi wa Palestina katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem)wamehimizwa na makundi mbalimbali kuzuru Msikiti wa Al-Aqsa kwa wingi katika mnasaba wa Milad –un-Nabi
Habari ID: 3479443    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/16

Waungaji mkono Palestina
IQNA - Harakati mashuhuri ya Yemen ya Ansarullah imesambaza video na picha za sherehe za Maulid ya Mtume Mtukufu (SAW) zilizofanyika kwenye sitaha ya meli ya utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3479439    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/15

Wiki ya Umoja
IQNA- Toleo la 38 la Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu litaanza katika mji mkuu wa Iran siku ya Alhamisi, wakati wa Wiki ya Kimataifa ya Umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3479435    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14

Umoja wa Kiislamu
IQNA: Tukio hilo lililopewa jina la "Katika Mapenzi ya Mtume," lilifanyika usiku wa kuamkia Ijumaa katika Uwanja wa Mtume Muhammad (SAW) ulio katika Haram ya Imam Ridha (AS) kuashiria kuanza kwa Wiki ya Umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3479425    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/13

Jinai za Israel
IQNA - Apple, YouTube na majukwaa mengine ya vyombo vya habari yamehimizwa na kikundi cha kutetea Waislamu cha Marekani kufuta podikasti ya kila wiki ya Wazayuni Waisraeli ya lugha ya Kiingereza ambayo husifu mauaji ya kimbari ya Wa palestina huko Gaza.
Habari ID: 3479385    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/05

Watetezi wa Palestina
IQNA - Takriban watu milioni moja walikusanyika katika mji mkuu wa Yemen wa Sana'a siku ya Ijumaa ili kuelezea mshikamano wao na Wa palestina huko Gaza na pia kulaani jinai ya wanajeshi wa Israel ya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479356    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/31

IQNA-Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inaunga mkono makubaliano yoyote ambayo yanakubaliwa na Wa palestina na muqawama.
Habari ID: 3479348    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/29

Harakati za Qur'ani
IQNA – Kikao cha kuhitimisha Qur’ani kimefanyika huko Nablus, Ukingo wa Magharibi Palestina, wikendi hii iliyopita.
Habari ID: 3479342    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/28

Kadhia ya Palestina
IQNA - Washiriki katika mkutano wa kimataifa huko Karbala, Iraq wamesisitiza haja ya mshikamano na watu wa Palestina na kususia utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3479278    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/14

Watetezi wa Palestina
IQNA - Kundi la kutetea haki za Waislamu Marekani limetangaza kesi dhidi ya serikali ya shirikisho kwa kuwaweka Wa palestina -Wamarekani wawili kwenye orodha ya siri ya kufuatiliwa kutokana na msimamo wao wa kuwaunga mkono Wa palestina wanaoteswa na Israel huko Gaza.
Habari ID: 3479272    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/13

Jinai Israel
IQNA - Jeshi la Israel lilifanya mashambulizi ya anga dhidi ya shule moja katikati mwa Mji wa Gaza wakati Wa palestina waliokimbia makazi yao walipokuwa wakiswali alfajiri, na kuua takriban watu 100.
Habari ID: 3479256    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10

Kadhia ya Palestina
IQNA-Nasser Kan'ani, msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran, ametoa wito kwa serikali za Kiislamu kuunga mkono haki za Wa palestina kwa ufanisi zaidi.
Habari ID: 3479233    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/05

Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza ushujaa wa wananchi wanaodhulumiwa na wenye nguvu wa Ghaza na kusema: Leo bendera ya juu kabisa ya Uislamu iko mikononi mwa watu wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479202    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/30