Warsha
TEHRAN (IQNA) – Semina ya mtandaoni ilifanyika nchini Kenya hivi karibuni ili kujadili hali ya kisheria ya wanawake katika familia na jamii kwa mtazamo wa Qur'ani Tukufu na dini zingine.
Habari ID: 3477074 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/31
Mwanaharakati wa Nigeria
TEHRAN (IQNA) - Mwanaharakati wa Nigeria anasema Mapinduzi ya Kiislamu yakiongozwa na Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu Amrehemu- yaliwakomboa watu waliokuwa wamekandamizwa na madola ya kibeberu ya Magharibi na kambi ya Kikomunisti.
Habari ID: 3476531 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/08
Mwaka wa 44 wa Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Warsha ya kimataifa inatazamiwa kufanyika siku ya Jumatano kwa njia ya intaneti kwa lengo la kujadili Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3476527 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/07
Kumbukizi ya Shahidi Soleimani
TEHRAN (IQNA) – Mwanachama mwandamizi wa harakati ya muqawama au mapambano ya Palestina, Jihad Islami, amesema shahidi Qassem Soleimani aliweza kutoa motisha kwa wapiganaji wote wa harakati za mapamano.
Habari ID: 3476351 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03
Sekta ya Halal
TEHRAN (IQNA)- Warsha na maonyesho ya kimataifa kuhusu tasnia ya Halal itafanyika nchini Nigeria mwezi ujao.
Habari ID: 3475548 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/27
TEHRAN (IQNA)- Warsh ya kujadili 'Hali ya Qiraa na Tajwid ya Qur'ani Tukufu Barani Afrika' imepangwa kufanyika wiki ijayo kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3474600 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/25
Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa SAW, tawi la Senegal, kimepanga warsha maalumu ya misingi ya tajweed na usomaji Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3470482 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/29
Warsha ya kielimu kuhusu ‘Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani’ imefanyikanchini Misri katika Chuo Kikuu cha Tanta mkoani Gharbia.
Habari ID: 3454189 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/18