TEHRAN (IQNA) – Hivi karibuni kumesambazwa qiraa ya Qur'ani Tukufu ya qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmod Shahat Muhammad Anwar akiwa anasema aya za Qur'ani mjini Cape Town, Afrika Kusini.
Habari ID: 3472999 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/25
TEHRAN (IQNA) – Qarii marufu wa Misri Sheikh Ahmed Ahmed Noaina hivi karibuni alisoma baadhi ya aya za Surat Al-Muzzammil
za Qur'ani Tukufu kwa pumzi moja.
Habari ID: 3472992 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/23
TEHRAN (IQNA) – Klipu fupi ya video ya qiraa ya qarii mkongowe wa Qur'ani Tukufu kutoka Iran imesambazwa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3472966 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/15
TEHRAN (IQNA) – Qarii wa Qur'ani kutoka Misri, Sheikh Hani al-Hussaini ametoa wito kwa wazazi Waislamu kuwafunza watoto wao kuhifadhi Qur'ani Tukufu na Tajwid wakiwa bado ni wadogo.
Habari ID: 3472964 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/15
TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Sayyid Said alitembelea Iran mwaka 2007 na kusema Qur'ani Tukufu katika mji wa Zanjan.
Habari ID: 3472963 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/14
TEHRAN (IQNA) – Qiraa ya qarii maarufu wa Misri marhum Sheikh Sayed Mutawalli Abdul Aal katika mji wa Tabriz, Iran imesambazwa katika mitandao ya intaneti hivi karibuni.
Habari ID: 3472951 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/11
TEHRAN (IQNA) – Qiraa ya hivi karibuni ya Qarii mashuhuri wa Qur'ani Tukufu kutoka Misri Sheikh Ahmad Ahmad Al Nuaina aliposoma aya katika Sura za A-Duha na Al-Inshirah.
Habari ID: 3472937 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/07
TEHRAN (IQNA)- Masomo ya Qur'ani yameanza tena katika misikiti ya Ukanda wa Ghaza siku ya Jumapili baada ya kufungwa kwa miezi miwili kutokana na janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472936 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/06
TEHRAN (IQNA) – Nakala nadra ya kale ya Qur’ani Tukufu iliyoandikwa Iran katika karatasi ya Kichina imeuzwa kwa pauni za Uingereza milioni saba katika mnada mjini London
Habari ID: 3472904 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/27
TEHRAN (IQNA) – Moja ya mbinu za qiraa ya Qur’ani Tukufu ni kusoma aya au sura ndefu kwa pumzi moja sambamba na kuzingatia kanuni zote za usomaji.
Habari ID: 3472892 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/23
TEHRAN (IQNA) – Msanii wa Libya amefanikiwa kuandika Qur’ani Tukufu kikamilifu kwa maandishi ya kaligrafia.
Habari ID: 3472863 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/13
TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Qur'ani nchini Misri, Sheikh Abdul Basit Abdul Samad, ambaye aliaga dunia mwaka 1988, alikuwa maarufu kwa kusoma Qur'ani kwa sauti laini na aliwavutia wengi duniani.
Habari ID: 3472845 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/07
TEHRAN (IQNA) – Hussein Abdul Zahir ni kijana Mmisri ambaye ana uwezo wa kuiga qiraa ya wasomaji Qur'ani 11 maarufu duniani.
Habari ID: 3472828 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/02
TEHRAN (IQNA)- Mahmoud Abdul Fattah Taruti, anafuata nyayo za baba yake, Ustadh Abdul Fattah Ali Taruti, mmoja wa wasomaji mashuhuri wa Qur'ani nchini Misri.
Habari ID: 3472805 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/26
Shirika la Habari la Qur'ani la Kimataifa (IQNA) limekuwa likuwaleteeni qiraa za wasomaji mbali mbali wa Qur'ani katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472775 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/17
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Imam Ali AS mjini Stockholm, Sweden kimeandaa mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa njia ya intaneti .
Habari ID: 3472763 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/13
TEHRAN (IQNA) – Pamoja na kuwepo tishio la ugonjwa wa COVID-19 na matatizo yatokanayo na zuio la watu kutoka nje nchini Malaysia, Waislamu nchini humo wanatumia wakati wao nyumbani kujikurubisha zaidi na Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3472761 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/13
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Shahat Mohammad Anwar amesoma aya 185 ya Sura Al-Baqara kuhusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na Sawmu pamoja na aya ya 186 ya sura hiyo hiyo.
Habari ID: 3472757 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/11
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu imezindua aplikesheni mpya ya Qur’ani Tukufu kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472741 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/06
TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Algeria, Sheikh Muhammad bin Sudaira hivi karibuni alisoma aya za Qur’ani Tukufu kuhusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472740 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/06