Jinai za Israel
        
        IQNA - Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway amelaani "vita vya kikatili" vya utawala wa Israel huko Gaza na ukiukaji wake wa kanuni za vita.
                Habari ID: 3479584               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/13
            
                        Muqawama
        
        IQNA - Maandamano yamefanyika katika mji mkuu wa Iraq wa Baghdad siku ya Ijumaa kulaani jinai zinazoendelea za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.
                Habari ID: 3479580               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/12
            
                        Kususia Israel
        
        IQNA - Mtaalamu wa masuala ya kiuchumi amesema kuususia kiuchumi  utawala wa Kizayuni wa Israel kunaweza kuwa mkakati "mwenye ufanisi zaidi" wa kukabiliana na utawala huo kwa muda mrefu.
 
                Habari ID: 3479572               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/11
            
                        Watetezi wa Palestina
        
        IQNA - Wataalamu na wasomii walioshiriki katika mkutano wa kimataifa wa haki za binadamu mjini Tehran wameikosoa nchi za Magharibi kwa undumilakuwili na unafiki kuhusu suala la Palestina.
                Habari ID: 3479571               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/10
            
                        Muqawama
        
        IQNA - Balozi wa Yemen nchini Iran amesema taifa la Yemen litaendelea kuwa na msimamo thabiti katika kuunga mkono harakati za muqawama au mapambano ya Kiislamu huko Palestina na Lebanon.
                Habari ID: 3479560               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/08
            
                        Muqawama
        
        IQNA - Mchambuzi mashuhuri wa Lebanon anasema jinsi Iran inavyojibu kwa shambulio linalowezekana la Israel itaunda mustakabali wa eneo hilo.
                Habari ID: 3479559               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/08
            
                        Msaada
        
        IQNA - Idadi kubwa ya wataalam wa matibabu wa Iran wametoa wametangaza utayari wao wa kwenda Lebanon kuwahudumia watu wa nchi hiyo ya Kiarabu huku utawala wa Kizayuni, ukiendeleza vita dhidi ya nchi hiyo, afisa mmoja alisema.
                Habari ID: 3479552               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/07
            
                        Operesheni ya Ahadi ya Kweli II
        
        TEHRAN- Ving'ora vinasikika katika kote Israel (ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu) baada ya majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuvurumisha idadi kubwa ya makombora ambayo yamelenga ngome muhimu za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel
                Habari ID: 3479519               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/01
            
                        
        
        IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimelaani ukatili wa Israel huko Lebanon na Ukanda wa Gaza.
                Habari ID: 3479499               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/27
            
                        Watetezi wa Haki
        
        IQNA -Maandamano yamefanyika nchini Kanada kulaani vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza na Lebanon.
                Habari ID: 3479481               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/24
            
                        Watetezi wa Haki
        
        IQNA- Kiongozi wa juu wa kidini  yaani Marjaa-Taqlidi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali al-Sistani ameelezea mshikamano wake na Lebanon wakati nchi hiyo ya Kiarabu na Kiislamu inaendelea kuandamwa na mashambulio ya kinyama ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel na ametaka zifanyike juhudi za dharura kusitisha uchokozi huo wa kikatili wa utawala huo na kuwalinda raia wa Lebanon.
                Habari ID: 3479480               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/24
            
                        Muqawama
        
        IQNA- Askari kadhaa wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon.
                Habari ID: 3479455               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/19
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA - Afisa mwandamizi wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kusimama kidete harakati hiyo ya muqawama katika kuilinda nchi hiyo dhidi ya vitendo vya hivi karibuni vya kichokozi vya utawala wa Kizayuni.
                Habari ID: 3479454               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/19
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeapa kuendeleza mashambulizi yake dhidi ya utawala haramu wa Israel kwa ajili ya kuwatetea watu wa Ukanda wa Gaza, ambao wanaendelea kuuawa kikaktili katika mauaji ya kimbari ya Israel, ikisisitiza kwamba ukatili wa hivi karibuni wa utawala huo ulioua watu kadhaa nchini Lebanon utaimarisha azma yake ya kuendeleza njia ya mapambano na muqawama.
                Habari ID: 3479452               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/18
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA - Makundi ya kisiasa ya Yemen yamelaani vitendo vya kigaidi vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon ambavyo vilisababisha wengi kuuawa shahidi au kujeruhiwa.
                Habari ID: 3479451               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/18
            
                        Waungaji mkono Palestina
        
        IQNA - Harakati mashuhuri ya Yemen ya Ansarullah imesambaza video na picha za sherehe za Maulid ya Mtume Mtukufu (SAW) zilizofanyika kwenye sitaha ya meli ya utawala haramu wa Israel.
                Habari ID: 3479439               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/15
            
                        Quds Tukufu hatarini
        
        IQNA - Wizara ya Wakfu ya Jordan imetahadharisha kuhusu kushadidi hatua za utawala wa Kizayuni zenye lengo la kueneza Uyahudi katika maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem).
                Habari ID: 3479392               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/07
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimelaani vikali kushadidi jinai za utawala wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
                Habari ID: 3479363               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/01
            
                        Watetezi wa Palestina
        
        IQNA - Takriban watu milioni moja walikusanyika katika mji mkuu wa Yemen wa Sana'a siku ya Ijumaa ili kuelezea mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na pia kulaani jinai ya wanajeshi wa Israel ya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu.
                Habari ID: 3479356               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/08/31
            
                        Muqawama
        
        IQNA - Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Ansarullah ya Yemen amelaani kuendelea kwa jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Ghaza na ukimya na kutochukua hatua kwa baadhi ya nchi za Kiarabu.
                Habari ID: 3479284               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/08/16