iqna

IQNA

kigaidi
Shujaa
IQNA - Mvulana mwenye umri wa miaka 15 anayeitwa Islam amesifiwa baada ya kuokoa zaidi ya watu 100 wakati wa shambulio la kigaidi kwenye ukumbi wa tamasha mjini Moscow siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3478573    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/25

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
IQNA-Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amezungumzia jinai ya kigaidi ya Kerman na kukiri kundi la kigaidi la ISIS au Daesh kuhusika na hujuma hiyo na kusema: ISIS ni chombo cha Marekani na utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3478153    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/05

Vita dhidi ya ugaidi
Nchi za Kiislamu zimelaani vikali mashambulizi mawili ya kigaidi ambayo yamesababisha vifo vya watu wengi nchini Pakistan.
Habari ID: 3477670    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/30

Diplomasia
NEW YORK (IQNA)- Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa taarifa inayolaani shambulio la hivi karibuni la kigaidi katika Haram Takatifu ya Hadhrat Ahmad bin Musa (AS) maarufu kama Shah Cheragh mkoani Fars kusini mwa Iran.
Habari ID: 3477449    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/17

Ugaidi
Watu wasiopungua 11 waliuawa na makumi ya wengine walijeruhiwa baada ya kutokea shambulio la kigaidi katika msikiti mmoja mkoani Badakhshan, kaskazini mashariki mwa Afghanistan.
Habari ID: 3477122    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/09

TEHRAN (IQNA)-Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema maadui wa mfumo mtakatifu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena wamedhihirisha dhati ya shari yao kwa ugaidi na kumuua shahidi mmoja kati ya askari wa IRGC.
Habari ID: 3475283    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/23

TEHRAN (IQNA)- Wanafunzi zaidi ya 27 wameuawa kufuatia hujuma ya kigaidi katika shule moja ya wavulana katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul Jumanne.
Habari ID: 3475141    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19

TEHRAN (IQNA)- Hujuma ya kigaidi imelenga msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Kandahar, Afghanistan na kuepelekea waumini wasiopungua 32 kuuawa shahidi na wengine zaidi ya 53 kujeruhiwa.
Habari ID: 3474426    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/15

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amelaani vikali hujuma hiyo ya kigaidi na kuongeza kuwa, kuna dalili nzito zinazoonyesha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ulihusika katika mauaji ya Mohsen Fakhrizadeh ambaye alikuwa Mkuu wa Shirika la Utafiti na Ubunifu katika Wizara ya Ulinzi ya Iran.
Habari ID: 3473401    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/28

TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Mousavi amelaani shambulio hilo la kigaidi sambamba na kuwafariji wananchi na serikali ya Afghanistan pamoja na familia za waliouawa na kujeruhiwa katika hujuma hiyo.
Habari ID: 3472542    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/07

TEHRAN (IQNA)-Katika hatua inayoatathminiwa kuwa ya kibaguzi, Jeshi la Polisi nchini Marekani limedai mauaji ya binti Mwislamu nje ya msikiti si ya kigaidi .
Habari ID: 3471028    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/20

Baada ya kundi la kigaidi la ISIS kutangaza kuteua kinara mpya wa kundi la kigaidi la Boko Haram, kumeibuka hitilafu huku kinara wa muda mrefu wa Boko Haram akipinga uteuzi huo.
Habari ID: 3470495    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/05

Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia ametangaza hali ya hatari ya siku 30 kufuatia shambulizi dhidi ya basi lililokuwa limewabeba maafisa usalama wa nchi hiyo hapo .jana
Habari ID: 3457119    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/25

Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani vikali mashambulizi ya kigaidi ya juzi huko Paris mji mkuu wa Ufaransa.
Habari ID: 3452963    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/16

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani shambulio la ugaidi lililofanywa na kundi la kitakfiri la ISIS au Daesh nchini Lebanon siku ya Alhamisi ambapo watu 43 waliuawa na wengine zaidi ya 240 wamejeruhiwa.
Habari ID: 3447662    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/13

Kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) limetekeleza miripuko ya mabomu kwenye msikiti wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia katika mji mkuu wa Yemen Sana'a na kupelekea waumini wasiopungua 32 kupoteza maisha.
Habari ID: 3357626    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/03

Nchini Mali watu wasiopungua 13 wakiwemo wanajeshi watano wa serikali wameuawa Ijumaa na Jumamosi katika hujuma dhidi ya hoteli moja eneo la kati mwa nchi hiyo huku raia kadhaa wa kigeni wakichukuliwa mateka.
Habari ID: 3340139    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/08

Serikali ya Tunisia imeamua kufunga misikiti 80 inayoendeshwa nje ya udhibiti wake, siku moja baada ya kutokea shambulio la kigaidi na kupelekea makumi ya watu kuuawa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3320222    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/28

Idadi ya watu waliopoteza maisha katika shambulio la kujilipua mjini Maiduguri, kaskazini mashariki mwa Nigeria imeongezeka na kufikia 60.
Habari ID: 3310844    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/03

Jamii ya kimataifa inaendelea kulaani vikali shambulio la kigaidi dhidi ya msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3306740    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/23