TEHRAN (IQNA)- Iran imetangaza kuwa tayari kuwatuma wananchi wake kuenda Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Umrah iwapo masharti yatatimizwa.
Habari ID: 3474826 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/19
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: Ushirikiano kati ya Iran na Russia unajenga amani na usalama na utazuia sera za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja katika kanda hii.
Habari ID: 3474825 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/19
TEHRAN (IQNA)- Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kulinda usalama na kuvipa msaada vyombo vya baharini na pia kuonyesha uwezo wa Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu sambamba na kufikisha ujumbe wa amani na urafiki, ndio malengo ya Iran ya kuwepo kijeshi kwenye eneo la maji ya kimataifa.
Habari ID: 3474820 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/17
TEHRAN (IQNA)-Majaji wanaendelea kusikliza klipu zilizotumwa na washiriki wa awamu ya mchujo ya Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran.
Habari ID: 3474811 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/15
TEHRAN (IQNA)- Duru ya Saba ya Mashindano ya Kimataifa ya Wanafunzi wa Shule itafanyika Iran kwa kushiriki wawakilishi wan chi 25.
Habari ID: 3474808 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/15
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, adui anaihitajia zaidi Iran katika mazungumzo yanayoendelea mjini Vienna Austria na kusisitiza kuwa, inabidi tusimame imara na kwa ghera katika vita vya kidiplomasia.
Habari ID: 3474806 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/14
TEHRAN (IQNA)- Duru ya mchujo ya Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran imeanza Jumatano na itaendelea kwa muda wa siku nne.
Habari ID: 3474804 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/13
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amekutana na Ismail Haniyeh kiongozi Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, mjini Doha, Qatar.
Habari ID: 3474798 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/12
TEHRAN (IQNA)- Afisa mwandamizi wa Shirika la Wakfu la Iran amesema kuna haja ya kuundwa taasisi ya kimataifa ya nchi zinazoandaa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani.
Habari ID: 3474791 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/10
TEHRAN (IQNA)- Duru ya mwisho ya Mashindano ya 26 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu ya Jeshi la Polisi Iran yatafanyika katika mji wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran.
Habari ID: 3474785 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/09
TEHRAN (IQNA) – Duru ya mchujo ya Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran imepangwa kuanzia Januari 9 mjini Tehran.
Habari ID: 3474780 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/08
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu imetangaza kuwa, kutimuliwa utawala wa Marekani katika eneo nyeti la Asia Magharibi ni jibu kwa ujuha na ujinga wa adui katika kumuua Luteni Jenerali Qassem Soleimani.
Habari ID: 3474776 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/07
TEHRAN (IQNA)- Taifa la Iran limejitokeza kwa wingi katika maziko ya mashahidi wao 250 waliouawa wakati wa vita vya miaka minane vya kujihami kutakatifu vilivyoanzishwa na utawala wa kidikteta wa Saddam wa Iraq, kwa himaya ya Marekani, dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3474773 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/06
TEHRAN (IQNA)- Rais Barham Salih wa Iraq amesema mashahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis walikuwa na nafasi muhimu sana katika vita dhidi ya magaidi nchini humo hasa magaidi wa ISIS au Daesh.
Habari ID: 3474769 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/05
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi amesema, aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump ni muuaji na mhalifu mkuu wa mauaji ya kamanda Qassem Suleimani, kwa hivyo inapasa ashtakiwe na kuhukumiwa kuuawa kwa kisasi.
Habari ID: 3474762 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/03
TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya wananchi wa Iraq wamekusanyika katika sehemu ilipotokea jinai ya kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qasem Soleimani karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Baghdad kwa mnasaba wa tarehe 3 Januari, na kumbukumbu ya mwaka wa pili wa tangu kutokea jinai hiyo.
Habari ID: 3474761 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/03
Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema kuwa Serikali, Idara ya Mahakama na Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran zinapasa kutumia vyombo vyote vya kisheria kwa ajili ya kuwafuatilia wahusika wa mauaji ya kigaidi ya Luteni Jenerali Qasem Soleimani.
Habari ID: 3474760 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/03
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inataka Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lipitishe azimio la kulaani kitendo cha Marekani cha kumuua kamanda wa Iran aliyeongoza vita dhidi ya ugaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani ili kwa njia hiyo kulinda amani na kimataifa na haki za binadamu.
Habari ID: 3474756 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/02
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), ndiye shakhsia mkubwa zaidi si tu ndani ya Iran, bali katika Umma wote wa Kiislamu.
Habari ID: 3474753 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/01
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtaja Nabii Isa Masih au Yesu -Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake- kuwa ni nembo ya mapambano dhidi ya madhalimu.
Habari ID: 3474752 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/01