iqna

IQNA

Ubalozi wa Saudia Arabia nchini Morocco umekosolewa vikali na Waislamu baada ya kuenea picha za kuvunjiwa heshima nakala za Qur'ani Tukufu katika ubalozi huo.
Habari ID: 3470597    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/03

Kinara wa magaidi wakufurishaji wa ISIS (Daesh), Ibrahim al Sammarai, maarufu kama Abu Bakr al-Baghdadi, amepewa sumu akiwa pamoja na makamanda wengine wa kundi hilo katili.
Habari ID: 3470596    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/03

Katibu Mkuu wa Hizbullah
Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, wakati muqawama ulipoweza kuzuia kufanikishwa malengo ya adui, ulipata ushindi, na zaidi ya hayo ni kuwa, muqawama uliweza kufanikisha malengo yake.
Habari ID: 3470595    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/03

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Hauza au Hawza (Chuo Kikuu cha Theolojia ya Kiislamu) inahitaji kuwa na mpango wa mabadiliko na marekebisho na kulitaja hitajio hilo kuwa muhimu katika mazingira ya sasa.
Habari ID: 3470594    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuhimiza kumbukumbu ya mashahidi ni moja ya nukta muhimu katika kukabiliana na njama za adui na kulinda mapambano katika jamii.
Habari ID: 3470593    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/02

Mkutano wa kimataifa wa Maimamu wa Misikiti katika nchi zenye Waislamu wachache umepangwa kufanyika, Cairo mji mkuu wa Misri.
Habari ID: 3470592    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/02

Wanaowania kugombea ugavana na unaibu gavana katika jimbo la Aceh nchini Indonesia wametahiniwa kuhusu uwezo wao wa kusoma Qur'ani kama sharti la kushiriki uchaguzi wa 2017.
Habari ID: 3470590    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/01

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwamjini Tehran ameyaasa na kuyataka mataifa ya Kiislamu kuwa macho na njama za maadui dhidi yao.
Habari ID: 3470588    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/01

Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ni kiongozi pekee wa Kiarabu aliyehudhuria mazishi ya rais wa zamani wa utawala bandia wa Israel, maarufu kama katili wa Qana.
Habari ID: 3470587    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/30

Wafanyakazi wa moja ya mashirika makubwa ya eneo la mashariki mwa Saudia wamefanya maandamano kulalamikia kutolipwa misharahara yao.
Habari ID: 3470586    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/29

Amri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote ya Iran
Amri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuhusu ulazima wa majeshi nchini kujiimarisha kiitikadi, kielimu na kinidhamu sambamba na kuwapa wanajeshi vijana uzoefu wa zama za Kujihami Kutakatifu.
Habari ID: 3470584    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/28

Rais wa zamani wa utawala haramu wa Israel, katili Shimon Peres ameaga amekufa usiku wa kuamkia leo, wiki mbili baada ya kupatwa na kiharusi
Habari ID: 3470583    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/28

Mufti katika kasri ya ufalme wa Saudia amesisistiza kuwa kusherehekea Maulid ya Mtume Muhammad SAW ni shirki lakini akasema ni wajibu kusherehekea maadhimisho ya kuanza kutawala ukoo wa Aal Saud.
Habari ID: 3470582    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/27

Sayyid Hassan Nasrallah
Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, amesema anaitazama itikadi ya misimamo mikali ya Uwahhabi kuwa hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3470581    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/27

Kumefanyika mashindano ya adhana katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen wikiendi iliyopita.
Habari ID: 3470580    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/26

Mjadala wa #tilljannah (hadi Jannah) maalumu kwa vijana wa kike Waislamu, umefanyika pembizoni mwa Mkutano wa Kilele wa Wanawake Waislamu mwaka 2016 huko Kuala Lumpur, Malaysia na kuwavutia washiriki takribani 500.
Habari ID: 3470579    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/25

Awamu ya 10 ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani nchini Iran yamemalizika Ijumaa mjini Tehran.
Habari ID: 3470578    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/24

Waislamu wa Nigeria kwa mara nyingine tena wameandamana wakimuunga mkono Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo kwa miezi kadhaa sasa.
Habari ID: 3470577    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/23

Shirika moja la kutetea haki za binadamu limelaani vikali hatua ya mahakama ya Bahrain kudhinisha marufuku ya chama kikuu cha upinzani nchini humo, al-Wefaq.
Habari ID: 3470576    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/23

Nakala za Qur'ani zimesambazwa katika misikiti iliyoharibiwa na kisha kukarabatiwa baada ya kuharibiwa katika mafuriko.
Habari ID: 3470575    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/22