iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa moyo na fikra za kimapinduzi, ushujaa, ujasiri na uchapakazi, kuona mbali, ubunifu, kuwa na matarajio ya mustakbali mwema, kutoogopa na kutosalimu amri mbele ya adui vitatatua matatizo ya nchi hii.
Habari ID: 3470648    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/02

IQNA-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeazimiakuimarisha uhusiano wake wa kidini na Ghana.
Habari ID: 3470647    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/02

IQNA-Malaysia imebuni kamati maalumu ya wasomi watakaochunguza usahihi wa hadithi zinazonasibishwa na Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3470646    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/01

IQNA-Shirika moja la misaada la Qatar limesambaza nakala 80,000 za Qur'ani miongoni mwa Waislamu nchini Tanzania.
Habari ID: 3470645    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/31

IQNA-Serikali ya Misri imewapiga marufuku wahubiri wa Kiwahhabi kuhutubu hotuba katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3470643    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/30

Harakati ya Ansarullah nchini Yemen imekanusha madai ya Saudia kuwa imeshambulia msikiti wa Makkah.
Habari ID: 3470642    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/30

IQNA-Maafisa wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameshiriki katika Sala ya Ijumaa katika mji mkubwa wa Tanzania, Dar es Salaam.
Habari ID: 3470641    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/29

IQNA-Uislamu ni dini inayoenea kwa kasi zaidi nchini Ireland huku kukiimarishwa jitihada za kuelimisha jamii kuhusu Uislamu.
Habari ID: 3470640    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/28

Serikali ya India inapanga kupiga marufuku Taasisi ya Utafiti wa Kiislamu (IRF) inayosimamiwa na mhubiri mwenye utata wa pote la Kiwahhabi, Zakir Naik.
Habari ID: 3470639    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/28

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran ameyataka mataifa ya Kiislamu kushikamana na kusimama kidete mbele ya maadui wa Uislamu.
Habari ID: 3470638    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/28

IQNA-Mtandao wa kijamii wa Facebook unalaumiwa kwa kufuta akaunti za wanaharakati na waandishi habari wanaopinga utawala haramu wa Israel na kutetea ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3470636    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/26

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema nchi zenye misimamo huru zinapaswa kuimarisha uhusiano baina yao na kutoathiriwa na siasa za madola ya kibeberu na Kiistikbari ili kuweza kuzima moto wa hitilafu na mapigano uliowashwa na madola hayo.
Habari ID: 3470635    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/25

IQNA-Ustadh Bashir Jazairi, msomi bingwa katika vyuo vikuu vya Iran, Iraq na Algeria ambaye pia alikuwa mtangazaji wa radio na televisheni ameaga dunia mjini Tehran akiwa na umri wa miaka 80 kufuatia mshutuko wa ubongo.
Habari ID: 3470633    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/24

Kiongozi wa Harakati wa Hizbullah
Kiongozi wa Harakati wa Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah amesema Saudi Arabia na Marekani ndio waungaji mkono wakuu wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika eneo.
Habari ID: 3470632    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/24

IQNA-Uhalifu na hujuma zitokanazo na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) umeongezeka kwa asilimia 89 nchini Marekani.
Habari ID: 3470630    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/23

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, dhana iliyotawala kwamba Marekani ni nchi isiyoweza kushindwa, ilikuwa ni kosa kubwa na kwamba makosa ya kujirudia ya Marekani katika eneo yameifanya ishidwe.
Habari ID: 3470629    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/23

Kongamano la Kwanza la Kuchunguza Fikra za Qur'ani za wasomi wa Iran na Senegal limepangwa kufanyika mwezi ujao wa Novemba katika mji wa Thiès magharibi mwa Senegal.
Habari ID: 3470627    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/22

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran hatua ya Saudia kuwaua watoto nchini Yemen ni sawa na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel ambao umekuwa ukiwaua watoto Wapalestina huko Ghaza na pia nchini Lebanon.
Habari ID: 3470625    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/21

Mashindano ya kwanza ya Qur'ani Tukufu kwa wale waliosilimu yamepangwa kufanyika mjini Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE, (Imarati).
Habari ID: 3470624    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/21

Serikali ya Myanmar imezuia misaada ya chakula kufikishwa kwa Waislamu wa kabila la Rohingya wanaoishi katika jimbo la Rakhine kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470623    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/20