iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei asubuhi ya leo ameruhusiwa kuondoka katika Hospitali ya Shahid Rajai mjini Tehran baada ya kukamilisha matibabu na kupata nafuu kikamilifu.
Habari ID: 1450408    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/15

Maulamaa na wanazuoni wanaoshiriki katika Kongamano la Kimataifa la 'Maulamaa wa Kiislamu Wanaounga Mkono Harakati ya Muqawama ya Wapalestina leo wamekwenda hospitalini hapa Tehran kumjulia hali Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 1448995    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/10

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil-Udhmaa Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, mabadiliko yanayojiri hivi sasa yanatokana na kubadilika mfumo uliokuwa umeasisiwa na Wamagharibi wa Ulaya na Marekani, na kujitokeza mfumo mpya.
Habari ID: 1446839    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/06

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanapaswa kutafuta radhi za Allah SWT sambamba na kulinda Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 1444000    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/28

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unapaswa kulipa fidia ya jinai zake huko Ghaza kwa kuondoa mzingiro dhidi ya Wapalestina katika ukanda huo wa pwani.
Habari ID: 1439233    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/14

Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, 'ulimwengu wa Kiislamu kwa kuweka kando hilitalfu zilizopo, utumie uwezo wake wote kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.'
Habari ID: 1434650    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/29

Kiongozi Muadhamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kwamba, njia pekee ya kukabiliana na utawala wa kinyama wa Israel, ni kuwepo muqawama wa kutumia silaha wa Wapalestina na kupanuka wigo huo wa mapambano hadi kwenye eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 1433169    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/25

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amezungumzia tukio la kusikitisha la kuuawa wananchi wa Ghaza hasa wanawake na watoto na kusisitiza kuwa, kadhia ya Ghaza kwa hakika ni ya kusikitisha na utawala wa Kizayuni wa Israel umeamua kutekeleza jinai kutokana na mghafala ulioko katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 1430240    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/16

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema Marekani na Uingereza zinaunga mkono hujuma inayoendelea ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 1428809    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/13

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, vyombo vya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi sasa vinalengwa na madola ya kibeberu ya Magharibi na hasa Marekani.
Habari ID: 1427548    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Katika siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ugeni wa Allah Karima ambao pia ni machipuo ya Qur'ani, idadi ya wasomaji bora wa tajwidi, maustadhi na mahafidhi wa Kitabu cha Allah SWT, jana mjini Tehran walishiriki katika kikao na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei kwenye mahafali ya kufungamana na Qur'ani.
Habari ID: 1424379    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/30

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametahadharisha juu ya njama za adui za kuchochea mgogoro wa kidini kati ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Suni ili kuvuruga wimbi la mwamko wa Kiislamu.
Habari ID: 1423568    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapinga uingiliaji wa Marekani na madola mengine katika masuala ya ndani ya Iraq.
Habari ID: 1421482    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/23

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema maudhui ya Umahdi na kudhihiri Imam wa Zama (ATF) ni ahadi isiyopingika ya Mwenyezi Mungu kwa ajili ya kuongoza jamii ya mwanaadamu.
Habari ID: 1416911    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/12

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, silaha za nyuklia zinapingana kikamilifu na ubinadamu.
Habari ID: 1415874    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/09

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haijawahi kusalimu amri mbele ya nchi za Magharibi na kwamba imeweza kustawi na kuendelea siku hadi siku.
Habari ID: 1414443    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/05

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa: kushikamana na Qur'ani ni jambo ambalo litauletea Umma wa Kiislamu mafanikio na heshima.
Habari ID: 1414310    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/03

Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumatatu asubuhi mjini Tehran alionana na Sheikh Sabah al Ahmad al Jabir as Sabah, Amir wa Kuwait na ujumbe alioandamana nao na kusema kuwa, eneo la Ghuba ya Uajemi na usalama wake ni suala muhimu mno.
Habari ID: 1414303    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/03

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, umoja na kuundwa umma ulio shikamana ni hitajio la dharura katika Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 1411477    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/27

Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Marekani imekasirishwa na hatua ya taifa la Iran ya kusimama kidete mbele ya mgawanyiko wa dunia katika kambi ya mabeberu na wanaojisalimisha mbele ya mabeberu.
Habari ID: 1409603    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/22