qurani tukufu - Ukurasa 65

IQNA

Kuhifadhi Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Katika sherehe katika ardhi ya Palestina ya Ukanda wa Gaza, wahifadhi 143 wa Qur’ani Tukufu wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyohudhuriwa na idadi kubwa ya watu na maafisa wa serikali.
Habari ID: 3476011    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/31

Sura za Qur'ani Tukufu / 37
TEHRAN (IQNA) – Kuna makundi mbalimbali ya watu wanaokataa au wanaokana kuwepo kwa Mwenyezi Mungu au upweke wake. Mungu ametuma adhabu kwa baadhi yao na kuwapa baadhi ya wengine fursa ya kutubu huku akieleza ni hatima gani inayowangoja ikiwa hawatafanya hivyo.
Habari ID: 3476001    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28

Shakhsia Katika Qur'ani / 8
TEHRAN (IQNA) – Nabii Idris (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-) ndiye aliyekuwa wa kwanza kuandika kwa kalamu, kwa mujibu wa riwaya. Ametajwa kuwa ni msomi mwanafikra, na mwalimu na anajulikana kuwa mwanzilishi wa sayansi nyingi kutokana na elimu aliyoipata kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476000    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28

Usomaji Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Ifuatayo ni klipi ya zamani ya marhum Qarii maarufu wa Qur'ani Tukufu wa Misri Ustadh Abdul Basit Abdul Samad akisoma aya za 103-104 za Sura Al-Imran.
Habari ID: 3475999    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28

Sura za Qur’ani Tukufu / 36
TEHRAN (IQNA) – Kuna masuala na mada tofauti tofauti zilizotajwa ndani ya Qur’ani Tukufu, huku zile kuu na muhimu zikihusiana na kanuni tatu za dini, yaani Tauhidi, Utume na Ufufuo.
Habari ID: 3475996    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/27

Shakhsia katika Qur'ani/ 7
TEHRAN (IQNA) - Wasomi wanaoitafakari dunia na sababu za matukio ndani yake wanakuwa na nyenzo bora za kusonga mbele kwenye njia ya kiroho na ukamilifu kuliko watu wa kawaida.
Habari ID: 3475995    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/27

Sura za Qur’ani Tukufu / 35
TEHRAN (IQNA) - Mwanadamu anahitaji shughuli na kazi ili kupata pesa kwa ajili ya kuwa na maisha yaliyojaa amani na faraja. Qur'ani Tukufu imewaalika wanadamu kufanya biashara ambayo ndani yake hakuna hasara na ambayo inawapeleka kwenye amani ya milele.
Habari ID: 3475994    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/27

Qur’ani Tukufu Inasemaje / 25
TEHRAN (IQNA) – Hasira ni miongoni mwa hisia zinazosababisha uadui na huwa na matokeo mabaya ya kijamii.
Habari ID: 3475980    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/23

Shakhsia katika Qur’ani/5
TEHRAN (IQNA) – Qabil alikuwa mtoto wa kwanza wa Adam na Hawa. Hakuwa na tatizo na kaka yake Habil lakini kiburi na husuda vilimpelekea kutenda jinai ya kwanza mauaji ya kwanza katika historia ya mwandamu.
Habari ID: 3475979    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/23

Harakati ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Siku ya mwisho ya mwezi Oktoba imetajwa kuwa siku ya kuwaenzi wanaharakati wa Qur’ani Tukufu nchini Libya.
Habari ID: 3475971    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/22

Sura za Qur'ani Tukufu /22
TEHRAN (IQNA) – Katika aya mbalimbali za Qur'ani Tukufu, Mwenyezi Mungu amewapa changamoto wale wanaokataa ujumbe wa Wake, wale ambao walikuwa makafiri au washirikina. Mwenyezi Mungu anawapa changamoto ya kuunda chembe au kuleta aya inayofanana na ile ya Qur'ani Tukufu lakini hakuna aliyeweza kufanya hivyo.
Habari ID: 3475960    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/20

Sura za Qur'ani Tukufu / 21
TEHRAN (IQNA) – Hadithi za Mitume 16 wa Mwenyezi Mungu zimetajwa katika Sura Al-Anbiya ya Qur’ani Tukufu ili kudhihirisha ukweli kwamba Mitume wote walifuata njia moja na walifuata lengo moja na kwamba wafuasi wao wote ni Ummah mmoja.
Habari ID: 3475955    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/19

Sanaa ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Kongamano la kimataifa kuhusu orthografia wa Qur'ani limezinduliwa katika mji mkuu wa Libya wa Tripoli siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3475949    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/18

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN(IQNA0- Wanaharakati katika mitandao ya kijamii ya Ufaransa wamekemea vikali shambulio lililofanywa dhidi ya mwanafunzi wa Kiislamu aliyekuwa na vazi la staha la hijabu katika shule ya sekondari baada ya nakala ya Qur'ani Tukufu aliyokuwa nayo kuraruliwa na kisha akavuliwa vazii lake la Hijabu.
Habari ID: 3475944    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/17

Qur'ani Tukufu Inasemaje/ 8
TEHRAN (IQNA) – Kuheshimu wazazi ni mojawapo ya mafundisho makuu ya kimaadili ya Uislamu na Qur'ani inayapa umuhimu sana.
Habari ID: 3475940    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/16

Shakhsia katika Qur’ani / 12
TEHRAN (IQNA) – Nimrud amegeuka kuwa alama katika historia, alama ya mtu aliyejiona kuwa bwana wa ardhi na mbingu lakini akauawa na mbu.
Habari ID: 3475929    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/14

Ufundishaji Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Klipi ya video inayomuonyesha mtoto wa miaka minne akimfundisha Qur'ani ndugu yake wa miaka mitatu imesambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3475928    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/14

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)-Katika muendelezo wa mpango wa chuki dhidi ya Uislamu, mara hii walowezi wa Kizayuni wamechoma moto nakala kadhaa za Qur'ani Tukufu huko katika ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel.
Habari ID: 3475919    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/12

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al Azhar cha nchini Misri kimelaani kile ilichokitaja kuwa ugaidi za Kizayuni, baada ya Walowezi wa Kiyahudi kuchoma moto Qur'ani Tukufu katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3475912    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/11

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Hafla ya kufunga toleo la 6 la tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake ilifanyika Dubai ambapo washindi walipokea tuzo zao.
Habari ID: 3475905    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/09