iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Wanachama kadhaa wa jamii ya Qur'ani nchini Iran, wakiwemo wasomaji wakongwe wa Qur'ani, wanazuoni na wasimamizi wa taasisi za Qur'ani wamekutana Jumamosi katika ofisi za Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA) katika siku ya kwanza ya kazi ya mwaka mpya wa 1400 Hijria Shamsiya
Habari ID: 3473780    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/04

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Qatar imetangaza mpango wa kuanzisha vituo zaidi vya kusomesha wanawake Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3473771    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/30

TEHRAN (IQNA) – Mchezaji maarufu wa soka wa timu ya Ligi Kuu ya England, Mohammad Salah ameonekana akisoma Qur’ani Tukufu akiwa ndani ya ndege.
Habari ID: 3473758    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/24

TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Jumamosi alisikiliza qiraa ya Qur'ani katika mji wa kale mji wa Ur Kaśdim kaskazini mwa Iraq, eneo ambalo inaaminika alizaliwa Nabii Ibrahim (Abraham) –Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake.
Habari ID: 3473714    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/07

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Saeed Mohammad Nour, maarufu kama 'Sheikh Saeed' alikuwa qarii maarufu wa Sudan ambaye kwa muda mrefu aliishi Misri na kisha akaaga dunia akiwa nchini Kuwait.
Habari ID: 3473696    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/02

TEHRAN (IQNA) – Mwaka 1994, qarii mashuhuri wa Misri marhum Sheikh Abolainain Shoaisha alitembelea Iran ambapo alishiriki katika kikao cha qiraa ya Qur'ani Tukufu katika Haram ya Hadhrat Abdul Adhim Hassani AS mjini Tehran.
Habari ID: 3473691    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/01

TEHRAN (IQNA) – Mohammad al-Fardi ni baba Mmisri ambaye watoto wake wote 8 wamehifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473678    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/24

TEHRAN (IQNA)- Wanafunzi zaidi ya 185 wa Qur'ani Tukufu kutoka mikoa 26 ya Algeria ambao wamefanikiwa kuhifadhi Qur'ani katika mafunzo yaliyotolewa kwa njia ya intaneti wameenziwa katika sherehe iliyofanyika mjini Oran, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3473676    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/23

TEHRAN (IQNA)- Mpango mpya umezinduliwa mjini Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu kwa lengo la kuwafadhili na kuwaunga mkono waalimu wa Qur’ani Tukufu kote duniani.
Habari ID: 3473672    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/22

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuyaelewa mafundisho sahihi ya Qurani Tukufu ndio ufunguo wa kuongoka katika njia iliyonyooka tabaka la vijana.
Habari ID: 3473647    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/13

TEHRAN (IQNA) – Qiraa ya Qur’ani Tukufu ya qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Anwar Shahat Anwar akiseoma Qur’ani Tukufu mjini Kermanshah Iran, imesembazwa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3473637    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/09

TEHRAN (IQNA) - Mvumbuzi wa Saudi Arabia ametangaza kuwa kufanikiwa kutayarisha nakala ya Qur’ani Tukufu ya kielektroniki kwa lugha ya Braille ambayo hutumiwa na watu wenye ulemavu wa macho.
Habari ID: 3473609    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/31

TEHRAN (IQNA) – Zuhra Darzi Alwash ni binti kutoka Syria anayeishi katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya nchi kaskazini magharibi mwa nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3473602    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/29

TEHRAN (IQNA)- Waliofika fainali katika Mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran wametangazwa na kamati andalizi.
Habari ID: 3473593    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/26

TEHRAN (IQNA) – Kikao cha qiraa ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya wanawake kimefanyika Tehran wakati wa kukaribia siku ya kukumbuka kuzaliwa Bibi Fatima Zahra SA
Habari ID: 3473590    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/26

TEHRAN (IQNA) – Idara ya Masuala ya Kidini Uturuki (Diyanet) imewatunuku Waislamu wa Argentina vitabu 7,000 vya kidini na nakala za Qur'ani Tukufu zilizotarjumiwa kwa Kihispania.
Habari ID: 3473589    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/25

TEHRAN (IQNA) – Klipu ya video imesambaa katika mitandao ya kijamii ikimuoneysha qarii maarufu wa Misri, Sheikh Ahmed Ahmed Noaina akisoma Qur'ani Tukufu akiwa amevalia barakoa.
Habari ID: 3473584    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/23

TEHRAN (IQNA) – Qarii maarufu wa Misri Sheikh Abdul Alim Fasada ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 73.
Habari ID: 3473567    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/18

TEHRAN (IQNA)- Siku kama ya leo miaka 1431 iliyopita, yaani tarehe 3 Jumada Thani mwaka wa 11 hijria, Bibi Fatima Zahra Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu Yake- Salamullah Alayha- (SA), binti kipenzi cha Bwana Mtume Muhammad SAW na mke wa Imam Ali bin Abi Talib SA alikufa shahidi baada ya kuishi umri mfupi tu lakini uliojaa baraka.
Habari ID: 3473564    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/17

TEHRAN (IQNA) - Televisheni ya Qur’ani ya Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) imerusha hewnai qiraa ya qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Ragheb Mustafa Ghalwash.
Habari ID: 3473551    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/12