TEHRAN (IQNA)- Sambamba na siku za Arubaini ya Imam Hussein AS, wasomaji Qur’ani Tukufu katika ngazi ya kimataifa wameshiriki katika vikao vya kusoma Qur’ani ambavyo vimeandaliwa na Shirika la Habari la IQNA chini ya kaulimbiu ya ‘Ya Hussein katika Mazingira ya Qur’ani’.
Habari ID: 3474357 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29
TEHRAN (IQNA)- Abdullah Ammar Mohammad al-Sayyed ni kijana Mmisri mwenye ulemavu wa macho ambaye alifanikiwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika kipindi cha miezi mitatu tu.
Habari ID: 3474352 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28
TEHRAN (IQNA)- Vijana Wapalestina wapatao 140 ambao wamehifadhi Qur’ani Tukufu wameshiriki katika matembezi huko katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3474338 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/25
TEHRAN (IQNA)- Ufalme wa Saudi Arabia umeandaa uchunguzi wa maoni kuhusu kupiga marufuku somo la Qur’ani katika vyuo vikuu vya nchi hiyo jambo ambalo limeibua mijadala mikali katika mitando ya kijamii.
Habari ID: 3474327 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/22
TEHRAN (IQNA) – Hafla imefanyika katika mji wa Khan Yunis katika eneo la Palestina la Ukanda wa Ghaza kwa lengo la kuwaenzi wanafunzi waliohifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474321 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/21
TEHRAN (IQNA) – Darul Iftaa ya Misri imetangaza marufuku ya kuandika aya za Qur'ani Tukufu kwa alfabeti za kilatini.
Habari ID: 3474316 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/20
TEHRAN (IQNA)- Duru ya Tano ya Kozi Maalumu ya Kanuni za Tilawa ya Qur’ani Tukufu inafanyika nchini Mali kwa himaya ya Kituo cha Darul Qur’an cha Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474306 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/17
TEHRAN (IQNA)- Sherehe imefanyika katika kijiji kimoja kaskazini mwa Misri kuwaenzi wanafunzi waliohifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474285 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kuchapisha Qur’ani Tukufu nchini Kuwati imechapisha Juzuu ya 30 ya Qur’ani Tukufu kwa hati za Baraille au maandishi nukta nundu.
Habari ID: 3474279 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/09
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Jordan wa Wakfu, Masuala ya Kiislamu na Maeneo Matakatifu amesema kuna zaidi ya vituo 2,000 vya Qur'ani vinavyotumika wakati wa msimu wa joto nchini humo.
Habari ID: 3474264 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/06
TEHRAN (IQNA)- Taasisi ya Dar Al-Quran na Al-Sunnah ya Ukanda wa Ghaza zimefanya matembezi makubwa ya watoto wa Qur'ani katika kambi ya Nuseirat katikati mwa eneo hilo
Habari ID: 3474261 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/05
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Murad Sabati ni qarii maarufu wa Qur'ani Tukufu nchini Algeria ambaye ana sauti nzuri.
Habari ID: 3474251 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/02
TEHRAN (IQNA)- Msahafu ambao umetajwa kuwa mkubwa zaidi duniani utaonyeshwa katika maonyesho ya Expo 2020 Dubai ambaye yanatazamiwa kuanza mjini humo baadaye mwezi Oktoba.
Habari ID: 3474242 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/31
TEHRAN (IQNA)- Idara ya Masuala ya Kidini Katika Ofisi ya Rais wa Uturuki (Diyanet) imetangaza kuwa karibu watoto milioni 2 walifaulu katika kozi za kuhifadhi Quran zilizofanyika kote nchini.
Habari ID: 3474226 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/25
TEHRAN (IQNA) - Mkurugenzi mpya wa Idhaa ya Qur'ani ya Radio ya Misri alisema programu maalum itarushwa na idhaa hiyo siku za usoni ambayo inaangazia qiraa nadra za Qur'ani ambazo ni za wasomaji Wamisri.
Habari ID: 3474222 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/24
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Sultan Bin Mohammed Al Qasimi, Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Mtawala wa Sharjah, amekabidhi nakala nne nadra za nakala za Qur'ani Tukufu kwa Akademia ya Qur'ani Tukufu mjini Sharjah.
Habari ID: 3474220 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/23
TEHRAN (IQNA) - Kikao cha kusoma Qur'ani Tukufu kitafanyika Alfajiri ya Siku ya Ashura katika msikitini katika eneo la Rey mjini Tehran.
Habari ID: 3474199 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/17
TEHRAN (IQNA) - Shughuli za juu za Qur'ani za Waislamu wa madhehebu ya Shia katika sehemu tofauti za ulimwengu zimearifishwa katika sherehe ya kufunga toleo la kwanza la "Tuzo ya Ulimwengu 114".
Habari ID: 3474180 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/11
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Vijana, Michezo nchini Mauritania ametangaza kufunguliwa vituo vya kurekodi na kusambaza qiraa ya Qur'ani Tukufu kwa sauti ya wasomaji wa Mauritania.
Habari ID: 3474169 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/07
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Wakfu nchini Sudan amesisitiza umuhimu wa kufundisha sayansi ya dini na ufahamu wa Qur'ani shuleni.
Habari ID: 3474158 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/04