iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Mahmoud al-Toukhi ni kati ya maqarii mashuhuri wa Misri wanaomuiga qarii mashuhuri Sheikh Mohammad Rafa'at.
Habari ID: 3472855    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/11

TEHRAN (IQNA)- Mahmoud Abdul Fattah Taruti, anafuata nyayo za baba yake, Ustadh Abdul Fattah Ali Taruti, mmoja wa wasomaji mashuhuri wa Qur'ani nchini Misri.
Habari ID: 3472805    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/26

TEHRAN (IQNA) – Tokea mwaka 1975, Wakristo nchini Misri wamekuwa wakiwatayarishia Waislamu futari katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472769    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/15

TEHRAN (IQNA) – Ustadh Ala Hassani, mjukuuu wa qarii au msomaji mashuhuri wa Qur'ani wa Misri Sheikh Mustafa Ismail amesembaza klipu ya qiraa yake ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3472766    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/14

TEHRAN (IQNA) - Tokea zama za kale, Waislamu nchini Misri hufyatua mizinga baada ya kuonekana hilalii ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kwa njia hiyo watu wote wapata habari za kuwadhia mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3472760    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/12

TEHRAN (IQNA) – Sheikh Shahat Mohammad Anwar amesoma aya 185 ya Sura Al-Baqara kuhusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na Sawmu pamoja na aya ya 186 ya sura hiyo hiyo.
Habari ID: 3472757    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/11

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)- Qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Mahmoud Tablawi ameaga dunia Jumnne akiwa na umri wa miaka 86.
Habari ID: 3472743    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/08

TEHRAN (IQNA) - Jeshi la Misri limesema askari wake 15 wameuawa katika mapigano makali na magaidi ambapo magaidi 126 wakufurishaji pia wameuawa mashariki mwa nchi.
Habari ID: 3472728    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/03

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya watu nchini Marekani wamepoteza maisha wiki hii kutokanga na ugonjwa wa corona au COVID-19 huku Misri ikiitumia nchi hiyo misaada kukabiliana na janga hilo.
Habari ID: 3472693    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/22

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA) – Qarii (msomaji) mashuhuri wa Qur’ani Tukufu nchini Misri Sheikh Muhammad Mahmoud Asfour ameaga dunia Ijumaa akiwa na umri wa miaka 82.
Habari ID: 3472678    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/18

TEHRAN (IQNA) – Darul Iftaa ya Misri imetoa taarifa na kusisistiza kuwa: “Baada ya kushauriana na kamati ya madaktari tumefikia natija kuwa, saumu haichangii katika kuambukizwa corona (COVID-19).”
Habari ID: 3472668    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/15

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu nchin Misri imetangaza kuwa ni marufuku kuandaa futari kwa umma misikitini katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472635    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/05

TEHRAN (IQNA) – Misri imetangaza sheria ya kutotoka nje kuanzia saa moja usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi kuanzia Jumatano kwa muda wa wiki mbili ili kukabiliana na kuenea kwa kasi uongjwa hatai wa COVID-19 maarufu kama corona.
Habari ID: 3472598    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/24

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimetangaza kuwa ni haramu kwa wale wanaofahamu kuwa wanaugua ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama Corona kushiriki katika sala za jamaa misikitini.
Habari ID: 3472547    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/09

TEHRAN (IQNA) -Rais wa zamani wa Misri, dikteta Hosni Mubarak amefariki dunia hospitalini jijini Cairo akiwa na miaka 91.
Habari ID: 3472505    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/25

TEHRAN (IQNA)- Wanawe wawili wa kiume wa aliyekuwa Rais wa Misri Hosni Mubarak wameondolewa hatiani na mahakama katika kesi iliyokuwa ikiwakabili ya uuzaji hisa za benki kinyume cha sheria miaka minne kabla ya mwamko wa mwaka 2011 uliopelekea baba yao kuondolewa madarakani baada ya miaka 30 ya utawala wake wa kidikteta.
Habari ID: 3472494    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/22

TEHRAN (IQNA) – Kanali ya kwanza ya televisheni ya satalaiti ambayo ni maalumu kwa ajili ya Qur'ani Tukufu imezinduliwa nchini Misri.
Habari ID: 3472481    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/17

TEHRAN (IQNA) – Kasisi Mkristo ambaye alikuwa anasikiliza qiraa ya Qur'ani Tukufu nchini Misri alivutiwa sana na usomaji huo na akatoa shukrani zake kwa kumkumbatia.
Habari ID: 3472388    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/20

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu nchini Misri imetangaza kuwafuta kazi maimamu na wahubiri saba ambao wametuhumiwa kujiunga na 'makundi ya kigaidi'.
Habari ID: 3472283    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/17

Leo Katika Historia
TEHRAN (IQNA) - Katika siku kama ya leo miaka 31 iliyopita, aliaga dunia katika mji wa Cairo Misri, Sheikh Abdul-Basit Abdul-Samad, mmoja wa waalimu na maqarii wakubwa wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3472244    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/30