TEHRAN (IQNA) – Shule za Qur'ani zimefungwa kwa muda wa siku 10 kufuatia ongezeko kubwa la maambukizi ya COVID-19.
Habari ID: 3474835 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/22
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la kimataifa la kujadili mfumo na nidhamu ya pamoja ya majaji wa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani limemalizika Alhamisi katika mji wa Karbala nchini Iraq.
Habari ID: 3474834 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/21
TEHRAN (IQNA)- Kikao cha kumuenzi qarii maarufu wa Misri Marhum Mohammad Siddiq El-Minshawi kimefanyika kwa njia ya intaneti kwa hisani ya Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA) na Taasisi ya Iran ya Ahsan ul Hadith.
Habari ID: 3474828 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/19
TEHRAN (IQNA)- Wasomaji Qur'ani wanne Wairani wamesoma pamoja aya za 6 na 7 za Surah al Infitar.
Habari ID: 3474824 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/19
TEHRAN (IQNA)- Maonyesho kuhusu uchapishaji Qur'ani Tukufu yamezinduliwa Riyadh, mji mkuu wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3474815 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/16
TEHRAN (IQNA)- Watu wa Morocco wametoa wito kwa Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu nchini humo irejeshe Misahafu katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3474805 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/14
TEHRAN (IQNA)- Wafungwa wapatao 608 huko Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wamefanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.
Habari ID: 3474801 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/13
TEHRAN (IQNA)- Wasomaji Qur'ani Sayyid Mustafa Husseini na Sayyid Jasim Mousavi wamesambaza klipu inayonyesha wakiwa wanasoma aya za Sura Ad Dhuha kwa pamoja kwa mtindo wa qarii mashuhuri wa Misri marhum Sheikh Mohammad Siddiq El Minshawi.
Habari ID: 3474768 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/05
Mtaalamu mmoja wa Qur'ani Tukufu nchini Algeria amesema kuwa wakoloni walitekeleza njama za makusudi za kudhoofisha nafasi na hadhi ya Qur'ani barani Afrika.
Habari ID: 3474758 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/03
TEHRAN (IQNA)- Roa'a al Sayyed, msichana mwenye umri wa miaka 11 aliye naulemavuu wa macho nchini Misri amefanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu kwa muda wa miezi 18.
Habari ID: 3474744 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/30
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Wasomaji Qur'ani Tukufu Misri imeitisha mkutano hivi karibuni ambapo imeamuliwa kuwa wananchama wote wapya wanapaswa kuwa wamehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3474742 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/30
TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni mwandamizi nchini Iran amesema Qur'ani Tukufu ni muujiza wa kudumu.
Habari ID: 3474740 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/29
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Kuwait imeandaa mashindano ya mabingwa wa Qur’ani katika kategoria za wanawake na wanaume.
Habari ID: 3474714 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/23
Habari ID: 3474711 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/23
TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya Misahafu ya kale yanafanyika katika mjini Sharjah Umnoja wa FALME ZA Kiarabu (UAE) katika Chuo kikuu cha Sharjah, Tawi la Kalba.
Habari ID: 3474708 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/22
TEHRAN (IQNA)- Kamati ya Kidini katika Bunge la Misri limeanza kujadili pendekezo la kuandika tafsiri mpya ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474707 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/22
TEHRAN (IQNA) – Duru ya kwanza ya mashindano yay a kitaifa ya wanawake itafanyika nchini Kyrgyzstan.
Habari ID: 3474698 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/20
TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Misri Abdul Fattah Tartouti amesimulia kisa cha ajabu cha qarii mwenzake marhum Muhammad al-Laythi.
Habari ID: 3474693 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/19
TEHRAN (IQNA)- Chombo cha kidijitali chenye Qur'ani Tukufu na tafsiri katika maandishi ya nukta nundu au braille kimeundwa Saudi Arabia kwa ajili ya wenye ulemavu wa macho.
Habari ID: 3474689 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/18
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Taha la Fashni alikuwa qarii mashuhuri wa Qur'ani Tukufu na alikuwa pia ni mfuasi wa qiraa ya Sheikh Mustafa Ismail.
Habari ID: 3474672 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/14