iqna

IQNA

Kampeni ya kusambaza zawadi za nakala za Qur'ani tukufu imezinduliwa Marekani na Baraza la Uhusiano wa Kiislamu Marekani CAIR katika kujibu matamshi yenye chuki dhidi ya Uislamu ya Ben Carson, anayetaka kugombea kiti cha urais nchini humo mwakani kwa tikiti ya chama cha Republican.
Habari ID: 3366378    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/22

Wizara ya Awqaf nchini Syria imewatangaza washindi wa Awamu ya 16 ya Mashindano ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3362917    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/15

Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu yamefanyika hivi karibuni nchini Zimbabwe kwa usimamizi wa Baraza Kuu la Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3362910    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/15

Awamu ya 16 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Tukufu ya Russia yanatazamiwa kufanyika kuanzia tarehe 19 Oktoba katika mji mkuu wa nchi hiyo, Moscow.
Habari ID: 3361692    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/12

Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu yamefanyika nchini Morisi (Mauritius) katika vitengo viwili vya wanawake na wanaume.
Habari ID: 3361685    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/12

Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yamefanyika nchini Burundi kwa kuhudhuriwa na makumi ya washiriki.
Habari ID: 3361069    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/10

Maulamaa Waislamu Ghana
Maulamaa wa Kiislamu nchini Ghana wametangaza msimamo wa kupinga vikali kundi la kigaidi la Daesh au ISIS na kutoa wito kwa vijana nchini humo kuisoma na kufahamu ipasavyo tafsiri ya Qur'ani kwa njia sahihi ili wasitumbukie katika mtego muovu wa ISIS.
Habari ID: 3360612    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/08

Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yamefanyika Afrika Kusini kwa usimamizi wa Idara ya Masuala ya Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3357512    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/02

Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Kuwait yameanza Jumatatu hii.
Habari ID: 3356079    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/01

Magaidi wa Boko Haram hawawezi hata kusoma Qur'ani Tukufu wala kutekeleza maundisho ya dini ambayo wanadai kupigania wanapotekeleza jinai zao, amesema afisa mwandamizi wa jeshi la Nigeria.
Habari ID: 3355686    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/31

Madrassah ya kufundishia Qur’an yenye umri wa zaidi ya karne nchini Uganda, itazamiwa kukarabatiwa upya hivi karibuni ili kuendelea kutumika kwa ajili ya kutoa mafunzo sahihi ya dini ya Kiislamu.
Habari ID: 3353009    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/26

Shule ya Qur'ani na Sayansi za Qur'ani imefunguliwa nchini Ghana kwa hisani ya Taasisi ya Sheikh Eid ya Misaada ya Qatar.
Habari ID: 3349417    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/20

Jimbo la Terengganu nchini Malaysia lina mpango wa kuanzisha chuo kikuu cha Qur’ani kwa mara ya kwanza nchini humo.
Habari ID: 3344933    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/16

Mwanafalaki (mwanaastronomia) mashuhuri wa Iran amesema kuwa kuna aya 750 katika Qur’ani Tukufu kuhusu sayansi asilia na sayansi jarabati kwa lengo la kuwakumbusha watu masuala kuhusu maudhui kama vile maumbile ya mbingu na ardhi, milima, mimea n.k.
Habari ID: 3340977    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/10

Nakala ya Qur’ani Tukufu iliyofunikwa kwa plastiki imepatikana katika viswa vya Reunion Bahari ya Hindi na inaaminika kuwa inafungamana na mabaki ya ndege ya Malaysia iliyotoweka mwaka jana.
Habari ID: 3340026    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/08

Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amesema, kuwakufurisha Waislamu wa madhehebu ya Shia kunakofanyika kupitia kanali za televisheni za satalaiti ni kitendo kisichokubalika.
Habari ID: 3339753    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/07

Shirika moja la kutoa misaada nchini Qatar limeanzisha vituo 169 vya kuhifadhi Qur'ani Tukufu nchini Niger.
Habari ID: 3335751    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/27

Msomaji bora katika Mashindano ya 57 ya Kimatiafa ya Qur’ani Malaysia amepokea zawadi kutoka kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3332311    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/23

Nakala ambayo yumkini ikawa miongoni mwa nakala za zamani zaidi za kitabu kitakatifu cha Qur’ani Tukufu imegundulwia nchini Uingereza.
Habari ID: 3332252    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/22

Binti Mturuki mwenye umri wa miaka 12 wamefanikiwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu kwa muda wa miezi mitatu tu.
Habari ID: 3332177    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/22