iqna

IQNA

Mayahudi katika Qur'ani /8
IQNA – Bani Isra’il, kwa mujibu wa aya za Qur’ani Tukufu, walikuwa watu wakaidi zaidi katika suala la kukataa Tauhidi au Imani ya kumuabudu Mungu Mmoja.
Habari ID: 3479350    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/29

Mayahudi katika Qur’ani / 7
IQNA – Qur’ani Tukufu imetaja baadhi ya sifa mbaya za Mayahudi ambazo zinaweza kugawanywa katika makundi manne ya kidini, kijamii, kiuchumi na kisiasa.
Habari ID: 3479265    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/11

Mayahudi Katika Qur'ani /6
IQNA – Qur’ani Tukufu inawataja Mayahudi kuwa ni watu wenye pupa zaidi ya maisha ya kidunia na wanaelezewa kuwa wenye pupa na tamaa zaidi kuliko Mushrikeen (washirikina). Ikumbukwe kwamba Qur'ani Tukufu ina misimamo miwili juu ya Mayahudi. Moja ni kuhusu wale Mayahudi wanaomwamini Mungu Mmoja na Siku ya Kiyama na wakatenda mema na wao ni miongoni mwa “Watu wa Kitabu”.
Habari ID: 3479244    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/08

Mayahudi Katika Qur'ani /5
IQNA – Moja ya sifa mbaya zilizotajwa ndani ya Qur’ani Tukufu kuhusu idadi kubwa ya Mayahudi ni ugumu wa nyoyo zao kutokana na madhambi na kukataa kuamini miujiza mingi.
Habari ID: 3479230    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/05

Mayahudi katika Qur'ani / 3
IQNA - Mzayuni ni Myahudi ambaye ana imani ya kufurutu ada kuhusu 'ubora wa juu zaidi' wa watu wa Mayahudi na kwamba warejee katika kile wanachodai ni  "Nchi Ya Ahadi".
Habari ID: 3478913    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/01

Wayahudi Katika Qur'ani /2
IQNA – Qur'ani Tukufu kwa upande mmoja inasifu mafundisho ya Mwenyezi Mungu ya Taurati na inasisitiza sifa nzuri za Mayahudi wanaoshikamana na mafundisho hayo na kwa upande mwingine inashutumu uvunjaji wa ahadi wa baadhi ya Mayahudi waliopotosha Taurati na Uyahudi.
Habari ID: 3478902    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/29

Wayahudi Katika Qur'ani/1
IQNA – Kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu kuna tofauti kati ya Mayahudi na Bani Isra’il (Wana wa Isra’il au watoto wa Isra’il) kwani Myahudi ni mfuasi wa dini ya Kiyahudi wakati Bani Isra’il ni jina la kaumu.
Habari ID: 3478895    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/28

Mtazamo
IQNA – Ustadh Shahidi Murtadha Motahhari, katika hotuba na maandishi yake, alipinga vikali upotoshaji wa historia kwamba eti ardhi ya Palestina ni milki ya Wayahudi.
Habari ID: 3478764    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/03

Sura za Qur'ani Tukufu / 59
TEHRAN (IQNA) – Baada ya Waislamu kuhama au kugura kutoka Makka kwenda Madina, makundi ya Wayahudi waliokuwa wakiishi katika mji huo walishirikiana na Waislamu, wakiahidi kuwaunga mkono endapo vita vitatokea.
Habari ID: 3476480    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29

Jinai za Wazayuni
TEHRAN (IQNA)- Mabadiliko yoyote ambayo utawala haramu wa Israel unapanga kutekeleza katika hali ya miongo kadhaa iliyopita katika ukuta wa eneo lote Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) yanaweza kuzua vita vya kidini katika eneo hilo.
Habari ID: 3475451    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/02

TEHRAN (IQNA) - Mayahudi wengine 300 wa Ethiopia ambao ni maarufu kwa jina la Mafalasha wamehamia katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ambazo zimepewa jina bandia la Israel.
Habari ID: 3473730    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/12

Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na Utamaduni UNESCO limepitisha azimio na kusema Msikiti wa Al Aqsa ni milki ya Waislamu kwamba Mayahudi hawana haki katika msikiti huo.
Habari ID: 3470611    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/14

Viongozi waandamizi wa utawala ghasibu wa Kizayuni wa Israel wamezidi kuonesha ukatili wao baada ya kushindwa kukabiliana na Intifadha ya Quds
Habari ID: 3470237    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/09

Mkuu wa kundi kubwa zaidi la Mayuhudi wanaoishi Amerika ya Kaskazini amekosoa sera potofu za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3444264    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/07

Kijana wa Mwislamu anayejulikana kwa jina la Lassan Bathily amekuwa shujaa nchini Ufaransa baada ya kuwaokoa wanunuzi Mayahudi wakati watu wenye silaha walipolivamia jengo la biashara ya Hyper Cacher mjini Paris siku chache zilizopita.
Habari ID: 2706293    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/13