iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema utawala khabithi wa ukoo wa Aal Saud haustahiki kusimamia Haram Mbili Takatifu za Waislamu.
Habari ID: 3470552    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/07

Myanmar inaendeleza sera za kuwakandamiza Waislamu wa nchi hiyo na kwa mara nyingine mwaka huu imewazuia kwenda kutekeleza ibada tukufu ya Hija Waislamu ikiwa ni mwaka wa kumi mfululizo kufanya hivyo.
Habari ID: 3470551    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/07

Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma Ujumbe muhimu kwa Waislamu duniani na hasa Mahujaji wa Nyumba tukufu ya Allah mwaka huu 1437 Hijria). Ifuatayo ni matini kamili ya ujumbe huo.
Habari ID: 3470550    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/05

Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia kambi ya wakimbizi wa Kipalestina katika Quds Tukufu (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na kumuua shahidi kijana Mpalestina.
Habari ID: 3470549    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/05

Ujumbe maalumu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) unaelekea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) ili kuchunguza jinai za kivita zilizofanywa na utawala haramu wa Israel katika vita vya siku 50 dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3470548    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei amewasilisha sera jumla kuhusu familia ili zitekelezwe na vyombo vyote husika nchini Iran.
Habari ID: 3470547    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/03

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa madai yasiyo na msingi ya Saudi Arabia dhidi yake na kutoa wito kwa watawala wa Riyadh kutoruhusu 'ndoto' kutawala vitendo vyao Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3470546    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/03

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa, watu wa Iran kamwe hawatasahu maafa ya mauti ya kuogofya ya Mina katika msimu wa Hija mwaka jana.
Habari ID: 3470545    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/02

Shirika la kutetea haki za binadmau la Amnesty International limeutaka utawala wa Bahrain usitishe ukadamizaji Waislamu wa Kishia nchini humo.
Habari ID: 3470544    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/02

Vikosi vya usalama Saudia vimewatia mbaroni maulamaa wawili Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa katika mji mtakatiffu wa Makka.
Habari ID: 3470543    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/02

Mahakama ya Juu Nigeria imepinga ombi lililotolewa la mawakili wa nchi hiyo la kutaka kuachiliwa huru mara moja Sheikh Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
Habari ID: 3470542    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/01

Utawala wa Saudia umetekeleza mauaji ya watoto kadhaa nchini Yemen na kuwajeruhi wengine katika mwendelezo wa jinai zake dhidi ya nchi hiyo ambayo ni jirani wake wa kusini.
Habari ID: 3470541    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/30

Kituo cha Utamduni cha Iran nchini Nigeria kinashirikiana na al-Afrikiy Islamic TV kuandaa mashindano ya Qur’ani katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
Habari ID: 3470540    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/29

Necip Fazıl Karadağ ni raia wa Uturuki ambaye ni mahiri katika kutegeneza tasbihi. Karakana yake ya kutegeneza tasbihi iko katika eneo la Istanbul la Başakşehir ambapo kuna kila aina ya tasbihi za kuvutia ambazo Waislamu huzitumia kumkumbuka Allah SWT.
Habari ID: 3470539    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/27

Msikiti wa Kifalme (Badshahi Masjid) uko mjini Lahore, katika jimbo la Punjab nchini Pakistan. Jina rasmi la msikiti huo ni Masjid Abul Zafar Muhy-ud-Din Mohammad Alamgir Badshah Ghazi na ulijengwa wakati wa silsila ya ufalme wa Aurangzeb kati ya mwaka 1671 na 1673 Miladia. Msikiti huo ni nembo muhimu ya usanifu majengo wa Kiislamu nchini Pakistan na ni msikiti wa pili kwa ukubwa nchini humo na wa tano kwa ukubwa duniani.
Habari ID: 3470538    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/27

Afisa Mwislamu wa kike katika polisi ya Marekani mjini Dearborn kwenye jimbo la Michigan amekuwa afisa wa kwanza eneo hilo kuhudumu akiwa amevaa sare ya Hijabu .
Habari ID: 3470537    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/27

Utawala wa kiimla wa Bahrain umemzuia mwanaharakati wa haki za binadamu kuondoka nchini humo ili kwa kuhofia kufichuka rekodi mbaya ya haki za binaadamu katika ufalme huo.
Habari ID: 3470536    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/23

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, msikiti unapaswa kuwa kituo cha kumjenga mwanadamu kukabiliana na adui, kuujenga moyo kimaanawi na kidunia, kuongeza muono na kuandaa mazingira kwa ajili ya kuleta ustaarabu wa Kiislamu.
Habari ID: 3470535    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/21

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Misri zimepata medali zao za kwanza za mashindano ya taekwondo ya wanawake katika michezo ya Olimpiki ya Rio, 2016.
Habari ID: 3470534    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/20

Kauli mbiu ya Siku ya Misikiti Duniani
Kauli mbiu ya Siku ya Kimataifa ya Misikiti mwaka hii imetajwa kuwa ni ‘Misikiti, Mhimili wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu.
Habari ID: 3470532    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/19