Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema nchi za Waislamu zinapaswa kupewa jukumu la vita dhidi ya ugaidi kwani ugaidi unanasibishwa kimakosa na Uislamu.
Habari ID: 3470332 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/24
Waislamu wa Marekani hawakabiliwi na matatizo katika kipindi cha uhai wao tu bali hata wanapofariki dunia matatizo hayo bado huwaandama.
Habari ID: 3470331 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/24
Molawi Abdul Hamid Ismail Zehi, Imamu wa Msikiti wa Masunii wa Makki mjini Zahedan kusini mashariki mwa Iran amesema hatua ya Saudia kuwazuia Mahujaji Wairani mwaka huu si kwa maslahi ya Umma wa Waislamu.
Habari ID: 3470330 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/23
Wafanyakazi Waislamu katika Uwanja wa Kimatiafa wa Ndege wa Charles de Gaulle mjini Paris, Ufaransa wamekatazwa kuwa na nakala za Qur'ani wakiwa kazini huku wanaokataa kunyoa ndevu wakichukuliwa hatua.
Habari ID: 3470329 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/23
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tunisia mwaka huu hayatafanyika kutokana na ukosefu wa bajeti.
Habari ID: 3470328 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/23
Sheikhe Mkuu wa Al Azhar
Sheikhe Mkuu wa Chuo cha al Azhar nchini Misri, Dk Ahmad Muhammad al Tayyib amesema kuwa, kwa mujibu wa aya ya 32 ya Suratul Maida ya Qur'ani Tukufu, dini ya Kiislamu inapiga marufuku kumshambulia mwanadamu yeyote kutoka dini yoyote ile.
Habari ID: 3470327 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/21
Taifa la Tanzania limetikiswa na mauaji ya kikatili yaliyotekelezwa na magaidi katika msikiti mmoja wa mjini Mwanza kaskazini mwa nchi hiyo Jumatano iliyopita.
Habari ID: 3470324 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/21
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran ametoa wito kwa Waislamu kukabiliana na magaidi wakufurishaji pamoja na serikali vibaraka ambazo zinapata uungaji mkono wa Marekani na Utawala wa Kizayuni katika eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3470322 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/20
Kikao cha kila mwaka wachaposhaji Qur'ani Tukufu barani Afrika kinaanza Alkhamisi hii nchini Sudan.
Habari ID: 3470321 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/19
Mkurugenzi wa Radio Bilal nchini Uganda amekutana na mwambata wa utamaduni wa Iran mjini Kampala na kusema, moja ya majukumu muhimu ya Radio hiyo ni kufundisha Qur'ani Tukufu, kuutangaza Uislamu na midahalo ya kidini.
Habari ID: 3470320 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/19
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo Jumatano ameonana na washiriki wa Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yaliyomalizika jana hapa mjini Tehran na kusema kuwa, Qur'ani ndio mhimili wa umoja wa umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3470319 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18
Hafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka Kenya aliyeshiriki Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran amepongeza kujitokeza kwa wingi wananchi wapendao Qur'ani wa Iran katika ukimbu wa mshindano.
Habari ID: 3470318 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18
Majaji katika Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran wametangaza kuwa qarii mshiriki kutoka Tanzania amepata nafasi bora zaidi kwa mtazamo wa 'Saut na Lahn' katika usomaji wake wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3470317 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuhusu kuendelea kuunga mkono mapambano ya taifa linalodhulumiwa la Palestina katika makabiliano yake na utawala ghasibu wa Israel unaokalia Quds Tukufu kwa mabavu.
Habari ID: 3470315 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/16
Waandamanaji Berlin
Maandamano yamefanyika nje ya Ubalozi wa Saudi Arabia mjini Berlin, Ujerumani ambapo washiriki wameilaani Saudia kwa kuendelea kutoa misaada kwa kundi la kigaidi la Daesh au ISIS.
Habari ID: 3470314 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/15
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa wito kwa wasomi wa kidini kushiriki kilamilifu katika mambo yote yanayohusu nchi na jamii
Habari ID: 3470313 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/15
Hafidh wa Tanzania
Mwakilishi wa Tanzania katika Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran amesema kuwaleta pamoja wanaharakati wa Qur'ani kutoka kila kona ya dunia ni nukta muhimu katika kuimarisha umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3470312 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/14
Wanazuoni wa Kishia nchini Misri wamepongeza Chuo Kikuu cha Al Azhar kwa hatua yake ya kuasisi kituo cha kukurubuisha madhehebu ya Kiislamu.
Habari ID: 3470311 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/14
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah imesema imeanzisha uchunguzi kubaini namna kamanda wake mwandamizi alivyopoteza maisha vitani nchini Syria.
Habari ID: 3470310 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/13
Alhamisi ilikuwa siku ya kwanza ya Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ambapo washiriki 16 waliweza kuonyesha ustadi wao katika kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3470309 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/13