IQNA – Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, imelaani uvamizi wa walowezi wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa jijini Al Quds (Jerusalem), ikionya kuwa vitendo hivi vya wazi vya uchokozi vitamalizika kwa hasara ya utawala ghasibu wa Israel na walowezi wa Kizayuni.
Habari ID: 3482529 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/24
IQNA – Wanafunzi wa shule nchini Jordan wanapata fursa ya kutumia vyema likizo zao za majira ya kiangazi kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu na kujifunza maadili ya Kiislamu.
Habari ID: 3482418 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/29
IQNA – Hafla maalumu ilifanyika Jumatatu jioni katika Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kiislamu ya Jordan kuadhimisha kukamilika kwa usomaji kamili wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482372 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/17
IQNA – Idara maalumu ya uchapaji wa Qur’ani Tukufu imezinduliwa rasmi katika Wizara ya Awqaf, Mambo ya Kiislamu na Maeneo Matakatifu ya Jordan.
Habari ID: 3482183 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/30
IQNA – Yatima arobaini na wanane nchini Jordan wamepata thawabu tukufu ya safari ya Umrah iliyogharamiwa kikamilifu, baada ya kung’ara katika mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481869 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/30
IQNA – Ili kuunga mkono ndoa na familia, mjasiriamali mmoja kutoka Jordan ametangaza kuwa vijana watakaohifadhi juzuu sita za Qur’ani Tukufu watapewa msaada wa kifedha pindi watakapooana.
Habari ID: 3481775 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/06
IQNA – Idara ya Awqaf (Wakfu) katika Mkoa wa Tafilah, Jordan, imeanzisha mradi maalumu wa kukusanya na kurekebisha nakala za Qur'ani Tukufu zilizochakaa na kuharibika kutoka misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3481537 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/19
IQNA – Maonyesho ya 24 ya Kimataifa ya Vitabu ya Amman 2025 yalifunguliwa Alhamisi, Septemba 25, katika Kituo cha Maonyesho cha Kimataifa cha Jordan, kwa kauli mbiu ya ‘Quds; Mji Mkuu wa Palestina’.
Habari ID: 3481296 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/28
IQNA- Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur'an nchini Jordan yamefikia tamati kwa kutangaza washindwa na kutunukukiwa zawadi waliofika nafasi za juu.
Habari ID: 3480465 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/29
IQNA – Hossein Khani Bidgoli kutoka Iran amesema alikuwa na furaha na jinsi alivyofanya katika Mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur'ani ya Jordan.
Habari ID: 3480420 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/23
IQNA – Jordan imezindua mashindano yake ya 32 ya Qur'ani ya kimataifa, yanayojulikana kama Tuzo ya Qur'ani ya Kimataifa ya Jordan , kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka nchi 51.
Habari ID: 3480413 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/22
Harakati za Qur'ani
IQNA – Waziri wa Wakfu, Masuala ya Kiislamu, na Maeneo Matakatifu wa Jordan, Mohammad Al-Khalayleh, ametangaza uzinduzi wa vituo vya kuhifadhi Qur'ani kwa wanafunzi wakati wa likizo ya shule ya majira ya baridi ya 2024/2025.
Habari ID: 3480019 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08
Watetezi wa Palestina
IQNA - Mgomo wa kula ulioanzishwa na idadi kadhaa ya wanaharakati wa Jordan kwa mshikamano na watu wa Gaza umeingia siku yake ya kumi Jumatatu.
Habari ID: 3479741 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/12
Kadhia ya Palestina
IQNA - Chuo Kikuu cha Hashemite cha Jordan kimeshutumiwa kwa kuwakandamiza wanafunzi wanaoiunga mkono Palestina.
Habari ID: 3479720 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/08
Quds Tukufu hatarini
IQNA - Wizara ya Wakfu ya Jordan imetahadharisha kuhusu kushadidi hatua za utawala wa Kizayuni zenye lengo la kueneza Uyahudi katika maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3479392 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la 18 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Jordan kwa wanawake yalihitimishwa katika hafla ambayo walioshika nafasi za juu walitangazwa na kutunukiwa.
Habari ID: 3478408 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/24
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la 18 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Jordan kwa wanawake, yanayojulikana kama "Al-Hashimiya", yalianza Jumamosi huko Amman.
Habari ID: 3478372 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/18
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya 18 ya kimataifa ya Qur'ani kwa wanawake ya Jordan yatang'oa nanga katika mji mkuu Amman baadaye leo.
Habari ID: 3478368 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/17
Watetezi wa Palestina
IQNA - Mashabiki wa soka wanamtaja Mousa Mohammad Mousa Sulaiman Al-Tamari kama "Messi wa Jordan".
Habari ID: 3478318 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/07
Harakati za Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Jordan imechapisha nakala milioni moja za Qur'ani Tukufu tangu ilipoanzishwa mwaka 1968.
Habari ID: 3478237 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/22