Harakati za Qur'ani
IQNA - Maafisa kadhaa kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri wamefanya mazungumzo na wanachama wa chama cha wachapishaji cha Misri ili kujadili njia za kutatua matatizo katika mchakato uchapishaji Misahafu au nakala za Qur’ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3478222 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/20
Qari Maarufu wa Misri
IQNA - Sheikh Mahmoud al-Bujairami alikuwa qari mashuhuri wa Misri ambaye alisafiri katika nchi nyingi za Kiislamu kwa ajili ya kusoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478207 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/17
Msomaji Qur'ani
IQNA - Mahmoud Shahat Anwar, qari maarufu wa Misri ambaye ni mtoto wa marehemu msomaji wa Qur'ani Sheikh Shahat Muhammad Anwar, alimuelezea baba yake kama mfano wake wa kwanza wa kuigwa na chanzo cha mwongozo.
Habari ID: 3478192 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/13
Usomaji Qur'ani
IQNA - Redio ya Qur'ani ya Misri imempiga qarii mmoja mkuu kutokana na kufanya makosa katika kusoma Qur'ani Tukufu hivi karibuni.
Habari ID: 3478162 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/07
Taazia
IQNA - Mwanaume anayejulikana kama Hafidh mzee zaidi wa Qur'ani Tukufu katika Jimbo la Kafr El-Shaikh nchini Misri ameaga dunia katika mji aliozaliwa akiwa na umri wa miaka 90.
Habari ID: 3478132 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/02
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu huko Port Said, Misri, yataanza Februari 1, 2024.
Habari ID: 3478121 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/31
Qur'ani Tukufu
IQNA - Ndugu saba katika familia ya Misri wameweza kujifunza Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3478116 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/30
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Programu ya kila wiki ya Khatm Qur'an (kusoma Qur'ani Tukufu kuanzia mwanzo hadi mwisho) ilifanyika nchini Misri kwa kushirikisha maqari kutoka nchi mbalimbali.
Habari ID: 3478098 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26
Qur'ani Tukufu
IQNA - Mshindi katika kitengo cha 'Familia ya Qur'ani' ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Misri ametangazwa
Habari ID: 3478089 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/25
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu ya Misri inapanga kuandaa Khatm Qur'an (kusoma Qur'ani Tukufu kuanzia mwanzo hadi mwisho) wiki ijayo.
Habari ID: 3478084 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/24
Turathi ya Kiislamu
IQNA - Profesa wa jiografia wa Misri ana nakala ndogo sana ya Qur’ani Tukufu (Msahafu) ambayo ni ya miaka 280 iliyopita.
Habari ID: 3478074 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/22
Usomaji Qur'ani Tukufu nchini Misri
IQNA - Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar alijiunga rasmi na Televisheni na Redio ya Misri kama qari mwenye umri mdogo zaidi.
Habari ID: 3478035 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/14
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Waziri wa Wakfu Misri amesema mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yatafanyika nchini humo kwa kushirikisha wasomaji na wahifadhi wa Qur'ani Tukufu kutoka nchi 60.
Habari ID: 3478031 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/13
Shughuli za Qur'ani Tukufu
CAIRO, (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri inapanga kuzindua programu za mfunzo ya Qur'ani Tukufu kwa watoto katika misikiti.
Habari ID: 3478002 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/07
Wamisri wakaribisha mpango wa Qur'ani wa Wizara ya Wakfu
TEHRAN (IQNA) - Mpango uliozinduliwa katika misikiti ya Misri kwa ajili ya kurekebisha makosa yanayofanywa na watu wakati wa kusoma Qur'ani Tukufu umepokelewa vyema, maafisa wanasema.
Habari ID: 3477994 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/06
Msomaji Maarufu wa Qur;ani
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mahmoud Khalil al-Hussary alikuwa Qari aliyesifiwa sana kwa usomaji wake sahihi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3477941 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/24
Mashindano ya Qur''ani
TEHRAN (IQNA) – Qari wa Misri ametwaa taji la toleo la pili la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya "Awal Al Awail" nchini Qatar.
Habari ID: 3477886 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/13
Kimbunga cha Al Aqsa
CAIRO (IQNA) – Sheikhe mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesifu ushujaa na ujasiri wa watu wa Ukanda wa Gaza katika kukabiliana na mashambulizi makali ya Israel.
Habari ID: 3477821 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/31
Taazia
CAIRO (IQNA) – Sheikh Abdul Rahim al-Dawidar, qari wa Qur’ani Tukufu na msomaji wa Ibtihal nchini Misri, alifariki akiwa na umri wa miaka 86.
Habari ID: 3477780 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/24
Video ya usomaji wa Qurani Tukufu wa Ali Qadourah, mwimbaji maarufu wa zamani wa Misri, usomaji wake wa Qur’ani Tukufu umepokelewa kwa shangwe na watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini humo.
Habari ID: 3477764 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/21