Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ametaka kuimarishwa ushirikiano, umoja na udugu wa kidini baina ya nchi zote za Kiislamu duniani.
Habari ID: 3316509 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/20
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema maqari na wasomaji wanaweza kusisitiza mara kadhaa juu ya baadhi ya maneno ya kitabu hicho kitukufu katika usomaji wao.
Habari ID: 3315977 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/19
Waislamu katika nchi nyingi duniani leo wamenza funga ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3315879 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/18
Ripoti Maalumu ya IQNA
Sambamba na kuanza hujuma ya hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia nchini Yemen, kumeshuhudiwa kuongezeka kwa kasi chuki dhidi ya Ushia na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran barani Afrika.
Habari ID: 3315877 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/18
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, ametoa mkono wa kheri na fanaka kwa maspika wa mabunge ya nchi za Kiislamu duniani kwa mnasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3315773 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/17
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kusimama kidete taifa na serikali ya Iraq mbele ya magaidi na Matakfiri ni chanzo cha kudhamini usalama wa eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3315772 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/17
Maonyesho ya 23 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yatafunguliwa katika siku za awali za mtukufu wa Ramadhani katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran.
Habari ID: 3315145 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/16
Mohsen Haji-Hassani Kargar
Mohsen Haji-Hassani Kargar aliyewakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kupata nafasi ya kwanza katika Mashindano ya 57 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia ameashiria nafasi na hadhi ya juu ya qiraa ya Qur'ani Tukufu katika Jamhuri ya Kiislamu.
Habari ID: 3314496 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/15
Mohsen Haji-Hassani Kargar
Mwakilishi wa Iran katika Mashindano ya 57 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia amesema maqarii au wasomaji wa Qur'ani Tukufu ni wahubiri wa Uislamu na wanapaswa kuendeleza malengo ya Qur'ani.
Habari ID: 3314406 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/15
Mohsen Haji-Hassani Kargar wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameibuka mshindi katika kitengo cha qiraa cha Mashindano ya 57 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Malaysia.
Habari ID: 3314400 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/15
Kituo cha Utamaduni cha Iran mjini Kampala, Uganda kinashirikiana na Televisheni ya kitaifa ya nchi hiyo UBC TV katika kutayarisha pamoja vipindi vya Qur'ani na vya maudhui za kidini.
Habari ID: 3312613 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/09
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mafundisho ya Imam Khomeni MA ndio ramani ya njia ya taifa lililojaa matumaini la Iran na kwamba kuna udharura wa kukabiliana na upotoshaji shakhsia ya Imam.
Habari ID: 3310916 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/04
Siku ya Alkhamisi ya tarehe 4 Juni inasadifiana na kumbukumbu za siku ya kufariki dunia Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3310852 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/04
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema misimamo ya nyuklia ya Iran ni ile ile iliyotangazwa mara kadhaa hadharani.
Habari ID: 3308684 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/28
Wanafunzi wa madrassah za mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salaam wameshiriki katika mashindano ya kuhifadhi Qur'ani katika Masjid Hudaa eneo la Mbagala.
Habari ID: 3308477 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/27
Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula Duniani limeahidi kupeleka misaada ya Iran nchini Yemen. Meli ya Iran ilikuwa ipeleke misaada ya kibinadamu moja kwa nchini Yemen lakini ikashindwa kufanya hivyo kutokana na kuendelea hujuma za katika Bandari ya Hudaydah.
Habari ID: 3307026 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/24
Awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran imekamilika na washindi kutangazwa huku wawakilishi wa nchi za Afrika wamefanya vizuri katika kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3306240 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/22
Wanawake wasomi na wanaharakati wa Qur'ani Tukufu wameenziwa pembizoni mwa Awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3306144 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/21
Mwakilishi wa Saudi Arabia katika Awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ameyataja mashindano hayo kuwa nembo ya umoja miongoni mwa Waislamu.
Habari ID: 3306138 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/21
Washiri kadhaa wa awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran ametembelea Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, siku ya Jumapili.
Habari ID: 3304650 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/18