qurani tukufu - Ukurasa 70

IQNA

Tarjuma ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Tarjuma mpya ya Qur’ani Tukufu kwa lugya ya Kifaransa imechapishwa nchini Algeria.
Habari ID: 3475370    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/13

Sura za Qur'ani Tukufu / 4
TEHRAN (IQNA) – Nafasi ambayo mwanamke anayo katika jamii na familia ni miongoni mwa masuala muhimu katika Uislamu. Dalili ya umuhimu huu inaweza kuonekana katika Sura ya nne ya Qur'ani Tukufu kama ilivyowekwa wakfu kwa wanawake.
Habari ID: 3475355    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/09

Sura za Qur’ani Tukufu /5
TEHRAN (IQNA) – Sura tofauti za Qur’an zinarejelea kuzaliwa, maisha, miujiza, na maadui wa Nabii Isa (Yesu)-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake Sura ya tano ya Qur’ani inaashiria miujiza ya nabii huyu wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475328    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/02

Fikra za Imam Khomeini
TEHRAN (IQNA)- Ijapokuwa Imam Khomeini anajulikana kuwa kiongozi wa kimapinduzi na shakhsia wa kisiasa, alikuwa na shughuli na nadharia muhimu katika uga wa irfani (mysticism) na sayansi ya kidini. Aliarifisha irfani kama kama njia inayotokana na Qur'ani na Sunnah.
Habari ID: 3475323    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/01

Qur'ani inasema Nini / 4
TEHRAN (IQNA) - Vitabu vitakatifu katika dini mbali mbali mara nyingi huzingatiwa kama chanzo cha kuimarisha hali ya kiroho ya mtu na hii inaeleweka kama fikra ya mwongozo lakini Quran Tukufu ina misingi ya kipekee kuhusiana na nukta hii.
Habari ID: 3475320    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/31

Watoto na Qur'ani
TEHRAN (IQNA)-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimejibu ukosoaji kuhusu darsa zake za kuhifadhi Qur'ani kwa watoto. Katika taarifa yake Jumapili, Kituo cha Al-Azhar cha Fatwa za Kielektroniki kilisema kuwa kulea watoto na kuwalea kwa ufahamu sahihi wa Quran ni nguzo ya utulivu wa jamii.
Habari ID: 3475316    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/30

Qur'ani na kutafakari
TEHRAN (IQNA)- Wito wa kutafakri ni miongoni mwa mawaidha mazito katika dini ya Kiislamu na ni ya thamani na muhimu sana kiasi kwamba Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) amesema: “Saa ya kufikiri ina thamani zaidi kuliko miaka 60 ya ibada bila kufikiri”.
Habari ID: 3475309    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/30

TEHRAN (IQNA)- Mahmoud Khaled Suwaid, mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Misri cha Al-Manofiyeh nchini, alishinda nafasi ya pili katika Mashindano ya Qur’ani yaliyofanyika mjini Kazan, nchini Russia.
Habari ID: 3475311    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/29

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Rasmus Paludan, mwanasiasa mwenye msimamo mkali mwenye uraia wa Sweden na Denmark ambaye alizindua msafara wa kuteketeza moto Qur’ani Tukufu nchini Sweden hivi karibuni amekariri jinai yake hiyo yenye chuki dhidi ya Uislamu katika bustani ya jiji la Landskrona kusini mwa Sweden.
Habari ID: 3475310    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/29

Watoto na Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Usajili wa masomo ya Qur'ani Tukufu katika majira ya joto katika misikiti ya Misri umepokelewa vyema na watoto wa shule.
Habari ID: 3475292    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/25

Kuhifadhi Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Rashad Nimr Abu Ras, mvulana Mpalestina mwenye umri wa miaka saba amehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3475288    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/24

Qur'ani inasema nini / 2
TEHRAN (IQNA)- Wakati Mwenyezi Mungu SWT alipomuumba mwanadamu, alimfanya kuwa Khalifa au msaidizi wake katika ardhi.
Habari ID: 3475280    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/22

TEHRAN (IQNA)-Mvulana Mmisri mwenye umri wa miaka 9 ana kipaji cha kipekee cha kusoma Qur'ani Tukufu kiasi kwamba sasa amepewa lakabu ya 'Abdul Basit Mdogo".
Habari ID: 3475279    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/22

TEHRAN (IQNA) – Wakati fulani mwanadamu hukumbana na hali ngumu ambazo hakuna mtu anayeweza kumuelewa wala kumsaidia na hivyo huelekea kuomba msaada kwa yule mwenye nguvu ambaye anajua yuko karibu.
Habari ID: 3475264    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/19

Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Msomo wa Kijerumani anaamini kwamba Qur'ani Tukufu imesaidia kuimarisha utambulisho wa Kikristo.
Habari ID: 3475262    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/17

TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Imam Ali AS cha Vienna, Austria kimeanzisha mpango wa kuhifadhi Qur'ani kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3475253    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/15

TEHRAN (IQNA)- Hayya Alal Falah ni sehemu ya Adhana au wito wa Sala katika Uislamu na maana yake ni Haya njooni kwenye kufaulu, mafanikio au wokovu.
Habari ID: 3475252    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/15

TEHRAN (IQNA)- Aplikesheni maalumu ambayo inawasiadia Waislamu kuhitimisha Qur'ani Tukufu imezinduliwa hivi karibuni nchini Kuwait.
Habari ID: 3475250    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/14

TEHRAN (IQNA) – Mwanachuoni wa kidini alisema Allamah Seyed Mohammad Hossein Tabatabaei alifungua njia mpya katika tafsiri ya Kurani Tukufu.
Habari ID: 3475242    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/12

TEHRAN (IQNA)- Wakazi wa kijiji cha Al-A'aija nchini Algeria wamemkaribisah kwa furaha Faisal Hajjaj, mkazi wa kijiji hicho ambaye aliibuka wa kwanza kitaifa katika mashindano ya kitaifa ya Qur'ani ya watoto.
Habari ID: 3475236    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/11