iqna

IQNA

covid 19
Janga la COVID-19
TEHRAN (IQNA) - Kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miezi 28, Waislamu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wanaweza kusali bila barakoa huku wakuu wa afya wakitangaza kuondolewa kwa takriban vizingiti vyote vya COVID-19.
Habari ID: 3476061    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/09

Ibada ya Umrah
TEHRAN (IQNA) - Mamlaka ya Saudia inasema wanaoshiriki katika Hija ndogo ya Umrah wanahitaji kuvaa barakoa kwenye Msikiti Mtakatifu wa Makka kama hatua ya tahadhari kufuatia kuongezeka maambukizi ya COVID-19.
Habari ID: 3475547    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/27

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Shirika la Hija na Ziyara za Kidini la Iran amesema maafisa wa Saudi bado hawajajibu malalamiko ya nchi kadhaa juu ya kuongezeka kwa gharama za Hija mwaka huu wa 1443 Hijria Qamaria sawa na 2022 Miladia.
Habari ID: 3475344    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/07

Hija
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema inafanya mazungumzo na Saudi Arabia kuhusu kuruhusiwa kutekeleza ibada ya Hija Wairani waliopata chanjo iliyotegenezwa ndani ya Iran.
Habari ID: 3475265    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/19

TEHRAN (IQNA)- Baraza la Kiislamu la Singapore (Muis) limewataka wale ambao bado hawajapata chanjo ya COVID-19 wajizuie kushiriki katika Sala ya Ijumaa kutokana na sababu za kiafya.
Habari ID: 3474863    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/29

TEHRAN (IQNA)- Kuingia msikitini ukiwa unafahamu kuwa unaugua COVID-19 ni dhambi , amesema msomi wa Kiislamu huku akiwataka waumini wazingatia kanuni za kuzuia kuenea COVID-19.
Habari ID: 3474850    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/25

TEHRAN (IQNA)-Oman imetangaza hatua ambazo zinaanza kutekelezwa Januari 23 kufuatia ongezeko kubwa la maambukizi ya COVID-19.
Habari ID: 3474841    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/23

TEHRAN (IQNA) – Shule za Qur'ani zimefungwa kwa muda wa siku 10 kufuatia ongezeko kubwa la maambukizi ya COVID-19.
Habari ID: 3474835    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/22

TEHRAN (IQNA)- Watu wa Morocco wametoa wito kwa Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu nchini humo irejeshe Misahafu katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3474805    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/14

TEHRAN (IQNA)-Misikiti nchini Kuwait imeanza kutekeleza kanuni za kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 baada ya maambukizi kuongezeka nchini humo.
Habari ID: 3474778    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/07

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Kenya imeazimia kushirikiana na misikiti pamoja na makanisa nchini humo ili kuongeza idadi ya wale wanaodungwa chanjo ya COVID-19 nchini humo.
Habari ID: 3474765    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/04

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Jamia mjini Glasgow, Scotland sasa ni kituo cha kuwadunga watu dozi ya tatu ya chanjo ya COVID-19.
Habari ID: 3474736    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/28

TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu nchini Iran Ayatullah Nasser Makarem Shirazi amesema Uislamu unalipa uzito mkubwa suala la afya ya mwanadamu.
Habari ID: 3474728    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/27

TEHRAN (IQNA)- Misikiti kote Saudi Arabia imetakiwa kuchukua hatua kali za kuhakikisha kuwa wote wanaoshiriki katika ibada wanatekeleza kanuni za kukabiliana na COVID-19.
Habari ID: 3474717    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/24

TEHRAN (IQNA)- Saudi Arabia imeripoti kesi ya kwanza ya aina mpya ya COVID-19 ijulikanayo kama Omicron ambayo imegundulika katika raia wa nchi hiyo aliyerejea kutoka eneo la kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3474627    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/01

TEHRAN (IQNA) Wakuu wa afya nchini Kosovo wanashirikiana na viongozi wa Kiislamu katika kuwashawishi watu wengi zaidi wapate chanjo ya COVID-19.
Habari ID: 3474582    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/20

TEHRAN (IQNA)- Sala ya Ijumaa imeruhusiwa tena nchini Brunei baada ya kusitishwa kwa muda wa miezi mitatu.
Habari ID: 3474580    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/20

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa Uturuki wameamua kupunguza makali ya sheria ambazo zinatumika misikitini katika wakati huu wa janga la COVID-19.
Habari ID: 3474553    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/13

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu wametangaza kuwa, wanawake sasa wataruhusiwa tena kusali misikitini baada ya maeneo yao kufungwa kwa muda kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3474539    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/10

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Kuwait imetangaza kuwa darsa za Qur’ani na kidini pamoja na harakati nyingine za kiutamaduni zitaruhusiwa tena ndani ya misikiti.
Habari ID: 3474519    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/05