Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa: “Taifa la Iran daima limeonesha kuwa lina irada imara na lina uwezo na kuvunja njama za adui.”
Habari ID: 2869495 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/19
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mafundisho ya dini tukufu ya Kiislamu yanatuamrisha kuamiliana vyema, kwa insafu na uadilifu na wafuasi wa dini nyinginezo za mbinguni.
Habari ID: 2862975 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/17
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema malengo na misingi ya Mapinduzi ya Kiislamu haiwezi kubadilika.
Habari ID: 2840031 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/11
Mamillioni ya wananchi wa Iran leo wamejitokeza na kushiriki kwa wingi katika maandamano ya kuadhimisha mwaka wa 36 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 2840030 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/11
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya mgaidi wa kundi la Daesh (ISIL) kumuwa kinyama rubani wa Jordan aliyekuwa ametekwa nyara na kundi hilo.
Habari ID: 2811515 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/04
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei, amesema mafanikio makubwa yaliyopatikana katika teknolojia ya Nano na Bioteknolojia ni mfano na kipimo cha maendeleo katika sekta mbalimbali nchini
Habari ID: 2792669 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/01
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kadhia ya Palestina ndiyo yenye umuhimu mkubwa zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu na kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendelea kusimama kidete hadi pale malengo ya Palestina yatakapotimia na hapana shaka kuwa vijana watashuhudia siku hiyo.
Habari ID: 2770295 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/27
Waislamu na hata wasiokuwa Waislamu duniani wanaendelea kulaani kitendo cha hivi karibuni cha jarida moja la Ufaransa la Charlie Hebdo kuchora vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtumu Mtukufu wa Uislamu, Mohammad SAW.
Habari ID: 2766561 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/26
Kamanda wa Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kamanda wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC amesema mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni yataendelea hadi Quds Tukufu ikombolewe.
Habari ID: 2743221 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/22
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu amewataka Waislamu kuwa macho katika kukabiliana na njama za maadui wa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 2689576 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/09
Tehran-IQNA- Waislamu nchini Uganda Jumamosi iliyopita waliadhimisha Maulid (kumbukumbu ya kuzaliwa ) Bwana Mtume Muhammad SAW huku wakitoa wito wa amani na umoja katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki inayokumbwa na migawanyiko miongoni mwa Waislamu.
Habari ID: 2677812 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/06
TEHRAN (IQNA)-Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, yaani bunge la Iran Ali Larijani amesisitiza kuhusu umoja wa Waislamu na kuongeza kuwa tafauti miongoni mwa madhehebu ya Kiislamu si kubwa na kwamba maadui wanatumia tafauti ndogo zilizopo kuibua migogoro miongoni mwa Waislamu.
Habari ID: 2672174 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/05
TEHRAN –IQNA–Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa njia pekee ya kuokoka Waislamu katika hali ya hivi sasa duniani ni kurejea katika mafundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 2665230 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/01
Kikao cha 23 kikuu cha Sala nchini Iran kimefunguliwa Jumatano kwa ujumbe wa Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mjini Ahwaz (kusini magharibi mwa Iran).
Habari ID: 2663165 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/01
Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema, madola yanayounga mkono ugaidi yanapaswa kuacha kutoa misaada yao ya moja kwa moja na isiyo ya moja kwa moja kwa magaidi na badala yake yashirikiane na waathirika wa ugaidi.
Habari ID: 2617107 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/09
Mkutano wa 10 wa Mawaziri wa Habari wa nchi za Kiislamu (ICIM) umefanyika Jumatano hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na Is’haq Jahangiri Makamu wa Kwanza wa Rais na Katibu Mkuu wa OIC.
Habari ID: 2615009 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/04
Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kujihisi kuwa na majukumu ya kibinadamu, kuwa na maarifa ya kumjua Mwenyezi Mungu na busuri, ni misingi mikuu ya fikra za kimantiki za jeshi la kujitolea la Basiji.
Habari ID: 2612444 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/28
Imam Khamenei
Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumanne mjini Tehran ameonana na maulamaa, wanavyuoni, wasomi na wageni walioshiriki kwenye Kongamano la Kimataifa la Mirengo ya Kitakfiri kwa Mtazamo wa Maulamaa wa Kiislamu na kulitaja suala la kuzuka upya makundi ya kitakfiri katika miaka ya hivi karibuni kuwa ni tatizo lililopandikizwa na mabeberu katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 2612034 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/26
Kongamano la Kimataifa la ‘Hatari ya Misimamo Mikali Na Utakfiri Kwa Mtazamo wa Maulamaa wa Kiislamu’ lilianza jana hapa nchini Iran katika mji Mtakatifu wa Qum kusini mwa Tehran kwa kuhuduriwa na mamia ya maulamaa na wanafikra wa Kiislamu kutoka madhehebu ya Shia na Sunni.
Habari ID: 2611223 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/24
Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametahadharisha kuhusu njama za adui zenye lengo za kuudhihirisha Uislamu kuwa ni tishio.
Habari ID: 1474768 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/18