iqna

IQNA

Palestina
TEHRAN (IQNA) – Jordan itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa kuhusu mji mtakatifu wa Al-Quds (Jerusalem) mwezi ujao.
Habari ID: 3475834    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Wito unaendelea kutolea nchini Jordan wa kubatilisha hatua ya serikali ya kufunga vituo 68 vya Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3475497    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/13

TEHRAN (IQNA) – Mtaalamu wa Qur'ani Tukufu wa Jordan ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutositisha mashindano yake ya kimataifa ya Qur'ani pamoja na kuwepo janga la corona.
Habari ID: 3475006    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/04

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Ahmad El Tayyib, Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri amefanya mazungumzo ya simu na Mfalme Abdallah wa Pili wa Jordan.
Habari ID: 3474829    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/20

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya wananchi wa Jordan wameandamana wakilalamikia mpango wa serikali ya nchi hiyo kutiai saini mapatano mapya na utawala haramu wa Israel unaotenda jinai kila uchao dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
Habari ID: 3474606    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/27

TEHRAN (IQNA)- Wanafunzi nchini Jordan wamekataa msaada wa masomo wa chuo kikuu kimoja cha Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) baada ya kubainika kuwa msaada huo unatolewa kwa ushirikiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474573    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/18

TEHRAN (IQNA) – Qari Hazza Al Balushi ni kijana kutoka Oman mwenye kipaji cha kusoma Qu’ani Tukufu kwa sauti nzuri.
Habari ID: 3474289    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Jordan wa Wakfu, Masuala ya Kiislamu na Maeneo Matakatifu amesema kuna zaidi ya vituo 2,000 vya Qur'ani vinavyotumika wakati wa msimu wa joto nchini humo.
Habari ID: 3474264    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/06

TEHRAN (IQNA)- Raia mmoja wa Jordan amewatunuku watu wa Ghana nakala 1,400 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474071    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/05

TEHRAN (IQNA) – Finali ya mwisho ya mashindano kitaifa ya Qur’ani Jordan imepangwa kufanyika katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473748    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/19

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan imesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel haupaswi kuingilia mambo ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) kwa sababu Wazayuni hawana mamlaka yoyote katika eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3473731    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/13

Harakati ya Kiislamu ya Amal ya Jordan
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Kiislamu ya Amal ya Jordan imetoa taarifa na kusema hatua ya Morocco kuafiki kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kashfa kubwa na pia ni uhaini wa kihistoria.
Habari ID: 3473491    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/25

TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni mashuhuri wa Qur’ani Tukufu nchini Jordan, Mustafa al-Mashni ameaga dunia baada ya kuugua corona au COVID-19.
Habari ID: 3473380    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/21

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Wakfu na Masuala ya Kiislamu Jordan amesema marufuku ya Swala ya Ijumaa nchini humo sasa imeondolewa.
Habari ID: 3473374    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/19

TEHRAN (IQNA)- Vituo 200 vya Qur’ani Tukufu nchini Jordan vimetangaza kuandaa darsa maalumu za kuhifadhi Qu’rani Tukufu kwa kuzingatia kanuni za afya wakati huu wa janga la corona.
Habari ID: 3473006    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/27

Mahakama ya Kilele ya Jordan imetoa hukumu ikitangaza kuvunjwa Harakati ya Ikhwanul Muslimin nchini humo.
Habari ID: 3472972    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/17

Darul Iftaa ya Jordan
TEHRAN (IQNA) – Darul Iftaa ya Jordan imetoa fatwa inayowapiga marufuku wagonjwa wa COVID-19 au corona kushiriki katika swala za jamaa.
Habari ID: 3472932    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/05

TEHRAN (IQNA)- Nchi mbali mbali duniani zinaendelea kupinga utekelezaji wa mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kupora eneo kubwa la Ukingo wa Magharibi.
Habari ID: 3472878    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/19

TEHRAN (IQNA) - Mfalme Abdullah wa Pili wa Jordan ameutahadharisha utawala wa Israel kuwa utaraji mapigano makubwa iwapo utasonga mbele na mpango wake wa kuteka zaidi ardhi za Palestina katika Ukingo wa Magharibi na Bonde la Jordan.
Habari ID: 3472774    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/17

TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Jordan imetangaza mpango wa kuzindua vituo 50 vya kuhifadhi Qur'ani katika mkoa wa Karak nchini humo.
Habari ID: 3471568    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/22