qurani tukufu - Ukurasa 66

IQNA

Qur'ani na Teknolojia
TEHRAN (IQNA)- Aplikesheni au Apu ya Qur’ani Tukufu yai "habloliman" imezinduliwa nchini Iran hivi karibuni ambapo humpa mtumiaji uwepo wa kusoma na kusikililiza Qur’ani Tukufu pamoja kozi 48 za mafunzo ya usomaji sahihi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3475894    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/07

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Jahl (ujinga) ni sifa isiyofaa kwa mwanadamu kwani sio tu kwamba inaleta madhara kwa mtu mwenyewe, bali pia inaweza kuwapoteza watu wengine au makundi ya watu.
Habari ID: 3475893    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/07

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Qur’ani Tukufu ni kitabu cha maisha kinachowaongoza wanadamu kwenye ukamilifu na ufanisi; kwa hivyo inategemewa kwamba Kitabu hiki kitatoa majibu kwa maswali ya kimsingi kuhusu maisha.
Habari ID: 3475885    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/05

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Watu wana sura tofauti katika ulimwengu huu. Wengine ni warembo na wengine si warembo. Hawakuchagua jinsi wanavyoonekana bali Mungu amewachagua.
Habari ID: 3475880    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/04

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Wanadamu wanamkumbuka Mwenyezi Mungu kwa sifa na majina tofauti. Sifa hizi zinarejelea katika ukuu, nguvu, na huruma ya Mungu miongoni mwa sifa zingine.
Habari ID: 3475879    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/04

Sura za Qur'ani Tukufu /33
TEHRAN (IQNA) – Tofauti kati ya wanaume na wanawake ipo tu kwenye miili yao kwani wote wawili kwa mtazamo wa kiroho wako sawa na wanaweza kufikia ukamilifu. Uislamu hauoni tofauti kati ya wanaume na wanawake kwa mtazamo huu.
Habari ID: 3475870    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/02

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Katika imani ya Kiislamu, Barzakh ni jukwaa baina ya dunia na akhera ambalo linatutayarisha kutoka kwenye hatua ya dunia hii tuliyopo hadi dunia ijayo.
Habari ID: 3475865    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/01

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Wakati wa uhai wake na katika safari yake hapa duniani, mwanadamu hukabiliana na matatizo na dhiki mbalimbali.
Habari ID: 3475861    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Misikiti ina nafasi maalum katika Uislamu. Misikiti sio tu ni sehemu za ibada au Sala bali pia ina kazi mbalimbali za kidini, kijamii na kisiasa.
Habari ID: 3475860    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30

Fikra za Kiislamu
Qur'ani Tukufu inataja kuota na athari zake kama suala muhimu, ikigusia juu yake katika aya kadhaa.
Habari ID: 3475842    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/26

Kujifunza Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Sheikh Mohamed Ata al-Basyuni ni mwalimu wa Qur'ani mwenye umri wa miaka 85 katika mji mmoja mkoani Gharbia nchini Misri.
Habari ID: 3475839    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mwakilishi wa Iran katika Mashindano ya 28 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Croatia alitwaa tuzo ya juu katika kategoria ya qiraa au kisomo.
Habari ID: 3475838    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25

TEHRAN (IQNA) – Chuo Kikuu cha Al Qasimia, katika Umoja wa Falme za Kiarabu(UAE), kimehitimisha duru ya kwanza la Jukwaa la Kimataifa la Qur’ani.
Habari ID: 3475832    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Uislamu unasisitiza juu ya mwingiliano mzuri wa kiuchumi, ukisisitiza kwamba mtu anapaswa kujitahidi kupata pesa kwa nj ambazo ni ‘Halal’ au kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 3475830    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/23

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mwanadamu kiuhalisia hufuata ukweli. Anataka kusikia, kuona na kusema ukweli, lakini wakati mwingine husahau asili yake na kwa kusema uwongo o na hivyhuacha ukweli.
Habari ID: 3475823    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/22

Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /4
TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Qur’ani kutoka Misri,marhum Ustadh Sidiq Minshawi alikuwa na qiraa ambayo imedumu na inaendelea kuwavutia mamilioni hadi leo.
Habari ID: 3475818    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/21

Mwisho Mwema (Khusnul Khatimah)
TEHRAN (IQNA) – Video imesambaa mitandaoni inayomuonyesha mwanamke wa Indonesia akianguka wakati akisoma aya za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3475817    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/21

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Katika Qur’ani Tukufu na hadithi za Mtukufu Mtume Muhammad (SAW) ndoto na athari zake zimetajwa kuwa ni muhimu.
Habari ID: 3475810    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/19

Sura za Qur'ani Tukufu /31
TEHRAN (IQNA) – Luqman alikuwa mtu mashuhuri aliyeishi wakati wa Nabii Daud (AS). Alikuwa Hakim (mtu mwenye hekima) na kwa mujibu wa baadhi ya maelezo ya kihistoria alikuwa mtume wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475809    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/19

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Misri Mostafa Madbouly ameidhinisha mpango wa kuandaa Duru ya Sita Ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya nchi hiyo huko Port Said.
Habari ID: 3475783    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/14