qurani tukufu - Ukurasa 67

IQNA

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani wimbi la kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na makundi yenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia nchini Denmark na katika nchi nyingine za Ulaya.
Habari ID: 3476779   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/29

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Mwenyezi Mungu Mtukufu amewataka waumini kuwa na uthabiti na kushikamana katika sala zao na wasiwe kama washirikina. Haya ni kwa mujibu wa aya ya 31 ya Surah Ar-Rumn katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476778   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/29

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) - Mwezi mtukufu wa Ramadhani, unaosifiwa kuwa ni mwezi wa Qur'ani Tukufu, ni fursa nzuri zaidi ya kujikurubisha na kitabu hicho cha Mwenyezi Mungu na kutafakari aya zake.
Habari ID: 3476777   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Qarii wa Qur'ani ni mfikishaji wa ujumbe na risala ya Mwenyezi Mungu na ili kufikisha ujumbe huo kwa njia nzuri ana haja ya kuwa na sauti nzuri na usomaji bora kabisa.
Habari ID: 3476750   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/24

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Vipindi vya toleo la sita la Tuzo ya Katara ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu vitaonyeshwa kwenye Televisheni ya Qatar katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476747   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/23

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Maldives (Maldivi) alitoa wito kwa watu kuutumia vyema mwezi mtukufu wa Ramadhani, ambao huenda ukaanza siku ya Alhamisi, na kutafuta faraja na nguvu katika mwanga wa nuru ambayo ni Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476738   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/21

Aya za Machipuo/ 2
TEHRAN (IQNA) - Wakati Wairani na mataifa mengine kadhaa wakisherehekea siku kuu ya Nowruz, kuashiria mwanzo wa majira ya machipuo, ni wakati muafaka wa kuashiria aya za Qur'ani Tukufu kuhusu kuhuishwa ardhi katika majira ya kuchipua baada ya msimu wa majira ya baridi kali. Kwa hakika machipuo nidalili za rehema na uwezo wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476737   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/21

Wanamichezo Waislamu
Tehran (IQNA) - Picha za Sadio Mane mchezaji wa Timu ya Soka ya Taifa ya Senegal ambaye pia ni mchezaji wa Klabu Bayern Munich ya Ujerumani akisoma Qur’ani Tukufu imesambaa katika mitandao kijamii na kuwavutia .
Habari ID: 3476736   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/21

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Hatua ya hivi majuzi ya wanajeshi kadhaa wa Ukraine kuteketeza moto nakala ya Qur'ani Tukufu inaendelea kulaaniwa vikali , huku rais wa Jamhuri ya Chechnya katika Shirikisho la Russia akiapa kuwatafuta na kuwaadhibu wale waliohusika na kitendo hicho kichafu.
Habari ID: 3476722   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/18

Tarjuma ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Maktaba ya Kitaifa ya Russia imeandaa hafla siku ya Alhamisi kumkumbuka na kumuenzi marehemu mwanahistoria wa mashariki na mtarijumani wa Qur'ani Tukufu kwa Kirusi Ignatius Krachkovsky.
Habari ID: 3476721   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/17

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Darul Qur'an al-Karim ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapanga kufanya duru 2,500 za usomaji wa Qur'ani nchini wakati wa mwezi mtukufu ujao wa Ramadhani.
Habari ID: 3476712   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/16

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa toleo la 9 la mashindano ya Qur'ani kwa Waislamu barani Ulaya walitunukiwa zawadi katika hafla ya kufunga iliyofanyika Ujerumani.
Habari ID: 3476711   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/15

Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la tano la semina kuhusu miujiza ya kimatibabu ya Qur'ani Tukufu ilianza katika Mji wa Gaza.
Habari ID: 3476710   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/15

Qur'ani Tukufu Inasemaje/ 47
TEHRAN (IQNA) – Mwito unapowaalika watu kumwamini Mwenyezi Mungu, wapo wanaofuata wito na kunakuwa na umoja miongoni mwa wanaoukubali wito huu.
Habari ID: 3476709   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/15

Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran
TEHRAN (IQNA) - Mkuu Duru ya 30 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran amesema mawaziri wa wakfu na utamaduni wa nchi saba watatembelea tukio hilo la Qur'ani.
Habari ID: 3476703   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/14

Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Serikali imekubali kuchangia USD 450,000 kwa Jumuiya ya Kitaifa ya Taasisi za Kuhifadhi Qur'ani Tukufu (Tahfidh Al-Quran) ili kuwezesha taasisi za tahfiz nchini, amesema Naibu Waziri Mkuu Datuk Seri Dk Ahmad Zahid Hamidi.
Habari ID: 3476697   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/12

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 9 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa Waislamu wa barani Ulaya yataanza Ijumaa mjini Hamburg, Ujerumani.
Habari ID: 3476681   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/09

Qurani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Sherehe ilifanyika katika mji wa Giza, Misri, kwa ajili ya kuwaenzi wasichana ambao wamejifunza Qur’ani Tukufu kwa moyo kikamilifu.
Habari ID: 3476677   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/08

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Masuala ya Kiislamu ya Saudia imesema inapanga kusambaza nakala milioni moja za Qur'ani Tukufu katika lugha tofauti katika nchi 22.
Habari ID: 3476673   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/07

Qiraa ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya watu walihudhuria mahafali ya kusoma Qur’ani Tukufu iliyofanyika Bangladesh ambapo qari wa Misri Mahmoud Kamal al-Najjar alisoma aya za Kitabu kitakatifu.
Habari ID: 3476667   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/06