qurani tukufu - Ukurasa 32

IQNA

IQNA – Licha ya ulemavu wa machi, Muhammad Hafizuddin Muhammad Amirul Hakim Linges mwenye umri wa miaka 10 ana uwezo wa kipekee.
Habari ID: 3480482   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/01

Tawakkul katika Qur'ani /3 
IQNA – Tawakkul (kumtegemea Mwenyezi Mungu) ni neno lenye maana pana katika nyanja za dini, tasawwuf, na maadili.  Inahusiana na dhana mbalimbali, ikiwemo imani na uchaji Mungu.
Habari ID: 3480436   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/25

IQNA – Hafla ya kufunga mashindano ya Qur'ani ya Ramadhani nchini Uganda ilifanyika wiki hii katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
Habari ID: 3480423   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/23

IQNA – Hossein Khani Bidgoli kutoka Iran amesema alikuwa na furaha na jinsi alivyofanya katika Mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur'ani ya Jordan.
Habari ID: 3480420   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/23

IQNA – Watoto wadogo waliochukua walioshika nafasi za juu katika toleo la 30 la Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani nchini Qatar wameitunukiwa tuzo.
Habari ID: 3480416   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/22

IQNA – Jordan imezindua mashindano yake ya 32 ya Qur'ani ya kimataifa, yanayojulikana kama Tuzo ya Qur'ani ya Kimataifa ya Jordan , kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka nchi 51.
Habari ID: 3480413   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/22

Teknolojia
IQNA – Akili Mnemba (Artificial Intelligence - AI) ni moja ya maendeleo makubwa ya kiteknolojia katika zama za kisasa na inatumiwa katika maeneo mengi, ikiwemo kuchakata maandiko ya kidini.
Habari ID: 3480403   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/19

IQNA – Waziri mmoja wa Malaysia ameitaja Qur'ani kama nuru inayoongoza na dira kwa kila hatua maishani.
Habari ID: 3480402   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/19

Tawakkul katika Qur'ani/2
IQNA – Tawakkul inamaanisha kuwa na ujasiri, imani, na kutegemea tu uwezo na maarifa ya Mwenyezi Mungu, bila kuwa mtegemezi kwa wanadamu au vinginevyo.
Habari ID: 3480396   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/18

IQNA – Kufuatia hitimisho la hatua ya kwanza ya Tuzo ya 2 ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al-Ameed, waandaaji wametangaza wale waliopita hadi awamu ya pili. 
Habari ID: 3480383   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/16

IQNA – Mtu anapaswa kuepuka kuchochea tofauti, badala yake ajikite katika kuhimiza mazungumzo miongoni mwa vijana Waislamu kwa misingi ya mafunzo ya Qur'ani na Ahl-ul-Bayt (AS), amesema mwanazuoni wa Kiiraqi. 
Habari ID: 3480382   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/16

IQNA – Balozi wa Iran nchini Indonesia amesisitiza shauku ya Jamhuri ya Kiislamu ya kupanua ushirikiano wa Qur’ani na nchi hiyo ya Kusini-Mashariki mwa Asia. 
Habari ID: 3480381   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/16

IQNA – Washindi wakuu wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Somalia wametunukiwa zawadi katika hafla iliyohudhuriwa na Rais Hassan Sheikh Mohamud.
Habari ID: 3480377   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/15

IQNA – Katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, misikiti nchini Kosovo imepiga hatua kubwa katika kufundisha Qur'ani kwa watoto.
Habari ID: 3480376   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/15

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 14 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Ali Ghasemabadi, Mojtaba Parvizi, Mahdi Adeli, na Habib Sedaqat. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480373   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/15

IQNA – Kituo cha Qur'ani cha Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Hadhrat Abbas (AS) kimezindua toleo la tatu la mpango wake maalum wa Qur'ani kwa watoto na vijana katika eneo la Bainul Haramayn, Karbala.
Habari ID: 3480371   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/14

IQNA – Waziri Mkuu wa Somalia, Hamza Abdi Barre, amesema kwamba mashindano ya kitaifa ya Qur'ani yanachangia kuimarisha mshikamano na umoja ndani ya jamii ya Somalia.
Habari ID: 3480369   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/14

IQNA – Profesa wa Italia amesifu Maonyesho ya 32 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran kwa kuimarisha uhusiano kati ya Waislamu, akisisitiza jukumu lake katika kuimarisha mshikamano wa kimataifa na kuwezesha kubadilishana maarifa.
Habari ID: 3480363   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/13

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 12 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Hossein Rostami, Mahdi Adeli, Jafar Fardi, na Ali Ghasemabadi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480362   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/13

IQNA – Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Waislamu hawatashindwabikiwa watafuata mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3480356   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/12