iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Tarjumi ya kwanza ya Qur'ani kwa lugha Kirundi imezinduliwa nchini Burundi katika hatua ambayo imetajwa kuwa kihistoria tokea Uislamu uingie nchini humo.
Habari ID: 3471326    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/27

TEHRAN(IQNA)- Disemba 25 inasadifiana na siku aliyozaliwa Nabii Isa Masiih (as) kwa mujibu wa imani ya Wakristo waliowengi.
Habari ID: 3471325    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/26

TEHRAN (IQNA)-Asilimia 12.5 ya watu katika kila mkoa nchini Iran wanatazamiwa kuhifadhi Qur'ani kikamilifu ifikapo mwaka 2025, kwa mujibu wa mkakati uliowekwa.
Habari ID: 3471324    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/25

Rais wa Iran atuma ujumbe kwa munasaba wa kuadhimisha kuzaliwa Nabii Isa AS na kusema
TEHRAN (IQNA)-Rais Hassan Rouhani amemtumia salamu viongozi wa mataifa ya dunia na kuwapa mkono wa pongezi kwa mnasaba wa kuadhimisha kuzaliwa mtume wa rehma na saada Nabii Isa Masih AS na vilevile kwa kukaribia kuanza mwaka mpya wa 2018 miladia.
Habari ID: 3471323    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/25

TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Canada wamekuwa na mchango mkubwa na ni rasilimali muhimu kwa nchi amesema Waziri Mkuu Justin Trudeau katika ujumbe wake kwa Kongamano la Kuhuisha Uislamu.
Habari ID: 3471322    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/24

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, Ismail Haniya ametoa indhari kuhusu njama mpya za Marekani dhidi ya mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3471321    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/23

TEHRAN (IQNA)-Duru ya 19 ya "Wiki ya Kitaifa ya Qur'ani" ya Algeria imeanza kuadhimishwa Disemba 19 katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3471319    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/21

TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Finland imekataa kutoa idhini ya ujenzi wa msikiti uliokuwa umepangwa kufadhiliwa na Bahrain katika mji mkuu wa nchi hiyo, Helsinki.
Habari ID: 3471318    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/21

TEHRAN (IQNA)-Katika kuendeleza ukatili dhidi ya Waislamu, wanajeshi wa Myanmar wamemkamata mtoto aliyekuwa amehifadhi Qur'ani na kisha kumuua katika jimbo la Rakhine.
Habari ID: 3471317    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/20

TEHRAN (IQNA)-Maulamaa wapatao 300 wa Kiislamu wamekutana Istanbul Uturuki na kutangaza kuwa uhusiano wowote wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni haramu.
Habari ID: 3471316    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/19

TEHRAN (IQNA) Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Nigeria amekosoa namna wanawake Waislamu wanaovaa Hijabu nchini humo wanavyosumbuliwa.
Habari ID: 3471315    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/18

TEHRAN (IQNA)-Baraza Kuu la Benki na Taasisiza Kifedha za Kiislamu (CIBAFI) limepanga limetangaza kuwa kikao chake cha tatu cha kimataifa kitafnayika Aprili 18-19 mwakani mjini Istanbul, Uturuki.
Habari ID: 3471313    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/17

إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ “Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na Kwake Yeye tutarejea"
TEHRAN (IQNA)-Sheikh Shaaban al Jundi, qarii wa Qur'ani Tukufu kutoka mkoa wa Beni Suef nchini Misri ameaga dunia hivi karibuni baada ya kuadhini katika moja ya misikiti ya mkoa huo.
Habari ID: 3471312    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/17

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Yemen wanakumbwa na jinamizi la mauti ambalo lilianza wakati Saudi Arabia, kwa himaya ya Marekani na Israel, ilianzisha hujuma dhidi ya nchi hiyo Machi 2015.
Habari ID: 3471310    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/15

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu bila ya masharti yoyote kwa ajili ya kuitetea Quds tukufu na kusema adui mkubwa wa Wayahudi si Waislamu wala Waarabu bali ni mradi hatari sana wa Wazayuni.
Habari ID: 3471309    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/14

TEHRAN (IQNA)-Utawala wa Kibuddha wa Myanmar umebomoa misikiti 16 kati ya 17 katika vijivi vya eneo Haindafar katika jimbo la Rakhine lenye Waislamu wa jamii ya Rohingya.
Habari ID: 3471308    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/13

TEHRAN (IQNA)-Waislamu wamehimizwa kujifunza kuhusu mfumo wa Uchumi wa Kiislamu sambamba na mifumo mingine ya kiuchumi.
Habari ID: 3471306    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/12

TEHRAN (IQNA)-Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon amehutubua mkuntano wa dharura wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na kupendekeza Marekani iwekewe vikwazo kufuatia uamuzi wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kutmabua Quds Tukufu (Jerusalem) kama mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3471303    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/10

TEHRAN (IQNA)-Wafungwa 2,950 katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wamepunguziwa vifungo vyao baada ya kuhifadhi Qur’ani.
Habari ID: 3471302    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/10

TEHRAN (IQNA)-Zaidi ya wanawake 7,000 wanashiriki katika awamu ya 11 ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani kwa wanawake mjini Tehran.
Habari ID: 3471301    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/09