misri - Ukurasa 2

IQNA

IQNA — Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza kuwatuma wasomaji wa Qur’ani na maimamu katika nchi 22 wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481953   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/18

IQNA – Siku ya Jumamosi, tarehe 14 Februari, iliadhimishwa kumbukumbu ya kifo cha qari na msomaji mashuhuri wa ibtihal wa Misri, marehemu Sheikh Sayyid Mohamed al‑Naqshbandi, mmoja wa nguzo kuu za ibada na hisia za Mwezi Mtukufu Ramadhani nchini Misri na ulimwengu wa Kiarabu.
Habari ID: 3481940   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/15

IQNA – Ingawa kipindi cha vipaji vya Qur’ani cha Misri “Dawlat El‑Tilawah" bado hakijafikia hatua ya fainali, Maqari au wasomaji wawili waliobainika kwa umahiri wao katika kipindi hicho walitunukiwa zawadi katika hafla rasmi iliyofanyika katika Chuo Kikuu cha Cairo.
Habari ID: 3481917   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/11

IQNA – Omar Ali Awad ametangazwa na kutunukiwa tuzo ya “Tawi la Dhahabu” katika shindano la vipaji vya Qur’ani lijulikanalo kama “Dawlet El Telawa (Hali ya Usomaji)” nchini Misri.
Habari ID: 3481903   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/08

IQNA – Toleo la 9 la Mashindano ya Kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu na Ibtihal ya Port Said lilianza rasmi Ijumaa katika mji wa bandari wa Port Said, Misri.
Habari ID: 3481875   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/31

IQNA – Msimamizi mkuu wa mashindano ya vipaji vya Qur’ani nchini Misri, maarufu kwa jina “Dawlat al-Tilawa”, ametangaza kuwa msimu mpya wa kipindi hicho kitaanza rasmi Novemba 2026.
Habari ID: 3481784   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/08

IQNA – Kipindi cha 12 cha mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Dawlat al-Tilawa nchini Misri kiligeuka safari ya kiroho na kihisia, ambapo simulizi binafsi ziliungana na sauti za mbinguni, zikazalisha athari ya kina iliyogusa nyoyo za kila msikilizaji.
Habari ID: 3481773   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/06

IQNA – Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, qari mashuhuri wa Misri, amechapisha kwenye ukurasa wake rasmi wa Facebook video inayoonyesha mwanamke Mmarekani akisilimu katika moja ya misikiti nchini Marekani.
Habari ID: 3481769   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/05

IQNA – Kipindi cha 13 cha shindano la vipaji vya Qur’ani Tukufu nchini Misri maarufu Dawlat al-Tilawa kilirushwa hewani wiki hii, kikiashiria kuanza kwa hatua ya mwisho ya mashindano.
Habari ID: 3481730   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/28

IQNA – Wachezaji wa timu ya taifa ya kandanda ya Misri wamesoma aya za Qur’ani Tukufu kwa sauti ya pamoja kabla ya mechi dhidi ya Zimbabwe katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Habari ID: 3481714   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/25

IQNA-Mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani yatafanyika katika jimbo la Menoufia, Misri, kwa kumbukumbu ya dada watatu wadogo wa Kimasri waliopoteza maisha katika ajali. Mashindano haya yamepangwa kufanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani (Februari–Machi, 2026).
Habari ID: 3481711   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/24

IQNA- Wakazi wa kijiji cha Tabloha, jimbo la Menoufia, wamemzawadia gari kijana mwenye ulemavu wa machi Misri, Abdul Rahman Mahdi, baada ya kushinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu yaliyoandaliwa na Wizara ya Awqaf ya Misri.
Habari ID: 3481697   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/22

IQNA--Katika kipindi cha wiki hii cha televisheni ya Qur’an nchini Misri, Dawlat al-Tilawa, sehemu maalum ilitengwa kumuenzi marehemu Qari mashuhuri Sheikh Mustafa Ismail kwa huduma zake za Qur’ani.
Habari ID: 3481691   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/21

Mashindano haya yatafanyika katika kipengele cha kuhifadhi Qur’an kwa wanafunzi wa kiume na wa kike kutoka vituo vya mafunzo ya kuhifadhi Qur’an kote Misri.
Habari ID: 3481685   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/20

IQNA – Mkusanyiko wa vitu binafsi vya qari maarufu Sheikh Abdul Basit Abdul Samad ni miongoni mwa maonyesho katika Jumba la Makumbusho ya Maqari wa Qur’an nchini Misri.
Habari ID: 3481684   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/20

IQNA – Jumba la kwanza kabisa la Maqari wa Qur’ani limefunguliwa katika Kituo cha Utamaduni na Uislamu cha Misri kilichopo katika Mji Mkuu Mpya wa Utawala karibu na Cairo.
Habari ID: 3481672   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/17

IQNA – Shule ya kuhifadhi Qur’ani ya “Ibad al-Rahman” iliyopo kijiji cha Atu, karibu na mji wa Bani Mazar katika mkoa wa Minya kaskazini mwa Misri, iliandaa mjumuiko maalumu kwa ajili ya kuwasherehekea wahifadhi wa Qur’ani wa kijiji hicho.
Habari ID: 3481667   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/16

IQNA – Marehemu Sheikh Abdul Wahid Zaki Radhi alikuwa miongoni mwa magwiji wa usomaji wa Qur’ani nchini Misri, akijulikana kwa unyenyekevu wake katika tilawa, uzuri wa makam na sauti yenye utulivu na mvuto wa kiroho.
Habari ID: 3481657   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/14

IQNA – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu la Misri limeandaa maonyesho maalumu sambamba na Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini humo.
Habari ID: 3481642   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10

IQNA – Katika vipindi vipya vya shindano la vipaji vya Qur’ani nchini Misri linaloitwa “Dawlat al-Tilawa” , washiriki walionyesha uwezo wao wa kusoma na kuhifadhi aya za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481634   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/09