iqna

IQNA

Chuo Kikuu cha Biruni huko Istanbul Uturiki kimeandaa maonesho kuhusu 'Vitu 1001 vilivyovumbuliwa na Waislamu duniani.
Habari ID: 3470431    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/04

Kiongozi Muadhamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepuuzilia mbali madai ya Washington kuwa iko tayari kufanya mazungumzo na Iran juu ya masuala mbalimbali ya kieneo.
Habari ID: 3470430    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/03

Sala ya Idul Fitri imefutwa katika mji mwa Southampton Uingereza kufuatia ripoti kuwa makundi ya watu wenye misimamo mikali wenye chuki dhidi ya Waislamu wanapanga kuvuruga sala hiyo.
Habari ID: 3470428    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/02

Sayyid Nasrullah:
Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa lengo la kutangazwa Siku ya Kimataifa ya Quds ni kubakisha hai kumbukumbu ya Quds tukufu na kuwafanya Waislamu wasisahau eneo na msikiti huo mtakatifu.
Habari ID: 3470427    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/02

Khatibu wa Saala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Saala ya Ijumaa Tehran amesema Siku ya Kimataifa ya Quds ni hatua kubwa kupambana na uistikbari na adui Mzayuni aambaye ndiye adui mkuu wa Uislamu.
Habari ID: 3470426    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/01

Ijumaa ya mwisho ya kila mwezi mtukufu wa Ramadhani katika kalenda ya matukio ya dunia, imepewa jina la Siku ya Kimataifa ya Quds.
Habari ID: 3470425    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/30

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Waislamu kote duniani watajitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kwa lengo la kuwaunga mkono Wapalestina wanaodhulimiwa.
Habari ID: 3470424    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/30

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds na amewataka Waislamu hususan wananchi wa Iran kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya siku hiyo Ijumaa wiki hii
Habari ID: 3470423    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/29

Seyed Hossein Naqavi
Mbunge wa ngazi za juu nchini Iran amesema kadhia ya Palestina ndio muhimu zaidi kwa Waislamu na hivyo ametoa wito wa ushiriki mkubwa katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds.
Habari ID: 3470422    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/29

Shirika la Kutoa Misaada la Kutoa Misaada ya Kibinadamu Qatar (RAF) limefungua kituo kipya cha kuhifadhi kiitwacho "Al Rahmah" Qur'ani Tukufu kaskazini mashariki mwa Kenya.
Habari ID: 3470421    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/28

Watu 14 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti mmoja viungani mwa Baghdad, mji mkuu wa Iraq.
Habari ID: 3470420    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/28

Tuko katika siku ya 21 ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambayo inasadifiana na munasaba wa kukumbuka tukio chungu la kuuawa shahidi Imam Ali bin Abi Twalib AS.
Habari ID: 3470418    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/27

Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah
Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono kwa hali na mali na Saudia na Marekani yanatishia usalama wa eneo la Magharibi mwa Asia.
Habari ID: 3470414    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/25

Kiongozi Muadhamu Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha vipengee kadhaa vya hekima za Imam Ali bin Abi Twalib (as) zilizoandikwa katika kitabu cha Nahjul Balagha.
Habari ID: 3470413    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/24

Mashindano ya 17 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Mashariki mwa Afrika yamemalizika Jumatatu 20 Juni nchini Djibouti.
Habari ID: 3470412    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/23

Awamu ya 24 ya Mashindano ya Qur'ani ya nchi za Afrika Magharibi yamefanyika nchini Senegal.
Habari ID: 3470411    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/23

Kunafanyika maonyesho ya Qur'ani katika miji 100 nchini Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3470410    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/22

Waziri wa Usalama Iran Mahmoud Alavi amesema magaidi wakufurishaji waliokamatwa hivi karibuni walipanga kutekeleza mashambulizi katika maeneo 50 kote Iran.
Habari ID: 3470409    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/22

Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran
Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Muhammad Javad Zarif amesema Waislamu wanapaswa kuungana ili kuonyesha nchi za Magharibi kuwa wanaweza kupambana na ugaidi na misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3470408    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/22

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa umma unapaswa kufahamishwa kuhusu hiana inayofanywa na Marekani katika utekelezwaji wa mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
Habari ID: 3470406    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/21