Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Iran itarejea katika ahadi zake za makubaliano ya nyuklia ya JCPOA pale Marekani itakapoliondolea taifa hili vikwazo vyake vyote tena kivitendo na sio kwa maneno matupu au katika makaratasi tu.
Habari ID: 3473629 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/07
Sheikh Naeem Qassem
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Naeem Qassem, Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kipaumbele cha serikali ya Marekani ni kulinda maslahi ya utawala haramu wa Israel katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati)
Habari ID: 3473622 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/05
Ayatullah Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (AS) amesema Imam Khomeini, Mwenyezi Mungu Amrehemu, alihuisha fikra ya Kiislamu ya kupinga ubeberu au ukoloni wakati ambao madola mengi ya kibeberu yalikuwa yanajaribu kusambaratisha kabisa fikra hiyo.
Habari ID: 3473620 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/04
Msomi wa Malaysia
TEHRAN (IQNA)- Msomi wa Kiislamu nchini Malaysia amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yanaweza kuwa kigezo kwa ummah wa Kiislamu duniani katika mapambano dhidi ya udikiteta na ukosefu wa uadilifu.
Habari ID: 3473617 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/03
Kiongozi Muadhamu wa mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria tofauti za kimsingi za mtazamo wa Uislamu na ulimwengu wa Magharibi mwa mwanamke na kusema kuwa,Uislamu na Jamhuri ya Kiislamu vinamtazama mwanamke kwa jicho la heshima ilihali mtazamo ulionea Magharibi kuhusu mwanamke ni wa kumtazama kiumbe huyu kama bidhaa na wenzo.
Habari ID: 3473616 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/03
TEHRAN (IQNA) - Miaka 42 iliyopita taifa kubwa la Iran huku likiwa limejizatiti kwa imani thabiti na matumaini ya kuwa na mustkabali mzuri, na bila ya kutegemea dola lolote lenye nguvu duniani, lilifanikiwa kuweka nyuma kipindi kigumu na muhimu kwenye historia yake na hatimaye kufanikiwa kufikia kwa kishindo ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3473613 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/02
Rais Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani amesema kuwa, Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewaonesha walimwengu rasilimali ya kijamii ya Iran.
Habari ID: 3473611 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/01
TEHRAN (IQNA)- Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) leo wamejadidisha kiapo cha utii kwa malengo ya Imam Khomeini, Mwenyezi Mungu Amrehemu, katika Haram ya muasisi huyo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3473610 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/01
TEHRAN (IQNA)- Waliofika fainali katika Mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran wametangazwa na kamati andalizi.
Habari ID: 3473593 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/26
TEHRAN (IQNA) - Familia ya mwanasayansi bingwa na mwenye kipawa cha juu katika masuala ya nyuklia na ulinzi wa Iran shahidi Mohsen Fakhrizadeh jana ilimtembelea Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
Habari ID: 3473591 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/26
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina nchini Iran Nasser Abu Shariff ametembelea ofisi za Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA) hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3473579 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/21
TEHRAN (IQNA) – Semi fainali ya kusoma Qur'ani Tukufu au qiraa katika Awamu ya 37 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran imemalizika leo Jumatano.
Habari ID: 3473576 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/20
TEHRAN (IQNA) – Nusu fainali ya Awamu ya 37 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran imeanza Jumanne asubuhi mjini Tehran.
Habari ID: 3473572 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/19
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Jeshi la Kujitolea la Wananchi wa Iraq maarufu kama Al-Hashdu-Sha'abi au PMU amesisitiza ulazima wa kutekelezwa agizo la bunge la nchi hiyo la kutaka askari wa jeshi la Marekani waondoke nchini humo.
Habari ID: 3473569 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/18
TEHRAN (IQNA)- Nusu fainali ya Mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran inaanza Jumanne Januari 19.
Habari ID: 3473568 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/18
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya amesema kufedheheka na kuaibika utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani katika siku zake za mwisho ni ishara kuwa, ubaguzi wa rangi na ukiukwaji sheria na mambo ambayo hayana mwisho mwema.
Habari ID: 3473553 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/13
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametangaza bayana kuwa, kuingizwa Iran chanjo ya corona au COVID-19 kutoka Marekani na Uingereza ni marufuku.
Habari ID: 3473535 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/08
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amegusia namna rais wa Marekani Donald Trump alivyotoa amri ya kuuliwa kiwogawoga, Shahidi Qassem Soleimani, na kusema kuwa, shambulio hilo la anga linaonesha uchochole wa kupindukia wa Donald Trump ambaye ameshindwa kupambana na shujaa huyo katika medani ya mapambano na badala yake alimvizia kiwogawoga uraiani na kumuua.
Habari ID: 3473523 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/04
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Shahidi Qassem Soleimani hakuwa ni mtetezi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia pekee bali aliwatetea Waislamu wote na hata wasiokuwa Waislamu wakiwemo Wakristo na alijitolea muhanga kwa ajili yao.
Habari ID: 3473521 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/03
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe maalumu wa kuomboleza kifo cha mwanachuoni mkubwa, faqihi mwanaharakati, Ayatullah Muhammad Taqi Misbah Yazdi.
Habari ID: 3473516 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/02