Sura za Qur'ani Tukufu / 59
TEHRAN (IQNA) – Baada ya Waislamu kuhama au kugura kutoka Makka kwenda Madina, makundi ya Wayahudi waliokuwa wakiishi katika mji huo walishirikiana na Waislamu, wakiahidi kuwaunga mkono endapo vita vitatokea.
Habari ID: 3476480 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29
Jinai za Wazayuni
TEHRAN (IQNA)- Mabadiliko yoyote ambayo utawala haramu wa Israel unapanga kutekeleza katika hali ya miongo kadhaa iliyopita katika ukuta wa eneo lote Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) yanaweza kuzua vita vya kidini katika eneo hilo.
Habari ID: 3475451 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/02
TEHRAN (IQNA) - Mayahudi wengine 300 wa Ethiopia ambao ni maarufu kwa jina la Mafalasha wamehamia katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ambazo zimepewa jina bandia la Israel.
Habari ID: 3473730 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/12
Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na Utamaduni UNESCO limepitisha azimio na kusema Msikiti wa Al Aqsa ni milki ya Waislamu kwamba Mayahudi hawana haki katika msikiti huo.
Habari ID: 3470611 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/14
Viongozi waandamizi wa utawala ghasibu wa Kizayuni wa Israel wamezidi kuonesha ukatili wao baada ya kushindwa kukabiliana na Intifadha ya Quds
Habari ID: 3470237 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/09
Mkuu wa kundi kubwa zaidi la Mayuhudi wanaoishi Amerika ya Kaskazini amekosoa sera potofu za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3444264 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/07
Kijana wa Mwislamu anayejulikana kwa jina la Lassan Bathily amekuwa shujaa nchini Ufaransa baada ya kuwaokoa wanunuzi Mayahudi wakati watu wenye silaha walipolivamia jengo la biashara ya Hyper Cacher mjini Paris siku chache zilizopita.
Habari ID: 2706293 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/13