Jinai za Israel
IQNA - Milipuko iliyosikika Jumatatu usiku karibu na madhabahu takatifu ya Hadhrat Zeynab (SA) katika kitongoji cha Damascus ilisababishwa na shambulio la bomu la ndege za kivita za Israel, duru zilisema.
Habari ID: 3479887 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/10
Uchambuzi
IQNA - Utawala wa Kizayuni wa Israel unalenga kwa nguvu zote kusambaratisha mhimili wa muqawama Asia Magharibi na kutenganisha makundi ya muqawama huko Iraq, Syria na Lebanon, amesema mchambuzi wa masuala ya kisiasa wa Iraq.
Habari ID: 3479870 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07
IQNA - Maelfu ya watu wa Lebanon wanarejea makwao kusini mwa Lebanon baada ya kusitishwa kwa mapigano kati ya utawala haramu wa Israel na Harakati Hizbullah. Mapatano hayo yalivikiwa Jumatano iliyopita.
Habari ID: 3479836 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/02
Kadhia ya Palestina
IQNA--Kwa mwaka wa pili mfululizo Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na Wananchi wa Palestina imeadhimishwa huku Gaza ikiendelea kuwa chini ya hujuma kubwa ya mashambulizi ya utawala wa Kizayuni sambamba na kuenezwa propaganda na taarifa ghushi za utawala huo
Habari ID: 3479829 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/30
Muqawama (Mapambano ya Kiislamu)
IQNA- Hatimaye baada ya miezi 14 ya vita vikali kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon, usitishaji vita wa siku 60 umeanza kutekelezwa asubuhi ya leo (Jumatano) baina ya pande hizo mbili.
Habari ID: 3479815 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/27
Jinai za Israel
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa wito wa kuhukumiwa kifo Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ambaye waranti ya kukamatwa kwake imetolewa na Mahakama ya kimataifa ya Uhalifu (ICC) huku utawala huo ukiendeleza mauaji ya kimbari ya utawala huo ghasibu huko Gaza na nchini Lebanon.
Habari ID: 3479809 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/25
Muqawama
IQNA-Kiongozi wa Hizbullah amesema harakati hiyo ya muqawama ya Lebanon iko tayari kupigana vita vya muda mrefu dhidi ya utawala ghasibu wa Israel, na kwamba jibu lao kwa mashambulizi ya hivi karibuni ya anga dhidi ya Beirut litakuwa kulenga katikati mwa Tel Aviv.
Habari ID: 3479786 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/21
Watetezi wa Qur'ani
IQNA-Kitendo cha hivi punde zaidi cha kuvunjiwa heshima Qur'ani na askari wa utawala haramu wa Israel huko Gaza kimelaaniwa na watu wengi, ikiwa ni pamoja na kundi kubwa zaidi la kutetea Waislamu nchini Marekani ambalo lilitaka Waislamu wachukuliwe hatua dhidi ya hatua hizo za kusikitisha.
Habari ID: 3479780 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/20
Jinai za Israel
IQNA - Picha inayosambaa mtandaoni inamuonyesha mwanajeshi wa utawala katili wa Israel akivunjia heshima nakala ya Qur'ani Tukufu huko Gaza ikiwa ni kitendo cha hivi karibuni cha uadui wa jeshi hilo dhidi ya Waislamu duniani.
Habari ID: 3479774 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/19
Jinai za Israel
IQNA - Kundi la waandamanaji wanaouunga mkono utawala haramu wa Israel walimnyanyasa na kukandamiza Mbunge wa Uingereza Jeremy Corbyn nje ya ukumbi wa mkutano ambapo mkutano wa kupinga ubaguzi wa rangi ulikuwa unafanyika.
Habari ID: 3479762 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/17
Diplomasia
IQNA - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema utawala wa Marekani unaomaliza muda wake unatarajiwa kutumia muda uliobakia madarakani kukomesha hujuma za Israel huko Gaza na Lebanon.
Habari ID: 3479738 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/11
Siasa
IQNA - Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu la Iran ameilaani Marekani kwa kutoa uungaji mkono wa kila namna kwa utawala wa Kizayuni wa Israel katika hujuma zake za mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3479706 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/05
Muqawama
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo ameeleza sababu za msingi za mapambano ya taifa la Iran yanayoendelea kwa takriban miaka 70 dhidi ya dhulma na sera za kupenda kujitanua za Marekani, na kusisitiza kuwa: Katika njia hiyo ya ushindi, utawala wa Kizayuni na Marekani watapewa jibu kali kwa hatua yoyote dhidi ya taifa la Iran.
Habari ID: 3479685 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/02
IQNA - Kundi la wanachama wa Jumuiya ya Qur'ani ya Iran wametembelea watu wa Lebanon, ambao wamejeruhiwa katika shambulio la Israel, katika hospitali jijini Tehran.
Habari ID: 3479666 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/29
Diplomasia
IQNA - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza haki isiyopingika ya Iran kujibu kitendo cha kichokozi cha hivi karibuni cha utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3479662 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/28
Diplomasia
IQNA-Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amemwandikia barua Mwenyekiti wa Baraza la Usalama na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kufuatia mashambulizi ya jana ya utawala wa Kizayuni dhidi ya vituo vya kijeshi vya Iran na kusisitiza kuwa: Hatua za Tel Aviv ni tishio kubwa kwa amani na usalama wa kimataifa.
Habari ID: 3479654 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/27
Taarifa
IQNA-Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali hatua ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni ya kushambulia baadhi ya vituo vya kijeshi hapa nchini, na kuitaja kuwa ni ukiukwaji wa wazi wa sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3479648 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/26
IQNA – Mbunge wa ngazi za juu katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (bunge la Iran) amepongeza kikosi cha ulinzi wa anga cha Iran kwa kufanikiwa kuzima shambulio la anga la utawala haramu Israel Jumamosi asubuhi.
Habari ID: 3479647 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/26
IQNA-Muungano wa viongozi wa Waislamu wenye asili ya Afrika nchini Marekani wamewataka wapiga kura kumkataa Makamu wa Rais Kamala Harris katika azma yake ya kuwania urais wa Marekani 2024 kutokana na sera yake ya kuunga mkono mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala dhalimu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza.
Habari ID: 3479633 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/22
Muqawama
IQNA - Kufuatia kuuawa shahidi mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina,Hamas, Yahya Sinwar, harakati hiyo imewataka Waislamu kuswalia shahidi huyo na kuandaa maandamano ya kuupinga vikali dhidi ya utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3479616 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/19