IQNA – Mtoto wa Misri aliyezaliwa bila pua na macho amefanikiwa kuhifadhi Qur’an Tukufu kikamilifu
Muhammad, ambaye ana umri wa miaka 11, pia ana kipaji cha kipekee katika kusoma Qur’ani kwa kuiga mitindo ya maqari mashuhuri.
Habari ID: 3480621 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/01
IQNA – Sayed Mekawy alikuwa mtu mashuhuri wa Misri katika nyanja za Ibtihal (nyimbo za kidini) na muziki, ambaye urithi wake wa kisanaa na kiroho uko hai miaka 28 baada ya kifo chake.
Habari ID: 3480583 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/23
IQNA – Katibu Mkuu wa Baraza la Utafiti wa Kiislamu linalohusiana na Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar, kwa mara nyingine amebainisha upinzani wa baraza hilo dhidi ya uchapishaji wa nakala za Qur'ani zenye rangi kadhaa nchini Misri.
Habari ID: 3480503 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06
IQNA – Nchini Misri, Wizara ya Wakfu imeanzisha kampeni ya kitaifa ya kusafisha na kuandaa misikiti kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480259 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/23
IQNA – Al-Azhar ya Misri inakaribia hatua za mwisho za mradi wake wa kipekee wa hati ya Qur'ani, huku sehemu kubwa ya kazi ikiwa imekamilika, kulingana na Mohamed Al-Duwaini, Naibu wa Al-Azhar.
Habari ID: 3480235 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18
IQNA – Wizara ya Wakfu ya Misri inapanga kufanya programu mbalimbali za Qur'ani na kidini wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480229 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/16
IQNA – Mashindano ya Qur'ani kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri yatafanyika mwezi ujao.
Habari ID: 3480095 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/22
IQNA – Ukumbi wa Kituo cha Dar-ul-Qur'an katika msikiti wa mji mkuu mpya wa utawala wa Misri ni miongoni mwa sehemu zinazo tembelewa zaidi katika eneo hilo.
Habari ID: 3480080 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/19
Fasihi
IQNA – Mohammad Anani alikuwa profesa wa tarjama au tafsiri na fasihi ya Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Cairo na mmoja wa watafsiri au watarjumi mashuhuri zaidi katika ulimwengu wa Kiarabu. Lugha ya Qur'ani inaonekana dhahiri katika tafsiri zake, kana kwamba Qur'ani inapita kwa upole kupitia maandiko yote aliyoyatafsiri.
Habari ID: 3480072 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/18
Shughuli za Qur'ani
IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imekuwa ikifanya juhudi za kukuza elimu ya Qur'ani kwa kufufua Maktab (shule za jadi za Qur'ani) nchini.
Habari ID: 3480020 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08
Harakati za Qur'ani
IQNA - Marufuku ya hivi karibuni ya matangazo ya kibiashara kwenye Idhaa ya Qur'ani ya Misri imepokelewa kwa wingi na wataalamu na wanaharakati wa mtandaoni.
Habari ID: 3480013 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/06
IQNA – Matangazo ya biashara hayatatangazwa tena kwenye kituo cha Idhaa au Radio ya Qur'ani ya Misri kuanzia Januari 1, 2025.
Habari ID: 3479976 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/30
Harakati za Qur'ani
IQNA - Shule ya kuhifadhi Qur'ani imezinduliwa nchini Misri kwa lengo la kutoa mafunzo kwa wahifadhi mia moja wa Qur'ani kila mwaka.
Habari ID: 3479937 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/22
Diplomasia ya Kiislamu
Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza ulazima wa kuwepo umoja kati ya mataifa ya Kiislamu, na kutilia mkazo udharura wa kuchukuliwa hatua za pamoja ili kukabiliana na uchokozi wa utawala wa Israel.
Habari ID: 3479923 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/19
Harakati za Qur'ani
IQNA -Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu nchini Misri limetangaza kuachiliwa kwa usomaji nadra wa Qur'ani kutoka enzi ya dhahabu ya sanaa ya Qur'ani ya Misri kwenye kurasa zake rasmi za mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3479901 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/15
Mashindano ya Qur'ani Misri
IQNA - Washindi wa Mashindano ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri wametangazwa rasmi katika hafla iliyofanyika jioni ya tarehe 10 Disemba.
Habari ID: 3479891 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/11
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri yameanza jana kwa usomaji wa aya za Qur'ani na Sheikh Ahmed Nuaina katika Masjid Misr katika Mji Mkuu Mpya wa Utawala wa Misri.
Habari ID: 3479876 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/08
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri yatang'oa nanga katika mji mkuu Cairo wikendi hii.
Habari ID: 3479848 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03
Kadhia ya Palestina
IQNA - Mufti Mkuu wa Misri amesisitiza wajibu wa Waislamu kuhusu suala la Palestina.
Habari ID: 3479831 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/01
IQNA - Wizara ya Wakfu ya Misri imesema mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani nchini humo yanalenga kuwaenzi wahifadhi Qur'ani na kuimarisha jukumu lao katika kukuza thamani za Qur'ani duniani.
Habari ID: 3479830 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/01