qurani tukufu - Ukurasa 67

IQNA

Elimu ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Chuo Kikuu cha Al Qasimia katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kimepanga kufanya toleo la kwanza la kongamano la kimataifa la Qur'ani kwa wanafunzi wa vyuo vya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3475780    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/14

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mchujo wa duru ya 27 ya Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani mwaka 2022 huko Doha, Qatar, imehudhuriwa na washindani wapatao 400.
Habari ID: 3475774    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/13

Wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu / 2
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Muhammad Mahmood Rafaat alikuwa miongoni mwa wasomaji Qur'ani mahiri nchini Misri. Ingawa alikuwa na ulemavu wa macho, aliibua kwa namna fulani mtindo tofauti wa qiraa au usomaji Qur'ani ikilinganishwa na maqari au wasomaji wenzake kwa kutumia silika na hisia zake za kina.
Habari ID: 3475768    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/11

Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) - Maonyesho ya Qur'ani Tukufu yamewekwa kwenye barabara kati ya miji mitukufu ya Najaf na Karbala nchini Iraq wakati wa msimu wa Arbaeen.
Habari ID: 3475761    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Ushauri humsaidia mtu kufahamiana na mawazo na fikra za wengine, hasa wataalam na wachambuzi, na hivyo kukuza na kupanua mawazo yake na ufahamu.
Habari ID: 3475760    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Qur’ani Tukufu ni muujiza wa milele na iko katika kiwango cha juu cha ufasaha na maudhui. Njia moja ambayo Qur’ani Tukufu inaitumia kuimarisha nyoyo za waumini ni Tahaddi (kukaribisha changamoto).
Habari ID: 3475758    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/09

Sura za Qur'ani Tukufu/29
TEHRAN (IQNA) – Mitume wa Mwenyezi Mungu walijaribu kuonyesha jinsi miungu ya uongo isiyo na thamani lakini walikabili ukaidi wa wafuasi wao wengi. Surah Al-Ankabut katika Qur'ani Tukufu inalinganisha imani za watu hao waliopotoka na utando wa buibui.
Habari ID: 3475740    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/06

Kisa cha Manabii
TEHRAN (IQNA) - Kuna visa au hadithi nyingi katika Qur'ani Tukufu kuhusu Mitume ambazo zinaweza kusomwa kwa mitazamo tofauti. Moja ya vipengele ni jinsi manabii walivyozungumza na Mwenyezi Mungu na kubainisha maombi yao.
Habari ID: 3475734    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04

Muhtasairi kuhusu Tafsiri na Wafasiri wa Qur'ani Tukufu/1
TEHRAN (IQNA) – Tafsir (tafsiri) ni istilahi katika sayansi ya Kiislamu ambayo ina maana ya kueleza maana ya aya za Qur'an Tukufu na kutoa mafundisho kutoka kwayo.
Habari ID: 3475733    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya 16 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Morocco yataandaliwa baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3475730    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04

Qur'ani Tukufu Inasemaje/27
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa aya ya Qur’ani Tuku, mtu anatakiwa kutoa sadaka au kupeana sehemu ya kile anachokipenda ili kufikia cheo cha watu wema.
Habari ID: 3475714    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/01

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kuna aya ndani ya Qur'an Tukufu inayosisitiza uharamu wa kuyatukana masanamu ya makafiri, na maoni ya wafasiri wa Qur'ani na wanafiqhi kuhusu aya hii na sababu ya kuharamishwa kwake ni ya kuvutia.
Habari ID: 3475712    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/31

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Wakati mwingine, watu wanapokosea au kufanya jambo baya, hujaribu kukana kosa au kukimbia kuwajibika, lakini itakuja siku ambayo hakuna mtu anayeweza kukataa kuwa amefanya alichofanya au kuepuka uwajibikaji.
Habari ID: 3475706    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/30

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Moja ya njia za kuimarisha hisia za uwajibikaji miongoni mwa watu katika jamii ni kuamrisha mema na kukataza maovu.
Habari ID: 3475704    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/30

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- TEHRAN (IQNA) - Kozi za kuhifadhi Qur'ani katika vituo vya Qur'ani vya Jordan zimekaribishwa kwa furaha na wanafunzi wa shule Wizara ya Wakfu ilisema.
Habari ID: 3475700    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29

TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya wanafunzi 80 waliohifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu na wamehitimu kutoka shule ya Kiislamu huko Kaduna, kaskazini mwa Nigeria.
Habari ID: 3475699    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA)-Jaji wa kwanza Mwislamu mwenye kuvaa Hijabu katika historia ya Marekani, ambaye alianza kazi yake miezi miwili iliyopita katika hafla ya kiapo kwa Qur'ani Tukufu, anasema kwamba ana nia ya kutetea haki za Waislamu wa Marekani.
Habari ID: 3475697    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29

Hujjatul Islam Muhsin Qara’ati
TEHRAN (IQNA) – Mwalimu na mfasiri mashuhuri wa Qur’ani Tukufu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anasema tafsiri za Qur’ani Tukufu zinapaswa kueleweka kwa umma na pia wakati huo huo kuwa na mvuto kwa wataalamu.
Habari ID: 3475687    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/27

Ukanda wa Gaza
TEHRAN (IQNA) – Mkusanyiko wa waliohifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu ulifanyika katika Ukanda wa Gaza ambapo washiriki walihitimisha Qur'ani.
Habari ID: 3475672    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/24

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Abdullah Mustafa, qarii wa Qur'ani Tukufu Misri mwenye ulemavu wa macho amehofadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu kwa kusikiliza kupitia redio na simu yake ya mkononi.
Habari ID: 3475667    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/23