iqna

IQNA

Watu 10 wameuawa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) baada ya wanamgambo wa Kikristo kuwashambulia Waislamu. Imearifiwa kuwa mapigano hayo yamejiri katika eneo la Bambari, lenye Waislamu wengi, katikati mwa nchi hiyo lililo karibu na Mto Ouaka.
Habari ID: 3351057    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/24

Amnesty International
Shirika la kimataifa la kuteteta haki za binadamu la Amnesty International limesema kuwa Waislamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) wamelazimika kuritadi na kuacha dini yao kutokana na kutishiwa maisha.
Habari ID: 3337640    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/01

Rais wa mpito wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bi. Catherine Samba Panza, amemteua Mohammad Kamoun kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo.
Habari ID: 1438785    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/12

Msemaji wa Jumuiya ya Waislamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati amesema, wanamgambo wa Kikristo nchini humo wamewaua vijana watatu Waislamu na kukatakata viungo vyao vya mwili.
Habari ID: 1412082    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/29

Hali ya usalama katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui, inazidi kuwa mbaya huku vitendo vya mauaji dhidi ya Waislamu vikiendelea kuripotiwa.
Habari ID: 1398695    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/22

Askofu Mkuu wa zamani wa Kanisa la Anglikana nchini Afrika Kusini ametahadharisha juu ya kukaribia kutumbukia Jamhuri ya Afrika ya Kati kwenye mauaji ya kimbari.
Habari ID: 1398694    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/22

Zaidi ya Waislamu 1,000 wametimuliwa katika mji wa Bossangoa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati na kuelekea katika nchi jirani ya Chad huku kukiwa na hofu ya kuuawa kwa umati Waislamu mikononi mwa wanamgambo wa Kikristo.
Habari ID: 1395037    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/14

Kundi lenye misimamo mikali ya Kikristo la Anti Balaka sasa limeanza kutumia mbinu mpya kwa ajili ya kuua Waislamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa kuwauzia vyakula vyenye sumu. Hadi sasa makumi ya watoto wadogo wameripotiwa kufariki dunia katika mji wa Buda kutokana na mbinu hiyo ya mauaji.
Habari ID: 1392667    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/09

Huku katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon akielezea wasi wasi wake kuhusu kuendelea kukandamizwa Waislamu Jamhuri ya Afrika ya Kati, Shirika la Kuwahudumi wakimbi la umoja huo, UNHCR Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Wakimbizi UNHCR limetangaza kuwa liko tayari kuwahamishia sehemu salama Waislamu wa nchi hiyo.
Habari ID: 1390350    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/03

Taarifa zimeeleza kuwa Waislamu katika moja ya miji ya Jamhuri ya Afrika ya Kati wametishiwa kuuawa.
Habari ID: 1389972    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/30

Afisa mwandamizi wa Umoja wa Mataifa amesema karibu Waislamu wote waliokuwa wakiishi mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui, wamelazimika kuondoka mjini humo kutokana na jinai za magaidi wa Kiksristo.
Habari ID: 1384500    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/09

Magaidi wa Kikristo huko Jamhuri ya Afrika ya Kati wamewapa Waislamu waliookwenda kujisitiri katika kanisa moja nchini humo kuondoka nchini humo au wauawe.
Habari ID: 1380049    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/25

Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeonya kuwa kuna operesheni za kufukuza jamii ya Waislamu kwa kuwaua kwa umati katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, suala ambalo askari wa kulinda amani wa kimataifa wameshindwa kulizuia.
Habari ID: 1374699    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/13