Siasa
IQNA - Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu la Iran ameilaani Marekani kwa kutoa uungaji mkono wa kila namna kwa utawala wa Kizayuni wa Israel katika hujuma zake za mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3479706 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/05
Muqawama
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo ameeleza sababu za msingi za mapambano ya taifa la Iran yanayoendelea kwa takriban miaka 70 dhidi ya dhulma na sera za kupenda kujitanua za Marekani, na kusisitiza kuwa: Katika njia hiyo ya ushindi, utawala wa Kizayuni na Marekani watapewa jibu kali kwa hatua yoyote dhidi ya taifa la Iran.
Habari ID: 3479685 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/02
IQNA - Kundi la wanachama wa Jumuiya ya Qur'ani ya Iran wametembelea watu wa Lebanon, ambao wamejeruhiwa katika shambulio la Israel, katika hospitali jijini Tehran.
Habari ID: 3479666 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/29
Diplomasia
IQNA - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza haki isiyopingika ya Iran kujibu kitendo cha kichokozi cha hivi karibuni cha utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3479662 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/28
Diplomasia
IQNA-Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amemwandikia barua Mwenyekiti wa Baraza la Usalama na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kufuatia mashambulizi ya jana ya utawala wa Kizayuni dhidi ya vituo vya kijeshi vya Iran na kusisitiza kuwa: Hatua za Tel Aviv ni tishio kubwa kwa amani na usalama wa kimataifa.
Habari ID: 3479654 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/27
Taarifa
IQNA-Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali hatua ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni ya kushambulia baadhi ya vituo vya kijeshi hapa nchini, na kuitaja kuwa ni ukiukwaji wa wazi wa sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3479648 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/26
IQNA – Mbunge wa ngazi za juu katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (bunge la Iran) amepongeza kikosi cha ulinzi wa anga cha Iran kwa kufanikiwa kuzima shambulio la anga la utawala haramu Israel Jumamosi asubuhi.
Habari ID: 3479647 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/26
IQNA-Muungano wa viongozi wa Waislamu wenye asili ya Afrika nchini Marekani wamewataka wapiga kura kumkataa Makamu wa Rais Kamala Harris katika azma yake ya kuwania urais wa Marekani 2024 kutokana na sera yake ya kuunga mkono mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala dhalimu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza.
Habari ID: 3479633 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/22
Muqawama
IQNA - Kufuatia kuuawa shahidi mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina,Hamas, Yahya Sinwar, harakati hiyo imewataka Waislamu kuswalia shahidi huyo na kuandaa maandamano ya kuupinga vikali dhidi ya utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3479616 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/19
Watetezi wa Palestina
IQNA – Madiwani 114 wa Muslim wa chama tawala cha Leba Uingereza wamemuandikia barua Waziri Mkuu wa Uingereza, wakitaka kuwekewa vikwazo vya mara moja vya silaha dhidi ya Israel huku vikosi vya utawala huo vikiendelea kutumia silaha na zana za viita zinazotolewa na nchi za Magharibi kutekeleza mauaji ya kimbari huko Palestina na Lebanon.
Habari ID: 3479611 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/18
Diplomasia
IQNA- Rais wa Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Iwapo nchi za Kiislamu zitaungana zenyewe, utawala wa Kizayuni wa Israel hatathubutu kufanya jinai kirahisi na Marekani na nchi za Magharibi pia hazitaunga mkono utawala huo."
Habari ID: 3479608 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/17
Muqawama
IQNA- Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ameonya kuwa sera ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kukalia kwa mabavu ardhi za wengine ni tishio sio tu kwa Palestina bali kwa eneo na dunia nzima.
Habari ID: 3479604 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/17
Jinai za Israel
IQNA - Imamu wa Swala ya Ijumaa ya Baghdad amelaani kitisho cha utawala huo wa Israel cha kumuua mwanazuoni wa ngazi za juu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Ali al-Sistani na kusema maelfu ya vijana wa Kiislamu Iraq wako tayari kuingia vitani kupambana na utawala huo wa Kizayuni na kuzima njama zake.
Habari ID: 3479587 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13
Jinai za Israel
IQNA-Mashambulizi kinyama ya anga yanayofanywa na katili la utawala wa Kizayuni wa Israel yameteketeza kikamilifu msikiti wa kale na kubomoa soko kusini mwa Lebanon, katika kile kilichoelezewa kama "uangamizaji wa kila kitu".
Habari ID: 3479586 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13
Jinai za Israel
IQNA - Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway amelaani "vita vya kikatili" vya utawala wa Israel huko Gaza na ukiukaji wake wa kanuni za vita.
Habari ID: 3479584 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13
Muqawama
IQNA - Maandamano yamefanyika katika mji mkuu wa Iraq wa Baghdad siku ya Ijumaa kulaani jinai zinazoendelea za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.
Habari ID: 3479580 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/12
Kususia Israel
IQNA - Mtaalamu wa masuala ya kiuchumi amesema kuususia kiuchumi utawala wa Kizayuni wa Israel kunaweza kuwa mkakati "mwenye ufanisi zaidi" wa kukabiliana na utawala huo kwa muda mrefu.
Habari ID: 3479572 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/11
Watetezi wa Palestina
IQNA - Wataalamu na wasomii walioshiriki katika mkutano wa kimataifa wa haki za binadamu mjini Tehran wameikosoa nchi za Magharibi kwa undumilakuwili na unafiki kuhusu suala la Palestina.
Habari ID: 3479571 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/10
Muqawama
IQNA - Balozi wa Yemen nchini Iran amesema taifa la Yemen litaendelea kuwa na msimamo thabiti katika kuunga mkono harakati za muqawama au mapambano ya Kiislamu huko Palestina na Lebanon.
Habari ID: 3479560 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08
Muqawama
IQNA - Mchambuzi mashuhuri wa Lebanon anasema jinsi Iran inavyojibu kwa shambulio linalowezekana la Israel itaunda mustakabali wa eneo hilo.
Habari ID: 3479559 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08