TEHRAN (IQNA)- Televisheni ya Qur’ani ya Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) imezindua kipindi kipya cha kurusha hewani qiraa ya Qur’ani Tukufu ya wasomaji maarufu wa Misri.
Habari ID: 3473542 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/10
TEHRAN (IQNA) - Idara ya Masuala ya Kidini Uturuki (Diyanet) imesambaza nakala milioni moja za Qur’ani katika nchi mbali mbali duniani.
Habari ID: 3473527 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/05
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Algeria imeafiki kufunguliwa tena madrassah za Qur'ani Tukufu nchini humo ambazo zilikuwa zimesitisha shughuli zao kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473514 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/01
TEHRAN (IQNA)- Khitma ya Qur’ani Tukufu imefanyika Tehran Jumanne kwa mnasaba wa kukaribia mwaka moja tokea alipouawa shahidi kamanda wa ngazi za juu wa Iran, Luteni Jenerali Qassem Soleimani.
Habari ID: 3473507 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/30
TEHRAN (IQNA) – Madrassah za Qur’ani nchini Somalia maarufu kama Duksi zinaendelea kuwa tumaini kwa watoto nchini humo pamoja na kuwepo mazingira magumu ya kiuchumi, kijamii na umasikini mkubwa.
Habari ID: 3473506 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/30
TEHRAN (IQNA)- Muasisi wa kituo kikubwa zaidi cha Qur’ani Tukufu nchini Senegal amefariki dunia.
Habari ID: 3473499 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/27
TEHRAN (IQNA) – Akademia ya Qur’ani Tukufu, ambayo imetajwa kuwa miogoni mwa kubwa zaidi duniani, imefunguliwa huko Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3473498 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/27
TEHRAN (IQNA) – Binti Muirani, Hannaneh Khalafi, ambaye ametajwa kuwa bingwa wa Qur'ani, ataanza kutoa mafunzo ya kuhifadhi Qur'ani kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3473495 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/26
TEHRAN (IQNA) – Taasisi ya Darul Qur'an ya Ujerumani imesambaza klipu ya qiraa ya Qur'ani kumhusu Nabii Isa Masih-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake- ambaye Wakristo wengi wanaamini alizaliwa Disemba 25 katika siku ambayo ni maarufu kama Krismasi.
Habari ID: 3473494 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/26
TEHRAN (IQNA) Hivi karibuni Televisheni ya Qur’ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilirusha hewani qiraa ya Qur’ani Tukufu ya Sheikh Abdul Fattah Taruti wa Misri.
Habari ID: 3473485 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/23
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu Algeria imetoa wito wa kufunguliwa tena madrassah za Qur’ani nchini humo kwa kuzingatia kanuni za kiafya katika kipindi hiki cha janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473472 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/19
TEHRAN (IQNA) –Mahakama Kuu ya Lahore, Pakistan imeamuru kuwa ni wajibu kwa taasisi zote za kielimu kuweka mafundisho ya Qur'ani katika mitaala yao kuanzia mwaka 2021.
Habari ID: 3473470 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/19
TEHRAN (IQNA)- Qiraa ya Qur’ani Tukufu ya qarii wa Misri marhum Sheikh Ahmed Mohammed Amer hivi karibuni imerushwa hewani katika televisheni ya Qur’ani ya Iran.
Habari ID: 3473469 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/18
TEHRAN (IQNA) – Nakala milioni 2.2. za Qur’ani Tukufu zimechapishwa nchini Iran katika kipindi cha miezi tisa iliyopita.
Habari ID: 3473461 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/16
TEHRAN (IQNA) – Televisheni ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi karibuni ilirusha hewani qiraa ya qarii wa Misri marhuma Sheikh Khalil Al-Hussary.
Habari ID: 3473459 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/15
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Masuala ya Kiislamu ya Mauritania imeendeleza kampeni maalumu ya qiraa ya Qur’ani katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3473452 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/13
TEHRAN (IQNA) –Ensaiklopedia ya miujiza ya sayansi katika Qur'ani Tukufu imechapishwa hivi karibuni nchini Algeria.
Habari ID: 3473445 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/11
TEHRAN (IQNA) – Klipu ya qiraa ya Qur'ani Tukufu ya mtoto Mwafrika ambayo imesambazwa katika mitandao ya kijamii imewavutia wengi nchini Iran na kote duniani.
Habari ID: 3473430 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/06
TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni, Televisheni ya Qur'ani ya Iran ilirusha hewani qiraa ya qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Ahmed Ahmed Noaina.
Habari ID: 3473402 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/28
TEHRAN (IQNA)- Familia ya qarii maarufu zaidi wa Qur’ani Tukufu wa Misri, Sheikh Abdul-Basit Abdul-Swamad imeitunuku Radio ya Qur’ani ya Misri kanda za qiraa ya qarii huyo.
Habari ID: 3473384 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/22