iqna

IQNA

mali
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe za kufunga mashindano ya kitaifa ya Qur'ani katika nchini Mali ilifanyika mapema wiki hii.
Habari ID: 3478357    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/15

Harakati za Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kuhifadhi na kufasiri Qur'ani Tukufu yameanza huko Bamako, mji mkuu wa Mali siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3478225    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/21

Hujuma dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Makumi kwa maelfu ya watu walifanya maandamano siku ya Ijumaa katika mji mkuu wa Mali wa Bamako kushutumu kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476038    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05

Ugaidi Afrika
TEHRAN (IQNA)- Shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi la ISIS au Daesh kaskazini mwa Mali limesababisha vifo vya zaidi ya watu 30.
Habari ID: 3475764    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/11

Iran na Afrika
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliyeko safarini Bamako mji mkuu wa Mali ameipongeza nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika kwa juhudi zake kubwa za kupambana na makundi ya kigaidi.
Habari ID: 3475671    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/24

Ugaidi Afrika
TEHRAN (IQNA)- Washirika wa kundi la kigaidi la Al Qaeda nchini Mali wamedai kuhusika katika shambulio kwenye kambi kuu ya kijeshi ya nchi hiyo, ambayo wamesema ni jibu la ushirikiano wa serikali na washauri wa kijeshi kutoka Russia..
Habari ID: 3475532    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/24

Ugaidi barani Afrika
TEHRAN (IQNA) – Idara ya Kupambana na Ugaidi ya Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri imetahadharisha kuhusu kuongezeka kwa vitendo vya magaidi nchini Mali.
Habari ID: 3475428    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/26

Masomo ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Duru ya Tano ya Kozi ya Qur'ani imefanyika nchini Mali katika kituo kimoja kinachofadhiliwa na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS nchini Iraq.
Habari ID: 3475345    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/07

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo hapa Tehran leo Jumapili na Waziri wa Mambo ya Nje wa Mali aliyeko ziarani hapa nchini.
Habari ID: 3474927    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/13

TEHRAN (IQNA)- Kitengo cha Kimataifa cha Taasisi ya Darul Qur’an ya Mfawidhi wa Haram ya Imam Hussein AS inaendeleza harakati zake za Qur’ani Tukufu nchini Mali.
Habari ID: 3474724    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/26

TEHRAN (IQNA)- Duru ya Tano ya Kozi Maalumu ya Kanuni za Tilawa ya Qur’ani Tukufu inafanyika nchini Mali kwa himaya ya Kituo cha Darul Qur’an cha Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474306    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/17

TEHRAN (IQNA) -Wanajeshi wa Ufaransa walioko nchini Mali wamedai kumuangamiza kinara wa operesheni za kigaidi za tawi la kaskazini mwa Afrika la mtandao wa kigaidi wa Al Qaeda.
Habari ID: 3473358    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/14

TEHRAN (IQNA) –Kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, ibada ya Hija ni wajibu kwa kila Mwislamu mwenye uwezo wa kifedha na kiafya.
Habari ID: 3473031    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/04

TEHRAN (IQNA) - Kinara wa magaidi wakufurishaji wanaofungamana na mtandao wa Al Qaeda ameuawa nchini Mali katika oparesheni ya kijeshi.
Habari ID: 3472202    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/06

TEHRAN (IQNA)- Kinara wa kundi la kigaidi linalofugamna na ISIS au Daesh nchini Mali ameuawa katika mapigano.
Habari ID: 3471650    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/28

Misikiti 10 mipya inatazamiwa kujengwa nchini Mali magharibi mwa Afrika kupitia ufadhili wa Taasisi ya Misaada ya RAF.
Habari ID: 3454532    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/19

Nchini Mali watu wasiopungua 13 wakiwemo wanajeshi watano wa serikali wameuawa Ijumaa na Jumamosi katika hujuma dhidi ya hoteli moja eneo la kati mwa nchi hiyo huku raia kadhaa wa kigeni wakichukuliwa mateka.
Habari ID: 3340139    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/08