Waungaji mkono Palestina
IQNA - Harakati mashuhuri ya Yemen ya Ansarullah imesambaza video na picha za sherehe za Maulid ya Mtume Mtukufu (SAW) zilizofanyika kwenye sitaha ya meli ya utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3479439 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/15
Quds Tukufu hatarini
IQNA - Wizara ya Wakfu ya Jordan imetahadharisha kuhusu kushadidi hatua za utawala wa Kizayuni zenye lengo la kueneza Uyahudi katika maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3479392 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07
Jinai za Israel
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimelaani vikali kushadidi jinai za utawala wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3479363 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/01
Watetezi wa Palestina
IQNA - Takriban watu milioni moja walikusanyika katika mji mkuu wa Yemen wa Sana'a siku ya Ijumaa ili kuelezea mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na pia kulaani jinai ya wanajeshi wa Israel ya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479356 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/31
Muqawama
IQNA - Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Ansarullah ya Yemen amelaani kuendelea kwa jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Ghaza na ukimya na kutochukua hatua kwa baadhi ya nchi za Kiarabu.
Habari ID: 3479284 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/16
IQNA - Waziri wa Ulinzi wa India Rajnath Singh alihimizwa na kundi la watu mashuhuri kusitisha mara moja usafirishaji wa silaha kwenda Israel, ambayo inaendelea na vita vyake vya mauaji ya halaiki kwenye Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479228 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/04
Jinai za Israel
IQNA-Wito unaongezeka kote ulimwenguni wa kuipiga marufuku timu ya utawala haramu wa Israel kushiriki Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024 inayoanza Ijumaa huku utawala huo ukiendeleza vita vya mauaji ya halaiki dhidi ya raia Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479182 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/25
Kadhia ya Yemen
Yemen ina uwezo mkubwa zaidi wa kukabiliana na mapigo kwa utawala wa Israel, amesema kiongozi wa Ansarullah wa Yemen huku operesheni za kulipiza kisasi za nchi hiyo ya Kiarabu zikiendelea kuwaunga mkono Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479168 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/22
Utawala wa Kizayuni
Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ametoa aya za Qur'ani Tukufu na kusisitiza kwamba mwisho wa utawala mbovu wa Israel utakuja mapema zaidi kuliko baadaye.
Habari ID: 3479139 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/17
Kadhia ya Palestina
Anwar El Ghazi ameshinda kesi dhidi ya klabu ya Ujerumani ya Bundesliga Mainz 05, ambayo ilikatisha kandarasi yake kwa kuunga mkono Palestina, kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya Ujerumani.
Habari ID: 3479119 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14
Kadhia ya Palestina
Wanaharakati wa kitamaduni na wasanii wa nchi za Magharibi wamekabiliwa na matatizo baada ya kueleza mshikamano wao na Gaza na kuchukua misimamo dhidi ya vita vya mauaji ya kimbari ya Israel.
Habari ID: 3479065 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/04
Kadhia ya Palestina
Mteule katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Marekani alijiuzulu siku ya Jumanne, akitolea mfano "ushirikiano" wa utawala wa Joe Biden katika mauaji ya kimbari ya Gaza ambapo takriban watu 37,900 wameuawa tangu Oktoba 7,2023 mwaka jana.
Habari ID: 3479059 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/03
Kadhia ya Palestina
Mkurugenzi wa Hospitali ya Al-Shifa ya Gaza, Dk. Muhammad Abu Salmiya, aliachiliwa kutoka kizuizini cha Israeli siku ya Jumatatu baada ya kipindi cha miezi saba.
Habari ID: 3479045 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/01
Mauaji ya Kimbari huko Gaza
Waandamanaji huko Washington, DC, wamelaani mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479015 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/26
kadhia ya Palestina
Afisa wa Hamas alisema pendekezo lolote la kusitisha mapigano ambalo halijumuishi kumalizika kwa vita vya Israel dhidi ya Gaza litakataliwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas.
Habari ID: 3479007 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/24
Kadhia ya Palestina
IQNA-Marekani na utawala wa Kizayuni zinatekeleza sera ya njaa katika Ukanda wa Gaza ili kuhakikisha Wapalestina wa eneo hilo wanaagamia kutokana na ukosefu wa chakul, maafisa katika eneo hilo la Palestina walisema.
Habari ID: 3478990 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/20
Utawala katili wa Israel
Mwanazuoni wa Kiisalmi ,iraq alilitaja wazo la kuhalalisha au kuanzisha uhusiano w kawaida kati ya nchi hiyo ya Kiarabu na utawala wa Kizayuni kuwa jambo lisilowezekana.
Habari ID: 3478985 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/19
IQNA -Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imepokea vizuri kupitishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa azimio ambalo limeunga mkono mpango unaolenga kuleta usitishaji mapigano katika vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3478961 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/11
Jinai za Israel
IQNA-Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ametahadharisha kuwa, Israel inapasa kusubiri jibu la Iran kwa kumuua shahidi mmoja wa washauri wa kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu katika uvamizi wa utawala huo wa Kizayuni katika mji wa Aleppo (Halab) huko kaskazini magharibi mwa Syria.
Habari ID: 3478941 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/07
Jinai za Israel
IQNA - Mufti katika jumuiya ya Kiislamu ya Serbia anasema kukabiliana na jinai zinazoendelea za Israel huko Gaza ni jukumu la wanadamu wote.
Habari ID: 3478934 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/05