IQNA-Mmoja wa viongozi wa ngazi za juu kidini nchini Iran amemwandikia barua Papa Leo XIV akisema: "Mienendo ya kikatili na isiyo ya kibinadamu ya utawala wa Kizayuni wa Israel ikiwa ni pamoja na kuzuia kupelekwa chakula na mahitaji muhimu kwa watu wa Gaza ni ukiukaji wa wazi wa kanuni za kidini, kibinadamu, maadili na sheria za kimataifa."
Habari ID: 3480994 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/25
IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu kutoka Iran amewataka viongozi wa Kiislamu na Kiongozi wa Kanisa Katoliki kushikamana dhidi ya mzingiro wa Israel huko Gaza, ambako njaa inazidi kupelekea janga kubwa la kibinadamu.
Habari ID: 3480992 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/24
IQNA – Sheikh Ahmed al-Tayeb, Imamu Mkuu wa Al-Azhar, ametoaito wa dharura kwa jamii ya kimataifa kuingilia kati mara moja kuokoa watu wa Gaza dhidi ya baa la njaa linalokatili maisha ya wengi.
Habari ID: 3480989 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/23
IQNA – Profesa Ali Montazeri, Mkuu wa Akademia ya Kitaifa cha Elimu, Utamaduni na Utafiti (ACECR) nchini Iran, amesema kuwa lengo la mashambulizi ya pamoja ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni kuzuia maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia ya taifa hilo.
Habari ID: 3480977 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/21
IQNA – Mtaalamu kutoka chuo kikuu nchini Lebanon amesema kuwa lengo la utawala wa Kizayuni katika vita vya siku 12 dhidi ya lilikuwa kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusukuma mbele mpango wao wa “Mashariki ya Kati Mpya”, lakini muqawama na kusimama kidete Iran kuliuzuia.
Habari ID: 3480973 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/20
IQNA-Maandamano ya watu karibu milioni moja yamefanyika huko Sanaa, mji mkuu wa Yemen, jana Ijumaa katika kutangaza mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na kulaani uchokozi wa jeshi la Israel huko Gaza na Yemen.
Habari ID: 3480968 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/19
IQNA – Jamii ya kimataifa imeendelea kulaani mashambulizi ya anga na droni yaliyofanywa na Israel katika maeneo kadhaa nchini Syria.
Habari ID: 3480958 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/17
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Israel ililazimika "kusalimu amri na kuing'ang'ani Marekani" kwa kukata tamaa, wakati wa vita vya hivi karibuni vya siku 12 dhidi ya Iran, na kuthibitisha kuwa haina na uwezo wa kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu bila msaada.
Habari ID: 3480956 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16
IQNA – Msomaji wa Qur’ani wa Palestina na mwimbaji wa kaswida za Kiislamu amekufa shahidi katika shambulizi la hivi karibuni la anga lililofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3480954 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16
IQNA – Shirika la Kimataifa la Habari za Qur’ani limeandaa warsha ya kimtandaoni (webinar) ya kimataifa iitwayo "Hadhi na Nguvu ya Iran; Ujumbe Zaidi ya Makombora" itakayofanyika mwishoni mwa wiki hii.
Habari ID: 3480952 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16
IQNA – Kundi la watu wanaojiita viongozi wa Kiislamu na maimamu wa jamii za Waislamu barani Ulaya limekumbwa na ukosoaji mkali baada ya kufanya ziara katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu wiki hii, wakati ambapo utawala wa Kizayuni unaendelea na mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Gaza.
Habari ID: 3480930 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12
Jamii ya Qur’ani Tukufu nchini Iran imejumuika katika Mahafali ya Qur’ani Tukufu iliyofanyika Alhamisi, tarehe 11 Julai, jijini Tehran, chini ya anuani “Kuelekea Ushindi”. Katika mkusanyiko huo, hadhirina waliwakumbuka na kuwaenzi mashahidi wa mapambano, na wakaahidi tena uaminifu wao kwa malengo matukufu ya makamanda waliouawa shahidi pamoja na mashujaa wa vita vya siku 12.
Habari ID: 3480929 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12
IQNA – Qari maarufu wa Iran, Ustadh Ahmad Abolqsemi, alisoma kwa umahiri aya za Qur'ani Tukufu za 138 hadi 150 za Surah Al-Imran katika hafla maalum iliyofanyika Tehran mnamo Julai 10, 2025, kwa ajili ya Khitma ya mashahidi waliouawa katika uvamizi wa hivi karibuni wa siku 12 wa pamoja wa Marekani na Israel dhidi ya Iran.
Habari ID: 3480927 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/11
IQNA-Jeshi la Yemen limeshambulia meli nyingine iliyokuwa inaelekea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina 'Israel', ili kuwaunga mkono Wapalestina wanaokabiliwa na mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3480923 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/10
IQNA – Jumuiya ya Qur'ani ya Iran imepanga kuandaa mikusanyiko 114 ya usomaji wa Qur'ani katika maeneo mbalimbali ya nchi, kwa ajili ya kuwaenzi mashahidi wa mashambulizi ya hivi karibuni ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3480917 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/08
IQNA- Mamlaka ya anga ya Israel imesitisha safari zote za ndege za kuwasili na kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ben Gurion na kusema kuwa kituo hicho kitaendelea kufungwa "kwa muda usiojulikana" baada ya Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen kufanya shambulio la kombora, kulipiza kisasi vita vya mauaji ya halaiki vinavyoendelea vya utawala wa Tel Aviv dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
Habari ID: 3480912 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/07
IQNA-Kamanda mwandamizi wa Sarayal-Quds, tawi la kijeshi la Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina ametangaza kuwa, askari wapatao 40 wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameuawa au kujeruhiwa katika operesheni ya kijeshi iliyoratibiwa na wapiganaji wa Muqawama mashariki ya Ghaza.
Habari ID: 3480898 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/05
IQNA – Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amelaani kuendelea kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wasio na hatia wa Palestina, huku jumuiya ya kimataifa ikikaa kimya bila kuchukua hatua yoyote.
Habari ID: 3480891 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/04
IQNA-Sheikh Naim Qassem, kiongozi wa harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah ameeleza kuwa Israel si tu kuwa inaikalia kwa mabavu Palestina bali ni tishio la kimkakati kwa Lebanon, Misri, Syria, Jordan, na ni tishio pia kwa amani na usalama wa kanda hii na dunia nzima kwa ujumla.
Habari ID: 3480888 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/03
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Mienendo ya hivi karibuni ya kindumakuwili ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) inatia wasiwasi na inasababiisha changamoto kubwa kwa imani ya umma ya taifa la Iran."
Habari ID: 3480879 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/01