Waislamu wanaodhulumiwa
IQNA - Kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq amelaani vikali shambulio la kigaidi nchini Pakistan lililogharimu maisha ya zaidi ya Waislamu 40 wa Kishia.
Habari ID: 3479796 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/23
Jinai dhidi ya Mashia
IQNA-Magaidi wamefyatulia risasi magari yaliyokuwa yamewabeba Waislamu wa madhehebu ya Shia katika eneo la kaskazini-magharibi mwa Pakistan siku ya Alhamisi na kuua takriban watu 38 wakiwemo wanawake na watoto huku wengine wengi wakijeruhiwa.
Habari ID: 3479787 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/21
Jinai
IQNA - Mapigano ya hivi punde katika eneo la Parachinar, jimbo la Khyber Pakhtunkhwa nchini Pakistan, yamesababisha vifo vya watu 31 na kuwaacha takriban 70 kujeruhiwa.
Habari ID: 3479504 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/28
Ugaidi
IQNA-Raia takribani 14 wameuawa katika shambulizi la kigaidi la kundi la Daesh nchini Afghanistan ambapo walikuwa wamekusanyika kuwakaribisha wafanyaziara wanaowasili kutoka maeneo matakatifu mjini Karbala, Iraq.
Habari ID: 3479429 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/13
IQNA - Katika hali ya kuanza kwa mwezi wa Hijri wa Muharram, Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Tanzania wameanza kuandaa ibada za maombolezo ya kuadhimisha kuuawa shahidi Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3479096 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/09
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Waislamu hawapaswi kuungana na kusimama pamoja wakati wa matukio fulani maalumu pekee, bali wanapaswa kushirikiana nyakati zote na kustawi pamoja, kwani hilo ni jambo la dharura.
Habari ID: 3474468 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24
TEHRAN (IQNA)- Hujuma ya kigaidi imelenga msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Kandahar, Afghanistan na kuepelekea waumini wasiopungua 32 kuuawa shahidi na wengine zaidi ya 53 kujeruhiwa.
Habari ID: 3474426 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/15
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kufuatia kuuawa shahidi na kujeruhiwa idadi kubwa ya watu wasio na hatia nchini Afghanistan.
Habari ID: 3474400 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09
TEHRAN (IQNA)- Waumini zaidi ya 60 wameopoteza maisha katika hujuma kigaidi dhidi ya msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia huku katika mji wa Kunduz kaskazini mashariki mwa Afghanistan.
Habari ID: 3474397 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/08
TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia inakusudia kutekeleza adhabu ya kifo dhidi ya vijana watano ambao walikamatwa miaka kadhaa iliyopita wakiwa watoto wadogo.
Habari ID: 3472529 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/04
TEHRAN (IQNA)- Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetahadharisha kuhusu mpango wa utawala wa Saudi Arabia kuwanyonga wafungwa 12 Waislamu wa madhehebu ya Shia Ithnashariya.
Habari ID: 3471735 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/09
TEHRAN (IQNA)- Hatimaye Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Saudi Arabia usitishe jinai na hujuma zake dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471119 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/13
Maulamaa wa madhehebu ya Shia nchini Bahrain wametoa taarifa na kulalamikia hatua ya utawala wa kifalme nchini humo kuwakamata maulamaa wa Kiislamu na maimamu wa misikiti.
Habari ID: 3470253 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/18
Maandamano yamefanyika katiak maeneo mbali mbali duniani ikiwa ni pamoja na Iraq, Bahrain, Uingereza na Pakistan kulaani mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Nigeria.
Habari ID: 3465571 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/18
Mwana wa kiume wa Sheikh Ibrahim Zakzaky wa nchini Nigeria amesema familia bado haijazungumza na kiongozi huyo wa Waislamu wa madhehebu ya Shia tangu alipokamatwa na kwa mantiki hiyo hawana uthibitisho wowote kama yuko hai au la.
Habari ID: 3465562 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/18
Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu ICRO limetoa taarifa na kulaani hujuma ya hivi karibuni ya jeshi la Nigeria dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia ambapo zaidi ya waumini 1000 wameripotiwa kuuawa.
Habari ID: 3464304 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/17
Polisi nchini Nigeria wameendeleza ukatili wa jeshi la nchi hiyo kwa kuwaua Waislamu wanne wa madhehebu ya Shia huku magaidi wa Boko Haram wakiachwa huru kuendeleza mauaji yao.
Habari ID: 3463969 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/16
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitaka serikali ya Nigeria kuwaheshimu viongozi wa kidini na maeneo matakatifu, siku moja baada ya jeshi la nchi hiyo kumkamata kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky, baada ya kutekeleza hujuma nyumbani kwake kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3463095 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/14
Jeshi la Nigeria limemkamata kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky, baada ya kutekeleza hujuma nyumbani kwake kaskazini wa nchi hiyo.
Habari ID: 3462774 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/13
Waislamu 21 wa madhehebu ya Shia wameuawa shahidi katika jimbo la Kano, kaskazini mwa Nigeria baada ya gaidi moja kujiripua kwenye msafara wa Waislamu hao Ijumaa hii.
Habari ID: 3457492 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/27