Kadhia ya Palestina
IQNA-Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ametoa wito wa kufanyika "hamasa kubwa ya umma" kwa lengo la kuondoa mzingiro wa kinyama uliowekwa na Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) kwenye kambi ya wakimbizi ya Jenin, kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3479949 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/24
Muqawama
IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameeleza kuwa, utawala wa Kizayuni unakodolea macho ya tamaa maeneo yote yanayopakana na ardhi za Palestina inayokaliwa kwa mabavu yakiwemo ya Syria na Misri na kusema kuwa, Netanyahu anatumia vibaya matukio ya Syria ili kutimiza njama hizo za muda mrefu za Kizayuni.
Habari ID: 3479899 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/14
Waungaji mkono Palestina
IQNA - Maelfu ya wananchi wa Yemen waliingia barabarani mjini Saada kutangaza uungaji mkono wao kwa mataifa ya Palestina na Lebanon na kulaani vitendo vya uchokozi vya utawala wa Israel dhidi ya Syria.
Habari ID: 3479896 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/14
Watetezi wa Palestina
IQNA-Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano mapya ya kila wiki katika mji mkuu Sana'a na miji kadhaa nchini humo kusisitiza uungaji mkono wao kwa Wa palestina wanaokabiliwa na vita vya mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel.
Habari ID: 3479868 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07
Waungaji Mkono Palestina
IQNA - Mji mkuu wa Uingereza, London siku ya Jumamosi ulikuwa eneo la mjumuiko mkubwa ulioandaliwa na waandamanaji wanaounga mkono Palestina.
Habari ID: 3479840 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/02
Kadhia ya Palestina
IQNA - Mufti Mkuu wa Misri amesisitiza wajibu wa Waislamu kuhusu suala la Palestina.
Habari ID: 3479831 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/01
Kadhia ya Palestina
IQNA--Kwa mwaka wa pili mfululizo Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na Wananchi wa Palestina imeadhimishwa huku Gaza ikiendelea kuwa chini ya hujuma kubwa ya mashambulizi ya utawala wa Kizayuni sambamba na kuenezwa propaganda na taarifa ghushi za utawala huo
Habari ID: 3479829 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/30
IQNA - Kuna mashirika mengi ya kutoa misaada ya Kiislamu nchini Marekani yanayojaribu kupeleka misaada Wa palestina wa Ukanda wa Gaza wanaokumbwa na vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na Israel, lakini wanakabiliwa na vikwazo na ubaguzi mbalimbali.
Habari ID: 3479828 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/30
Watetezi wa Palestina
IQNA-Washiriki wa kikao cha viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kilichofanyika mjini Riyadh, Saudi Arabia wamesisitiza umuhimu wa kuzingatiwa suala la Palestina kama kadhia kuu na kuwaunga mkono kwa dhati wananchi wa taifa hilo ili wapate haki zao za kitaifa na zenye uhalali.
Habari ID: 3479743 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/12
Diplomasia
IQNA - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema utawala wa Marekani unaomaliza muda wake unatarajiwa kutumia muda uliobakia madarakani kukomesha hujuma za Israel huko Gaza na Lebanon.
Habari ID: 3479738 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/11
Kadhia ya Palestina
IQNA - Chuo Kikuu cha Hashemite cha Jordan kimeshutumiwa kwa kuwakandamiza wanafunzi wanaoiunga mkono Palestina.
Habari ID: 3479720 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/08
Watetezi wa Palestina
IQNA-Mechi kati ya Paris Saint-Germain na Atletico Madrid katika Ligi ya Soka ya Mabingwa wa Ulaya- UEFA- ilikuwa uwanja wa harakati za kuunga mkono Palestina Jumatano usiku.
Habari ID: 3479713 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/07
Siasa
IQNA - Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu la Iran ameilaani Marekani kwa kutoa uungaji mkono wa kila namna kwa utawala wa Kizayuni wa Israel katika hujuma zake za mauaji ya kimbari dhidi ya Wa palestina .
Habari ID: 3479706 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/05
Jinai za Israel
IQNA-Marja' wa ngazi ya juu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq ameeleza masikitiko yake kuhusu kushindwa jamii ya kimataifa na taasisi husika katika kuzuia jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Palestina na Lebanon.
Habari ID: 3479703 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/05
Waungaji Mkono Palestina
IQNA - Maonyesho ya picha zinazoonyesha jinai za utawala haramu wa Israeli dhidi ya Palestina yamefanyika Harare, mji mkuu wa Zimbabwe.
Habari ID: 3479694 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/03
IQNA - Kundi la kutetea haki za Waislamu Marekani limemkosoa Rais wa Marekani Joe Biden "kushiriki kikamilifu katikaa uhalifu wa (Israeli) dhidi ya ubinadamu".
Habari ID: 3479692 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/03
IQNA – Tukio la kisanii lilifanyika tarehe 31 Oktoba 2024, kwenye Haram ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, likiangazia mapambano ya Wa palestina dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambao unazikoloni ardhi za Palestina.
Habari ID: 3479683 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/01
Wanawake na Qur'ani
IQNA - Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, anasema heshima na imani ya wanawake huko Gaza "inang'aa kama dhahabu safi" wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea mauaji ya kimbari na uharibifu katika eneo hilo lililozingirwa.
Habari ID: 3479673 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/30
Muqawama
IQNA - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema uungaji mkono wa nchi za Magharibi kwa vita vya mauaji ya kimbari vya Israel dhidi ya Wa palestina wa Gaza umefichua unafiki wao na nukata hiyo inaashiria kushindwa kukubwa kwao.
Habari ID: 3479638 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/23
Chuki dhidi ya Waislamu
IQNA - Shambulio dhidi ya mwanamke aliyevaa keffiyeh (skafu ya kichwa ya Wa palestina ) huko Brooklyn limelaaniwa huku kukitolewa wito wa mashtaka ya uhalifu wa chuki kwa wausika.
Habari ID: 3479620 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/20