Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ubeberu kinara wake akiwa Marekani ndio chanzo kikuu cha kutokea ujahili wa kisasa.
Habari ID: 3304290 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/17
Awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran imeanza Ijumaa jioni kwa hotuba ya Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3304081 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/16
Wataalamu 22 wa Qur’ani Tukufu wameteuliwa katika jopo la majaji wa awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3293178 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/12
Meli ya misaada ya kibinadamu ya Iran kwa ajili ya wananchi wanaondelea kushambuliwa kinyama na Saudi Arabia huko Yemen inaendelea na safari yake baada ya kuondoka katika bandari ya Bandar Abbas, kusini mwa Iran.
Habari ID: 3292005 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/12
Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma ya kinyama ya Saudi Arabia katika j iran i ya Yemen ni kosa la kistratejia.
Habari ID: 3277848 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/10
Mamilioni ya wananchi Waislamu wa Iran wameandamana kote nchini baada ya Sala ya Ijumaa kulaani jinai za utawala wa Saudia dhidi ya watu wa Yemen. Wananchi katika miji mikubwa kama vile Tehran, Qom, Mashhad na miji mingine 770 kote nchini.
Habari ID: 3276822 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/09
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema haafiki mazungumzo wakati kunakuwepo vitisho na hivyo wakuu wa sera za kigeni Iran na wanaoshiriki katika mazungumzo wanapaswa kulinda na kuzingatia kwa kina misingi na mistari myekundu.
Habari ID: 3269139 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/07
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za kusitisha hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen.
Habari ID: 3269138 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/07
Nakala kubwa zaidi ya Qur'ani duniani imeandikwa katika mji mtakatifu wa Mash'had kaskazini maashariki mwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3259424 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/05
Zaidi ya nchi 62 zimethibitisha kushiriki katika awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3185599 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/21
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe haijawahi kuwa tishio kwa usalama wa eneo la Mashariki ya Kati na nchi maj iran i zake na katika siku za usoni pia haitokuwa hivyo, lakini wakati huo huo itaendelea kusimama kidete kukabiliana vilivyo na uchokozi wa aina yoyote ile dhidi yake.
Habari ID: 3180160 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/20
Awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yanatazamiwa kuanza katika mji mkuu Tehran mnamo 27 Rajab sawa na Mei 15.
Habari ID: 3156549 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/16
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itashiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani nchini Tunisia
Mashindano hayo yanatazamiwa kufanyika baadaye mwezi huu katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3147174 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/15
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa hajachukua hatua yoyote kuhusiana na maelewano ya mazungumzo ya nyuklia kati ya taifa hili na kundi la 5+1 kwa kuwa hadi sasa haijafika wakati wa kutoa maamuzi hasa kwa kutilia maanani kwamba bado viongozi wa serikali wamesema kuwa, bado makubaliano hasa hayajafikiwa.
Habari ID: 3116071 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/10
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhmaa Ali Khamenei amesema katika mazungumzo yake na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki aliyeko safarini hapa nchini kwamba mwamko wa Kiislamu ndiyo sababu kuu ya wasiwasi wa maadui wa Uislamu.
Habari ID: 3108936 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/08
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kuondolewa vikwazo ni sehemu ya mazungumzo ya nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kundi la 5+1.
Habari ID: 3021914 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/22
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amejiunga na taifa la Iran katika kuadhimisha siku kuu ya Nowruz ya kuwadia mwaka mpya wa Hijria Shamsia.
Habari ID: 3015830 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/20
Tehran (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtunuku zawadi msichana Mu iran i mwenye umri wa miaka 8 aliyehifadhi kikamilifu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 2985092 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/15
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wamarekani kila mara unapokaribia muda ulioainishwa kwa ajili ya kumalizika mazungumzo, huwa kikwazo cha kukwamisha suala hilo na kwamba wanafanya hivyo ili kufikia malengo yao kupitia hila hizo.
Habari ID: 2971496 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/13
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatekeleza mkakati wa kuhakikisha inageuka na kuwa kitovu cha utalii halali kwa lengo la kuwavutia Waislamu milioni 15 kutoka maeneo mbali mbali duniani.
Habari ID: 2910925 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/28