iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Qur’ani Tukufu nchini Misri Sheikh Abdul Fattah Taruti ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kimataifa la Kuhifadhi Qur’ani.
Habari ID: 3473208    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/27

TEHRAN (IQNA) – Harakati za Qur’ani nchini Misri zimeanza leo Jumamosi kufuatia idhini ya Chuo Kikuu cha Al Azhar.
Habari ID: 3473205    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/26

TEHRAN (IQNA) – Hivi karibuni kumesambazwa qiraa yenye mvuto ya Qur'ani Tukufu ya qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmod Shahat Muhammad Anwar.
Habari ID: 3473184    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/19

TEHRAN (IQNA) – Waalimu watano wa Qur'ani wameuawa baada ya kufyatuliwa risasi na magadi katika kikao cha kusoma Qur'ani Tukufu kusini mwa Somalia.
Habari ID: 3473182    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/18

TEHRAN (IQNA) – Mafundisho ya Qur’ani kwa njia ya intaneti yameandaliwa na Kituo cha Darul Qur’an nchini Lebanon. Kituo hicho kinafungamana na Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3473169    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/14

TEHRAN (IQNA) –Waislamu nchini Sweden wametaka katiba ya nchi hiyo ifanyiwe marekenisho iliiwe na kipengee cha kupiga marufuku kuvunjiwa heshima matukufu ya kidini.
Habari ID: 3473168    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/14

TEHRAN (IQNA) –Wajumbe wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) leo wametoa taarifa ya pamoja na kulaani vikali kujunija heshima Mtume Muhammad SAW pamoja na Qur’ani Tukufu barani Ulaya.
Habari ID: 3473161    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/12

TEHRAN (IQNA) - Mjumbe wa chama chenye misimamo mikali cha Stram Kurs (Msimamo Mkali) nchini Denmark amekivujia heshima kitabu kitakatifu cha Qur'ani kwa kuchoma moto nakala ya kitabu hicho katika kitongoji cha wabaguzi wa rangi cha Rinkeby mjini Stockholm
Habari ID: 3473158    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/11

TEHRAN (IQNA) – Mbunge mmoja nchini Mauritania ameitaka serikali ya nchi hiyo kuhakikisha kuwa Qur’ani Tukufu inafunzwa katika chekechea zote nchini humo.
Habari ID: 3473155    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/10

TEHRAN (IQNA) – Shughuli za kielimu katika Chuo Kikuu cha Qur’ani nchini Sudan zimepangwa kuanza baada ya wiki chache.
Habari ID: 3473150    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/08

TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu limelaani kitendo cha jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo cha kumvunjia heshima tena Bwana Mtume Muhammad SAW na vile vile kitendo kichafu kilichofanywa nchini Sweden cha kuuchoma moto nakala ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473145    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/07

Sheikh Mkuu wa Al Azhar
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mkuu wa Al Qur’ani amelaani vikali vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu na kutaja vitendo hivyo vilivyo dhidi ya dini kuwa ni jinai ya kigaidi.
Habari ID: 3473143    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/06

Ayatullah Nouri Hamedani
TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni wa ngazi za juu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu ni njama za vituo vya kifikra vya Utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani katika fremu ya kueneza chuki na hofu dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473142    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/06

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Iran Saeed Parvizi hivi karibuni alisoma aya za Sura al-Kahf za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3473138    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/05

TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Walimu wa Chuo Kikuu cha Kidini (Hawza) cha Qum hapa Iran imelaani vikali kuvunjiwa heshima matukufu ya Qur'ani Tukufu na Mtume Muhammad SAW na kusisitiza kuwa, kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu kwa kisingizio cha uhuru wa itikadi kwa hakika ni kuukata roho uhuru huo na kungamiza kijinai, itakadi ya watu.
Habari ID: 3473137    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/04

TEHRAN (IQNA) –Kituo Jumuishi cha Kufunza Qur’ani (IQE) kimefunguliwa katika jimbo la Niger nchini Nigeria.
Habari ID: 3473133    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/03

TEHRAN (IQNA) – Klipu ya sauti ya qiraa ya Qarii Muirani Ustadh Kabir Qalandzadeh akisoma aya za Sura Sabah ya Qur’ani Tukufu imesambazwa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3473116    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/29

TEHRAN (IQNA) – Maandamano makubwa yameibuka kusini mwa Sweden Ijumaa usiku baada ya mwanasiasa wa Denmark anayepinga Uislamu kuzuiwa kuhudhuria hafla ya kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3473115    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/29

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Misri, Mahmodu Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani akiwa safarini katika jimbo la Dakahlia nchini humo.
Habari ID: 3473109    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/27

TEHRAN (IQNA) – Klipu ya tilawa ya Qur'ani Tukufu ya Qarii kutoka Japan imeenea katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3473091    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/22