iqna

IQNA

IQNA- Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limebainisha masikitiko yake baada ya bondia wa kike Mwislamu kupigwa marufuku Marekani kwa ajili ya vazi lake la Kiislamu la Hijabu.
Habari ID: 3470693    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/23

IQNA-Mashindano ya uchoraji kwa kuzingatia ufahamu wa Aya za Qur'ani kwa mtazamo wa watoto Waislamu yamefanyika Afrika Kusini.
Habari ID: 3470692    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/23

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria matukio machungu na ya kusikitisha katika eneo na nafasi ya baadhi ya madola makubwa katika kulazimisha ukosefu wa uthabiti na vita katika mataifa.
Habari ID: 3470691    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/22

IQNA-Zaidi ya zaidi ya vituo vya Kiislamu na misikiti 100 imehujumiwa nchini Uingereza katika kipindi cha miaka minne iliyopita.
Habari ID: 3470690    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/22

IQNA- Waislamu zaidi ya milioni 20 wamekusanyika Karbala nchini Iraq kwa ajili ya Arubaini ya mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.
Habari ID: 3470688    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/21

IQNA-Duru ya kwanza ya mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani ya wanawake yamemalizika Dubai Ijumaa usiku.
Habari ID: 3470687    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/20

IQNA-Utawala wa kiimla Nigeria umeendeleza ukandamizaji dhidi ya Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo kwa kubomoa vituo kadhaa kadhaa ya harakati hiyo.
Habari ID: 3470686    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/20

IQNA: Tarehe 20 Safar inasadifiana na Arubaini ya kuuawa shahidi Imam Hussein AS pamoja na wafuasi wake 72 katika jangwa la Karbala, Iraq ya leo. Hii huwa ni siku maalumu ya kusoma Ziara ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3470685    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/19

IQNA-Rais-mteule wa Marekani Donald Trump amewateua watu wenye chuki dhidi ya Uislamu kuhudumu katika Ikulu ya White House jambo linanloashiria muendelezo wa sera zake za chuki ambazo zimewatia hofu Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3470684    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/19

Hatimaye Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imeitaka serikali ya Nigeria kutoa maelezo kuhusu mauaji yaliyofanywa mwaka jana na jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Zaria.
Habari ID: 3470683    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/18

IQNA-Jeshi la Myanmar limeua Waislamu wasiopungua 150 wa jamii ya Rohingya katika jimbo la Rakhine.
Habari ID: 3470682    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/17

IQNA-Wafanyaziara zaidi ya milioni 1.5 wa kigeni (bila kuhesabu Wairani) wameingia Iraq kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3470681    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/17

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imekuwa ikishuhudia uadui kutoka kwa vyama viwili vikuu vya Marekani.
Habari ID: 3470680    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/16

IQNA-Vituo maalumu vya kutafakari kuhusu Qur'ani Tukufu vimetengwa katika njia zinazotumiwa na wafanyaziara wanaoekelea Karbala kwa ajili ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3470679    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/16

IQNA-Uislamu unazidi kuimarika na kuenea kote huko Zimbabwe kutokana watu wa nchi hiyo kutambua itikadi za dini hii tukufu.
Habari ID: 3470678    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/15

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani mauaji ya Waislamu waliokuwa wakishiriki katika maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein AS kaskazini mwa Nigeria
Habari ID: 3470677    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/15

Katika msafara ya Arubaini ya Imam Hussein AS
IQNA- Jeshi la Nigeria limeua Waislamu zaidi ya100 wa madhehebu ya Shia kwa kuwapiga risasi kiholela kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470676    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/14

IQNA-Bondia mashuhuri wa Uingereza 'Tyson Fury' ametangaza kusilimu kupitia ujumbe wake wa Twitter na kutangaa jina lake kuwa, Riyadh Tyson Mohammad.
Habari ID: 3470674    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/13

IQNA-Tafsiri ya Qur’ani Tukufu ya lugha ya ishara kwa ajili ya viziwi imezinduliwa katika Maonyesho ya 35 ya Kimataifa ya Vitabu ya Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati)
Habari ID: 3470672    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/12

IQNA-Mwenyekiti wa Jumuiya ya Quraa (Wasomaji) wa Qur’ani Tukufu nchini Misri amesisitiza umuhimu wa kuwafunza watoto Qur’ani wakiwa wangali wachanga.
Habari ID: 3470671    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/12