Shughuli za Qur'ani
IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imekuwa ikifanya juhudi za kukuza elimu ya Qur'ani kwa kufufua Maktab (shule za jadi za Qur'ani) nchini.
Habari ID: 3480020 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08
Harakati za Qur'ani
IQNA - Marufuku ya hivi karibuni ya matangazo ya kibiashara kwenye Idhaa ya Qur'ani ya Misri imepokelewa kwa wingi na wataalamu na wanaharakati wa mtandaoni.
Habari ID: 3480013 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/06
IQNA – Matangazo ya biashara hayatatangazwa tena kwenye kituo cha Idhaa au Radio ya Qur'ani ya Misri kuanzia Januari 1, 2025.
Habari ID: 3479976 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/30
Harakati za Qur'ani
IQNA - Shule ya kuhifadhi Qur'ani imezinduliwa nchini Misri kwa lengo la kutoa mafunzo kwa wahifadhi mia moja wa Qur'ani kila mwaka.
Habari ID: 3479937 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/22
Diplomasia ya Kiislamu
Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza ulazima wa kuwepo umoja kati ya mataifa ya Kiislamu, na kutilia mkazo udharura wa kuchukuliwa hatua za pamoja ili kukabiliana na uchokozi wa utawala wa Israel.
Habari ID: 3479923 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/19
Harakati za Qur'ani
IQNA -Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu nchini Misri limetangaza kuachiliwa kwa usomaji nadra wa Qur'ani kutoka enzi ya dhahabu ya sanaa ya Qur'ani ya Misri kwenye kurasa zake rasmi za mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3479901 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/15
Mashindano ya Qur'ani Misri
IQNA - Washindi wa Mashindano ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri wametangazwa rasmi katika hafla iliyofanyika jioni ya tarehe 10 Disemba.
Habari ID: 3479891 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/11
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri yameanza jana kwa usomaji wa aya za Qur'ani na Sheikh Ahmed Nuaina katika Masjid Misr katika Mji Mkuu Mpya wa Utawala wa Misri.
Habari ID: 3479876 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/08
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri yatang'oa nanga katika mji mkuu Cairo wikendi hii.
Habari ID: 3479848 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03
Kadhia ya Palestina
IQNA - Mufti Mkuu wa Misri amesisitiza wajibu wa Waislamu kuhusu suala la Palestina.
Habari ID: 3479831 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/01
IQNA - Wizara ya Wakfu ya Misri imesema mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani nchini humo yanalenga kuwaenzi wahifadhi Qur'ani na kuimarisha jukumu lao katika kukuza thamani za Qur'ani duniani.
Habari ID: 3479830 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/01
Qur'ani Tukufu
IQNA – Maqari watano wametakiwa kufika kwenye Jumuiya ya Wasomaji na Wahifadhi wa Qur’ani nchini Misri kwa ajili ya qiraa ya Qur'ani ambayo imeonekana kutozingatia nidhamu na heshima.
Habari ID: 3479812 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/26
Qari wa Qur'ani
IQNA – Bintiye Sheikh Mahmoud Khalil al-Hussary amesema qari huyo mashuhuri wa Misri daima atajielezea kama mtumishi wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479807 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/25
Miujiza ya Qur'ani
IQNA - Wanachuoni na wanafikra waliohudhuria mkutano huko Cairo juu ya miujiza ya kisayansi ya Qur'ani na Sunnah wamesitiza kwamba miujiza ya kisayansi ya Qur'ani Tukkufu imethibitishwa na sayansi ya kisasa.
Habari ID: 3479652 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/27
IQNA - Hatua ya awali ya mashindano ya uteuzi wa wawakilishi wa Misri katika toleo lijalo la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Port Said yamalizika.
Habari ID: 3479649 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/26
IQNA - Kongamano la kimataifa la Muujiza wa Kisayansi Ndani ya Qur'an na Sunna za Mtukufu Mtume Muhammad (SAW) limepangwa kufanyika nchini Misri baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3479642 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/25
Mazungumzo
IQNA - Mufti Mkuu wa Misri alisisitiza kwamba mazungumzo kati ya dini ni muhimu ili kukabiliana na changamoto za kimataifa na kufikia kuishi pamoja kwa amani.
Habari ID: 3479536 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/04
Umoja wa Kidini
IQNA - Mchungaji Mkristo nchini Misri amesambaza peremende au pipi za bure miongoni mwa watu katika hafla ya Milad-un-Nabi ya kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3479438 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/15
Maulidi
Misikiti ya IQNA – Misikiti nchini Misri ikiwemo ile inayonasibishwa na Ahl-ul-Bayt (AS), hususan Msikiti wa Imam Hussein (AS) na Msikiti wa Sayyidah Zainab (SA) mjini Cairo inatayarishwa kwa ajili ya sherehe za Milad-un-Nabi.
Habari ID: 3479424 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/12
Harakati za Qur'ani
IQNA - Jumuiya ya Wasomaji na Wahifadhi wa Qur'ani ya Misri iliwaonya maqari dhidi ya kitendo chochote ambacho kinachukuliwa kuwa ni cha kutoheshimu Kitabu cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479400 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/08