IQNA – Mfululizo wa mifumo ya ki teknolojia ya hali ya juu umetangazwa rasmi kwa ajili ya kuboresha usimamizi wa mahujaji katika Msikiti Mtakatifu wa Makkah kabla ya Hija ya mwaka 1446 Hijri (2025).
Habari ID: 3480735 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25
IQNA – Mpango mpana wa uendeshaji kwa msimu wa Hija utazinduliwa nchini Saudi Arabia, huku tangazo rasmi likipangwa kutolewa Alhamisi.
Habari ID: 3480645 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/06
IQNA-Shirika moja la kimataifa limelaani hatua ya kampuni ya Microsoft ya Marekani kumfuta kazi mhandisi wa programu mwenye asili ya Morocco, Ibtihal Aboussad, ambaye aliandamana hadharani kupinga uungwaji mkono wa kampuni hiyo kwa utawala katili wa Israel wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Microsoft.
Habari ID: 3480521 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/10
Teknolojia
IQNA – Akili Mnemba (Artificial Intelligence - AI) ni moja ya maendeleo makubwa ya ki teknolojia katika zama za kisasa na inatumiwa katika maeneo mengi, ikiwemo kuchakata maandiko ya kidini.
Habari ID: 3480403 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/19
Teknolojia
IQNA - Waziri Mkuu wa Malaysia Anwar Ibrahim amedokeza umuhimu wa kuwapa vijana wa Kiislamu elimu ya Kiislamu na ujuzi wa ki teknolojia ili kufundisha maadili ya Kiislamu katika nyanja kama vile Akili Mnemba (AI).
Habari ID: 3479736 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/11
IQNA – Msikiti wa kwanza duniani kujengwa kwa kutumia teknolojia ya uchapishaji ya 3D ulizinduliwa mjini Jeddah mapema mwezi Machi.
Habari ID: 3478484 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/10
Teknolojia
IQNA - Kongamano la teknolojia ya Qur'ani Tukufu limepangwa kufunguliwa katika mji mkuu wa Saudia wa Riyadh wikendi hii. Itahudhuriwa na kundi la wataalam, wasomi na weledi wa teknolojia .
Habari ID: 3478316 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/07
Wanawake katika Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Taasisi ya Mustafa(SAW) ya Sayansi na Teknolojia hivi karibuni iliandaa jopo la kisayansi kwa ushirikiano na Jukwaa la Kimataifa la Wanawake katika Sayansi ili kujadili mustakabali endelevu unaojumuisha jinsia kupitia sayansi, teknolojia na uvumbuzi.
Habari ID: 3475793 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16
Uislamu na teknolojia
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja la masuala ya uchumi wa Kiislamu limetangaza kuzindua Metaverse ya kwanza ya Kiislamu ambayo inaenda sambamba na mafundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 3475282 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/22
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Akademia ya Elimu, Utamaduni na Utafiti Iran (ACECR) amesema academia hiyo inapaswa kuongoza duniani katika ustawi wa sayansi na teknolojia .
Habari ID: 3473037 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/05
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja la ki teknolojia nchini Malaysia limefanikiwa kutegeneza browser ya kwanza duniani ambayo inaenda kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu kwa lengo la kuwahudumia Waislamu bilioni 1.8 duniani ili waweze kuwa na mazingira halali na salama katika intaneti.
Habari ID: 3471996 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/12
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei, amesema mafanikio makubwa yaliyopatikana katika teknolojia ya Nano na Bio teknolojia ni mfano na kipimo cha maendeleo katika sekta mbalimbali nchini
Habari ID: 2792669 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/01
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema shughuli za ustawi na utafiti wa nyuklia Iran kamwe hazitasimamishwa.
Habari ID: 1392769 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/10