iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Msikiti umeteketezwa moto mjini Chicago nchini Marekani katika tukio linaloaminika kutekelezwa na magadidi wenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3472239    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/29

TEHRAN (IQNA) – Rais Reccep Tayyip Erdogan wa Uturuki ametoa wito kwa Umoja wa Mataifa na asasi zingine za kieneo kuitangaza Machi 25 kama Siku ya Kimataifa ya Mshikamano katika Kukabiliana na Chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3472236    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/28

TEHRAN (IQNA) – Mufti wa Waislamu wa eneo la Volgograd Oblast nchini Russia amesisitiza ulazima wa kukombolewa mji Mtakatifu wa Quds, sehemu uliko Msikiti wa Al Aqsa na kusema kutetea Quds Tukufu na Palestina kunapaswa kuwa kadhia muhimu zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa.
Habari ID: 3472234    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/27

TEHRAN (IQNA) – China imetoa taarifa na kupinga madai ya kimataifa kuwa imewaweka Waislamu wa mkoa wa Xinjiang katika kambi maalumu kwa lengo la kuwabadilisha itikadi zao.
Habari ID: 3472232    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/26

TEHRAN (IQNA) – Pakistan imelaani vikali hatua ya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na imemkabidhi balozi wa Norway mjini Islamabad malalamiko sambamba na kupanga kuwasilisha malalamiko katika Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiislamu OIC.
Habari ID: 3472230    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/25

TEHRAN (IQNA) - Kitendo cha kuichoma moto Qur'an Tukufu kilichojiri katika mkusanyiko mmoja wa maandamano hivi karibuni nchini Norway kimeendelea kulaaniwa.
Habari ID: 3472223    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/20

TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Kituo cha Kiislmau cha Al Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmed el Tayeb amekutana na Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, Ijumaa mjini Vatican.
Habari ID: 3472221    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/18

TEHRAN (IQNA) – Washiriki katika Mkutano wa Pili wa Viongozi wa Kidini Duniani umefanyika huko Baki katika Jamhuri ya Azerbaijan ambapo washiriki wamesisitiza kuhusu ulazima wa kuheshimu uwepo wa dini mbali mbali sambamba na kuendeleza vita dhidi ya ugaidi.
Habari ID: 3472220    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/18

TEHRAN (IQNA) – Mufti Shawqi Allaam amesema Uislamu ni dini ya ustahamilivu na rehema na inataka watu waishi pamoja kwa amani na wawe na mazungumzo baina yao.
Habari ID: 3472219    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/18

TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa 33 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umemalizika mjini Tehran Jumamosi usiku.
Habari ID: 3472218    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/17

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuondolewa Israel kuna maana ya kuondolewa utawala bandia wa Kizayuni na mahala pake kuchukuliwa na serikali iliyochaguliwa na wamiliki wa asili wa Palestina ambao ni Waislamu, Wakristo na Mayahudi.
Habari ID: 3472216    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/15

TEHRAN (IQNA)- Makamanda wawili wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina wameuawa aktika hujuma mpya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3472213    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/13

TEHRAN (IQNA) – Awamu ya Tatu ya Zawadi ya Mustafa SAW 2019 imetangazwa Jumatatu katika mji mkuu wa Iran, Tehran, ambapo wanasayansi watatu wa Iran na wawili kutoka Uturuki wametangazwa washindi.
Habari ID: 3472211    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/12

Kufuatia Hukumu ya Mahakama
TEHRAN (IQNA) Mahakama Kuu ya India imewapokonya Waislamu ardhi ya Msikiti wa kihistoria wa Babri na kuwakabidhi Mabiniani (Wahindi) eneo hilo ili wajenge hekalu lao.
Habari ID: 3472207    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/09

TEHRAN (IQNA) – Kwa mara ya kwanza katika Msikiti wa Blauwe huko Amsterdam Uholanzi, kumeadhiniwa wakati wa Sala ya Ijumma kwa kutumia vipaza sauti.
Habari ID: 3472205    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/08

TEHRAN (IQNA) – Uchunguzi wa maoni umebaini kuwa asilimia 42 ya Waislamu Ufaransa wanabaguliwa au kubughudhiwa nchini humo.
Habari ID: 3472204    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/07

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema bado anaendelea kuwa na wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya Myanmar, ikiwemo katika jimbo la Rakhine kutokana na kukandamizwa Waislamu wa jamii ya Rohingya katika eneo hilo.
Habari ID: 3472201    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/05

TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Cairo nchini Misri kimeandaa warsha iliyojadili mada ya 'Vita Dhidi ya Ugaidi Kwa Mtazamo wa Qur'ani'.
Habari ID: 3472197    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/02

TEHRAN (IQNA) – Taasisi ya Darul Iftaa ya Misri imelaani vikali hatua ya gazeti la Kimarekani la Washington Post kumsifu kinara wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) aliyeuawa kuwa eti alikuwa 'mwanazuoni wa kidini aliyishi kwa unyenyekevu na usahali'.
Habari ID: 3472195    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/31

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) –Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuna siku Wapalestina watarejea katika ardhi zao ambazo sasa zinakaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472194    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/31