iqna

IQNA

Shirika la Habari la Qur'ani la Kimataifa (IQNA) limekuwa likuwaleteeni qiraa za wasomaji mbali mbali wa Qur'ani katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472775    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/17

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Imam Ali AS mjini Stockholm, Sweden kimeandaa mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa njia ya intaneti .
Habari ID: 3472763    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/13

TEHRAN (IQNA) – Pamoja na kuwepo tishio la ugonjwa wa COVID-19 na matatizo yatokanayo na zuio la watu kutoka nje nchini Malaysia, Waislamu nchini humo wanatumia wakati wao nyumbani kujikurubisha zaidi na Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3472761    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/13

TEHRAN (IQNA) – Sheikh Shahat Mohammad Anwar amesoma aya 185 ya Sura Al-Baqara kuhusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na Sawmu pamoja na aya ya 186 ya sura hiyo hiyo.
Habari ID: 3472757    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/11

TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu imezindua aplikesheni mpya ya Qur’ani Tukufu kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472741    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/06

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Algeria, Sheikh Muhammad bin Sudaira hivi karibuni alisoma aya za Qur’ani Tukufu kuhusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472740    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/06

TEHRAN (IQNA) – Sheikh Tariq Abdul Basit Abdul Samad, mwanae qarii mashuhuri wa Qur’ani Tukufu nchini Misri marhum Sheikh Abdul Basit Abdul Samad, hivi karibuni amesoma aya za Qur’ani Tukufu kuhusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472739    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/06

TEHRAN (IQNA) - Vikao vya qiraa ya Qur'ani Tukufu vinafanyika katika hospitali na vituo vya tiba katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472734    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kutomuogopa adui na kusimama kidete dhidi yake ni katika maamrisho na maelekezo muhimu ya Qurani Tukufu.
Habari ID: 3472706    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/26

TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni klipu ya video ya qiraa ya Qur’ani Tukufu ya Ustadh Abdul Basit Abdul Samad imesambaa katika intaneti.
Habari ID: 3472698    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/24

TEHRAN (IQNA) – Aplikesheni mpya ya Qur’ani Tukufu inayojulikana kama “Quranona” ambayo ina tarjuma kwa lugha 35 imezinduliwa.
Habari ID: 3472680    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/19

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA) – Qarii (msomaji) mashuhuri wa Qur’ani Tukufu nchini Misri Sheikh Muhammad Mahmoud Asfour ameaga dunia Ijumaa akiwa na umri wa miaka 82.
Habari ID: 3472678    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/18

TEHRAN (IQNA) – Qarii (msomaji) maarufu wa Qur’ani Tukufu kutoka Saudi Arabia, Abubakr al-Shateri ameambukizwa ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472622    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/01

TEHRAN (IQNA) – Mafunzo ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yatafanyika kwa njia ya intaneti baada ya misikiti na vituo vya Kiislamu kufungwa nchini humo kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472575    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/17

TEHRAN (IQNA) – Warsha ya 'Mazingira kwa Mtaamo wa Qur'ani Tukufu na Sunnah ya Mtume Muhammad SAW imefanyika nchini Qatar.
Habari ID: 3472487    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/19

TEHRAN (IQNA) –Maelfu ya wanafunzi wamejisajili katika masomo ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3472413    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/28

TEHRAN (IQNA) – Tarjumi ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kiebrania iliyochapishwa Saudia Arabia imepatikana ikiwa na makosa zaidi ya 300.
Habari ID: 3472411    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/27

TEHRAN (IQNA) – Nakala milioni 1.5 za Qur'ani Tukufu zimechapishwa katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kipindi cha miezi tisa iliyopita.
Habari ID: 3472381    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/18

TEHRAN (IQNA) - Washindi wa Mashindani ya 29 ya Qur'ani ya Sultan Qaboos wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika Masikiti wa Sultan Qaboos katika Wilaya ya Basusher nchini humo.
Habari ID: 3472310    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/28

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu yamefanyika nchini Kazakhstan katika mji wa Taraz ambapo wanawake 87 wameshiriki.
Habari ID: 3472305    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/26