qurani tukufu - Ukurasa 71

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa taarifa kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi kadhaa za Ulaya na kusisitiza kuwa: "Kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu kiwendawazimu chini ya nara ya 'uhuru wa maoni' ni ishara kuwa uistikbari unalenga Uislamu na Qur'ani Tukufu."
Habari ID: 3476465   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/26

Kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimetoa wito wa kususia bidhaa za Uswidi na Uholanzi ili kukabiliana vitendo viovu vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika mataifa hayo ya Ulaya hivi karibuni.
Habari ID: 3476461   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/25

Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /21
TEHRAN (IQNA) – Abdel Aziz Akasha alikuwa qari wa Misri ambaye alipata umaarufu baada ya kuanzisha mtindo maalum katika usomaji wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476457   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/24

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Baada ya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu nchini Uswidi mwishoni mwa juma, kulikuwa na kitendo kingine cha kufuru kilichotekelezwa na mmoja wa vinara wa harakati za chuki dhidi ya Uislamu Ulaya, wakati huu nchini Uholanzi.
Habari ID: 3476456   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/24

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa toleo la 23 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum la Falme za Kiarabu katika kitengo cha wanaume wametunikiwa zawadi.
Habari ID: 3476455   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/24

Taazia
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa ngazi za juu Mauritania ambaye amenadika tarjuma ya Qur’ani Tukufu Mohamed Mokhtar Ould Abah amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 99.
Habari ID: 3476454   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/24

Shakhsia Katika Qur'ani Tukufu / 28
TEHRAN (IQNA)- Isipokuwa Bibi Maryam, hakuna mwanamke mwingine ambaye ametajwa moja kwa moja katika Quran Tukufu. Lakini kuna majina yasiyo ya moja kwa moja ya wanawake Waumini na makafiri.
Habari ID: 3476453   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/23

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Taasisi ya kutoa misaada ya Uturuki ilitoa zaidi ya nakala 11,000 za Misahafu (Qur'ani Tukufu) kwa Waislamu katika nchi tofauti za Kiafrika mwaka jana.
Habari ID: 3476451   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/23

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imejiunga nan chi za Kiislamu duniani kulaani kitendo cha hivi punde zaidi cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Sweden (Uswidi), na kusisitiza kuwa kuudhi matukufu ya Umma wa Kiislamu ni jambo lisilokubalika.
Habari ID: 3476448   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/22

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejiunga na ulimwengu wa Kiislamu katika kulaani vikali kitendo cha kuchomwa moto nakala ya Qur'ani Tukufu nchini Sweden (Usiwidi).
Habari ID: 3476444   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/22

Harakati za Qur'ani Kimataifa
TEHRAN (IQNA) - Mwambata wa kitamaduni wa Iraq nchini Malaysia alisema Tamasha la Sanaa la Qur'ani la Kimataifa la Restu linawapa watu fursa ya kujifunza kuhusu kazi za kimataifa za sanaa ya Qur'ani.
Habari ID: 3476441   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/21

Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /20
TEHRAN (IQNA) – Ahmed al-Reziqi alikuwa qari kutoka kusini mwa Misri ambaye alishawishiwa sana na Abdul Basit Abdul Samad na Mohamed Sidiq Minshawi lakini pia alikuwa na ubunifu na weledi katika usomaji wa Qur'ani.
Habari ID: 3476440   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/21

Sura za Qur'ani Tukufu / 58
TEHRAN (IQNA) – Qur’ani Tukufu inawataka waumini wa kweli kujiunga na Hizbullah. Leo, Hezbullah imekuwa neno lenye maana ya kisiasa. Kwa mtazamo wa Qur'ani Tukufu Hizbullah ni neno lenye maana ya kidini na kiitikadi na neno hili kimsingi maana yake ya moja kwa moja ni 'Chama cha Mwenyezi Mungu'.
Habari ID: 3476439   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/21

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 13 la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Afrika Kusini yalifanyika katika mji mkuu, Pretoria.
Habari ID: 3476429   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19

Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imezindua mipango ya kuandaa mashindano ya kitamaduni mtandaoni kwa wanafunzi wa vituo vya kuhifadhi Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3476423   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18

Qarii (msomaji) Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Sheikh Abdel Alim Fasada alikuwa miongoni mwa wasomaji wakubwa wa Qur'ani Tukufu nchini Misri na alifariki Januari 16, 2021 baada ya miaka mingi ya kujitahidi katika njia ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476422   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18

MASHHAD (IQNA) - Awamu ya awali ya kategoria za wanaume katika Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilianza Jumapili mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran
Habari ID: 3476420   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18

Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Mtihani wa nne wa kuchagua wahifadhi Qur’ani wanaotaka kujiunga na Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri umeancha nchini humo.
Habari ID: 3476419   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/17

Uislamu Pakistan
TEHRAN (IQNA) - Baraza la Seneti la Pakistan kwa kauli moja lilipitisha azimio linalopendekeza kwamba ufundishaji wa Qur'ani Tukufu uwe wa lazima katika vyuo vikuu vya nchi hiyo.
Habari ID: 3476417   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/17

Harakati za Qur'ani Afrika
TEHRAN (IQNA)- Jumla ya watu 190 ambao wamejifunza Qur'an Tukufu kikamilifu kwa moyo walitunukiwa zawadi na kuenziwa katika sherehe hiyo iliyofanyika katika Uwanja wa Jenerali Lansana Conté.
Habari ID: 3476414   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/16