iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Qari wa kimataifa wa Iran Alireza Bijani hivi karibuni amesoma aya za 63 hadi 71 za Surah Al-Furqan katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477798    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27

Chuki dhidi ya Uislamu
STOCKHOLM (IQNA) - Mamlaka za Uswidi zimeamua kumfukuza raia wa Iraq ambaye alivunjia heshima nakala za Qur'ani Tukufu katika maandamano ya hadhara katika miezi ya hivi karibuni.
Habari ID: 3477796    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27

Zifahamu Dhambi/3
TEHRAN (IQNA) – Katika lugha ya Qur’ani Tukufu na Mtukufu Mtume (SAW), kuna maneno mbalimbali yanayotumika kutaja madhambi.
Habari ID: 3477782    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/24

Khums katika Uislamu/3
TEHRAN (IQNA) – Uchumi ambao Uislamu unaupendelea ni ule uliochanganyika na maadili na hisia, na kuangalia aya kuhusu Khums ndani ya Qur’ani Tukufu kunadhihirisha vipengele muhimu vya suala hili.
Habari ID: 3477781    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/24

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
KUWAIT CITY (IQNA) - Toleo la mwaka huu la Tuzo la Kimataifa la Qur'ani Tukufu la Kuwait litafanyika mwezi ujao.
Habari ID: 3477779    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/24

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Ahlu Bayti (AS) ni maneno yanayotumiwa kurejelea familia ya Mitume wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3477778    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/24

TEHRAN (IQNA) – Tabia ni dhana kuu inayohusiana na ukuaji wa mwanadamu na kuidharau hutusaidia kupata karibu na ukuaji halisi wa mwanadamu katika mazingira anayoishi.
Habari ID: 3477772    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/22

TEHRAN (IQNA) – Neno Zaka limetumika ndani ya Qur’ani Tukufu mara 32 na Kitabu kitukufu kinataja matokeo mbalimbali ya kutoa Zaka.
Habari ID: 3477755    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/18

CAIRO (IQNA) - Duru ya Qur'ani ilifanyika katika Msikiti wa Imam Hussein (AS) huko Cairo kwa kushirikisha baadhi ya makari mashuhuri.
Habari ID: 3477751    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/18

TEHRAN (IQNA) – Ili kupata marudio yoyote, tunapaswa kumfuata mtu anayeijua njia vizuri.
Habari ID: 3477749    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/17

Waislamu Mauritania
NOUAKCHOTT (IQNA) - Mauritania imeanza kusambaza nakala 300,000 za Qur'ani Tukufu katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3477667    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/29

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
AMMAN (IQNA) – Hafidha wa Qur'ani Tukufu kutoka Jordan aliyeshinda Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Dubai kwa wanawake anasema Qur'ani Tukkufu itasalia katika mioyo ya Waislamu licha ya vitendo vyote vya kufuru dhidi yake.
Habari ID: 3477661    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/28

Wasomaji bingwa wa Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) – Visomo vya Qur’ani vya msomaji maarufu wa Misri Sheikh Sheikh Abul Ainain Shuaisha vilitoka kwenye kina cha nafsi yake na ndio maana viligusa nyoyo za wasikilizaji.
Habari ID: 3477657    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26

Harakati za Qur'ani Tukufu
SHARJAH (IQNA) – Duru ya pili ya Kongamano la Kimataifa la Qur’ani lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Al Qasimia lilimalizika mjini Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3477644    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/24

Diplomasia
NEW YORK (IQNA) - Vitendo kama vile kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu vinatumiwa na magaidi kwa maslahi yao, mkuu wa sera za kigeni wa EU alisema.
Habari ID: 3477634    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/22

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa Iran amelihutubia Kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kueleza kwamba, maadui hawatafanikiwa kupotosha uhakika wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477623    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/20

Harakati za Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) - Hafla imefanyika katika mji wa Itsa, Jimbo la Faiyum nchini Misri, kuwaenzi wahifadhi 989 wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477613    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/17

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, lobi ya Wazayuni na waungaji mkono wake duniani kote wanataka kuyatenganisha mataifa ya Kiislamu na Qur'ani Tukufu na vilevile Mtume Muhammad (SAW) ili kuendeleza ajenda zao wenyewe.
Habari ID: 3477610    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/17

Ulimwengu wa Kiislamu
RABAT (IQNA) – Klipu ya video inayoonyesha usomaji wa Qur’ani Tukufu watoto nchini Morocco katikaeneo lililokumbwa na tetemeko la ardhi lililosababishauharibifu mkubwa hivi majuzi imesambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3477595    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/14

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)--Waziri wa Sheria wa Uswidi, Gunnar Stromer, ameonya kuhusu hali ya hivi sasa ya usalama nchini mwake na kusema kwamba hali yetu ni ya giza sana hivi sasa baada ya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477531    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/01