TEHRAN (IQNA) - Mfalme Abdullah wa Pili wa Jordan ameutahadharisha utawala wa Israel kuwa utaraji mapigano makubwa iwapo utasonga mbele na mpango wake wa kuteka zaidi ardhi za Palestina katika Ukingo wa Magharibi na Bonde la Jordan.
Habari ID: 3472774 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/17
TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Jordan imetangaza mpango wa kuzindua vituo 50 vya kuhifadhi Qur'ani katika mkoa wa Karak nchini humo.
Habari ID: 3471568 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/22
TEHRAN(IQNA)-Kitengo cha wanawake cha Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jordan yamepangwa kuanza Jumatano Machi 29.
Habari ID: 3470910 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/27
IQNA: Serikali ya Jordan imekosolewa vikali kwa kuondoa zaidi ya aya 290 za Qur'ani Tukufu na Hadithi za Mtume SAW katika vitabu vya shule nchini humo.
Habari ID: 3470837 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/07
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Jordan kwa ajili ya wanawake yameanza Jumapili kwa kuhudhuriwa na Waziri wa Awqaf nchini humo pamoja na mabalozi wa nchi kadhaa.
Habari ID: 3470239 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/11
Musa Motamedi hafidh wa Qur’ani kutoka Iran ameshika nafasi ya kwanza katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
Habari ID: 3384686 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/12
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya mgaidi wa kundi la Daesh (ISIL) kumuwa kinyama rubani wa Jordan aliyekuwa ametekwa nyara na kundi hilo.
Habari ID: 2811515 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/04
Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri Ahmad al Tayyib ametoa taarifa akilaani kitendo cha kundi la kigaidi la Daesh cha kumchoma moto akiwa hai rubani Moaz al-Kassasbeh wa Jordan. Amekitaja kitendo hicho kuwa ni cha kigaidi na kishetani.
Habari ID: 2809497 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/04