TEHRAN (IQNA)- Kituo kipya cha Kiislamu kimefunguliwa katika mjini Mombasa, Kenya katika mtaa wa Majengo kwa lengo la kukabiliana na misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3471428 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/14
TEHRAN (IQNA)- Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wameulaumu mtandao maarufu wa kijamii wa Facebook kuwa umehusika kwa uchochezi wa mauaji ya umati dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.
Habari ID: 3471427 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/13
TEHRAN (IQNA)- Mesut Ozil mchezaji mashuhuri Mwislamu katika timu ya taifa ya soka ya Ujerumani amemjibu mwanasiasa anayeuchukia Uislamu ambaye alimkosoa kwa safari yake ya Umrah.
Habari ID: 3471425 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/11
TEHRAN (IQNA)- Watoto watu wa familia moja wamehifadhi Qur’ani kikamilifu nchini Misri pamoja na kuwa wamezaliwa wakiwa na ulemavu wa macho.
Habari ID: 3471424 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/10
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Hamburg kimetangaza washindi wa Mashindano ya Sita ya Kimataifa ya Qur’ani ya Waislamu wa Ulaya.
Habari ID: 3471423 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/09
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: wakati Marekani inajiingiza kila mahali kwa kuzusha fitna na kuleta ufisadi, kila mara inatilia shaka kuwepo na kujishughulisha Iran na masuala ya eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3471422 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/09
TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu nchini Russia sasa imefika watu milioni 25 kati ya watu milioni 145 nchini humo, amesema Mufti Mkuu wa Russia Sheikh Rawil Gaynetdin.
Habari ID: 3471421 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/08
TEHRAN (IQNA)-Hali ya hatari imetangazwa kote Sri Lanka Jumanne baada ya magenge ya Mabuddha kuwahujumu Waislamu katika wilaya moja ya kati mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471420 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/07
TEHRAN (IQNA)- Waandishi habari Wapalestina wameandamana nje ya ofisi ya Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Ghaza kulalamikia mwenendo wa mtandao wa kijamii wa Facebook kufunga akaunti za Wapaletina.
Habari ID: 3471419 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/06
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Marekani inapanga kuandaa mashindano ya Qur'ani kwa watu walemavu na wale wenye mahitajio maalumu.
Habari ID: 3471417 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/05
TEHRAN (IQNA) – Kijana mwenye umri wa miaka 20, Amiru Yunusa, wa Jimbo la Bauchi ametangazwa kuwa mshindi wa Mashindano ya 23 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Nigeria yaliyofanyika katika jimbo la Katsina kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471416 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/05
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kamanda wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Meja Jenerali Mohammad Ali Jafari amesema mafanikio ya Iran ya Kiislamu yametokana na taifa hili kuzingatia na kushikamana na mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471415 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/04
TEHRAN (IQNA)-Misikiti kadhaa nchini Uingereza imefungua milango kwa watu wasio na makao nchini humo bila kujali dini yao kufuatia baridi kali na theluji iliyovunja rekodi nchini humo na kupelekea watu zaidi ya 11 kupoteza maisha katika kipindi cha wiki moja.
Habari ID: 3471414 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/03
TEHRAN (IQNA)-Waandalizi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Tunisia wameiomba Iran imteue qarii na mtaalamu Qur’ani ili awe miongoni mwa jopo la majaji katika mashindano hayo.
Habari ID: 3471413 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/03
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano na maulamaa wa Syria
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, " Ni matumaini yetu sote tutaiona siku ambayo mtasali sala la jamaa mjini Quds na siku hiyo haiko mbali tena bali itafika karibuni hivi, ni sawa tu kama watu kama sisi tutakuwa bado tupo au hatupo tena".
Habari ID: 3471412 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/02
Mtaalamu wa Qur’ani kutoka Lebanon
TEHRAN (IQNA)-Mtaalamu wa Qur’ani Tukufu kutoka Lebanon amesema mitandao ya kijamii ni fursa ya kipekee ya kufundisha Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3471408 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/27
TEHRAN (IQNA)- Wiki za hivi karibuni nchini Uingereza, mshambuliaji Muislamu na Mwarabu wa Timu ya Soka ya Liverpool katika Ligi Kuu ya maarufu kama EPL amevuma kwa umahiri na dini yake.
Habari ID: 3471405 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/26
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ametoa wito kwa wananchi wa Lebanon kutowapigia kura wagombea wanaopata himaya ya Marekani katika uchaguzi ujao wa bunge huku akionya kuwa wanasiasa kama hao wasaliti watakaoikabidhi nchi kwa Marekani.
Habari ID: 3471403 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/25
TEHRAN (IQNA)-Idara ya Waqfu wa Ahul Sunna katika mkoa wa Diyala nchini Iraq imesema misikiti 109 imefunguliwa tena baada ya kufunguwa kwa miaka mitatu kutokana na hujuma ya magaidi wa ISIS au Daesh katika eneo hilo.
Habari ID: 3471402 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/24
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur'ani kwa waliosilimu yamefanyika hivi karibuni mjini Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE.
Habari ID: 3471401 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/23