Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /17
TEHRAN (IQNA) – Mohammed Ahmed Omran alikuwa qari mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Misri na msomaji wa Ibtihal (usomaji dua unaoshabihiana na qiraa ya Qur’ani Tukufu).
Habari ID: 3476407 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/15
Sura za Qur’ani Tukufu / 56
TEHRAN (IQNA) – Kuna maoni na nadharia tofauti kuhusu kitakachotokea mwishoni mwa wakati. Wengi wao wanatabiri kwamba matukio ya kustaajabisha na makali yatatokea duniani. Surah Al-Waqi’a ya Qur’ani Tukufu inaonyesha baadhi ya matukio hayo.
Habari ID: 3476405 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/15
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Hafla ilifanyika Erzurum, mashariki mwa Uturuki, kupongeza mafanikio ya watu wengi ambao wameweza kuhifadhi au kujifunza Qur'ani Tukufu kwa moyo.
Habari ID: 3476403 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindani wanaendelea kuonyesha vipaji vyao katika duru ya mwisho ya toleo la 45 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3476402 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 23 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum yalimalizika katika Umoja wa Falme za Kiarabu siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3476401 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14
Harakati za Qur'ani Sudan
TEHRAN (IQNA)- Idadi kubwa ya wananchi wameshiriki katika sherehe ya kuwapongeza wanafunzi wanafunzi 150 waliohifadhi Qur'ani katika shule za mji wa Hamshkorib Kaskazini-Mashariki mwa Sudan.
Habari ID: 3476399 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/13
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Afisa mmoja wa Palestina anasema takriban wakazi 13,000 Wapalestina katika mji wa al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu huenda wakalazimika kuyahama makazi yao kutokana na sera za utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3476398 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/13
Qiraa bora
TEHRAN (IQNA) – Muhammad Irshad Murabaei ni qari mwenye ulemavu wa macho nchini Algeria ambaye pia ni imamu wa sala nchini humo.
Habari ID: 3476393 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/12
Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu ya Misri imesema imetayarisha programu mbalimbali za Qur’ani Tukufu na za kidini kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476388 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/11
Tafsiri na Wafasiri wa Qur'ani Tukufu /14
TEHRAN (IQNA) – Sayed Radhi katika kitabu chake ‘Talkhis al-Bayan fi Majazat al-Quran’ anazungumzia muujiza wa Qur'ani Tukufu kwa mtazamo balagha na sitiari.
Habari ID: 3476386 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/11
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /16
TEHRAN (IQNA) – Mwanachuoni na mtafiti wa Kimisri Abd al-Razzaq Nawfal alisoma sayansi ya kilimo lakini akavutiwa na fani ya masomo ya Kiislamu na hivyo akaamua kusoma taaluma ya miujiza ya kisayansi ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476372 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/08
Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Rais wa Mauritania Mohamed Ould Ghazouani ametembelea maonyesho ya Qur'ani Tukufu katika mji mkuu wa nchi hiyo Nouakchott.
Habari ID: 3476370 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/07
Wanasoka Waislamu
TEHRAN (IQNA)-Klipu ya video inaendelea kusambaa katika mitandao ya kijamii ikumuonyesha mchezaji wa zamani wa Timu ya Soka ya Arsenal ya Uingereza, Vassiriki Abou Diaby akisoma aya za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476369 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/07
Sura za Qur'ani Tukufu /54
TEHRAN (IQNA) – Wanasayansi hawajapata sababu ya mpasuko unaoonekana katika mwezi lakini baadhi yao wanasema mpasuko huo ulijiri mamia ya miaka iliyopita.
Habari ID: 3476368 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/07
Waislamu Pakistan
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Pakistan itafuatilia tarjuma za Qur'ani Tukufu zilizo katika mitandao ya kijamii nchini humo ili kuhakikisha kuwa ni shahihi kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3476362 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/14
TEHRAN (IQNA) – Kitabu kiitwacho ‘Mabahith fi Tafsir al-Madhuei’ (Majadiliano Kuhusu Tafsiri ya Kimadhari) ni mojawapo ya kazi kuu za mwanazuoni wa Syria Sheikh Mustafa Muslim kuhusu tafsiri ya Qur’ani.
Habari ID: 3476352 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03
Tafsiri na Wafasiri wa Qur'ani Tukufu /13
TEHRAN (IQNA) – Tafsir ya Surabadi ni tafsiri ya Qur'ani Tukufu iliyoandikuwa na mwanachuoni wa Kisunni Aboubakr Atiq ibn Muhammad Heravi Nishaburi, anayejulikana kama Surabadi au Suriyani.
Habari ID: 3476347 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/02
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/13
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mustafa Muslim (1940-2021) alikuwa mtu mashuhuri katika uwanja wa sayansi za Qur’ani ambaye aliandika vitabu 90, ikiwa ni pamoja na ensaiklopidia za sayansi za Qur’ani.
Habari ID: 3476346 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/02
Historia ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho La Louvre la Paris limefungua maonyesho mapya ambayo kwa kiasi fulani yanaonyesha baadhi ya kurasa za mojawapo ya nakala kongwe zaidi za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476344 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/02
Sura za Qur'ani Tukufu / 52
TEHRAN (IQNA)- Mengi yamesemwa kuhusu akhera na maisha baada ya kifo na miongoni mwa imani kuu juu yake ni ile ya watu wa dini hasa Waislamu wanaoamini kuwa matendo ya kila mtu yatapimwa Siku ya Kiyama na kwa kuzingatia tathmini hiyo atakwenda ama peponi au motoni.
Habari ID: 3476334 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/31