iqna

IQNA

covid 19
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Qatar imesema wanafunzi wa kiume wanaweza kurejea tena katika vituo vya kufunza Qur'ani Tukufu misikitini kuanzia Novemba Mosi.
Habari ID: 3474492    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/30

TEHRAN (IQNA)- Waislamu duniani kote wamepata furaha tele kuona Sala ya Ijumaa katika Misikiti Mitakatifu ya Makka na Madina imerejea katika hali ya kawaida huku waumini wakiwa wamejaa kikamilifu
Habari ID: 3474460    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/23

TEHRAN (IQNA)- Baada ya kusitishwa kwa muda wa takribani miezi ishirini jijini Tehran na katika miji na maeneo mengine ya Iran kutokana na maambukizi ya virusi vya corona, Swala ya Ijumaa imefanyika leo mjini Tehran ikishirikisha matabaka mbalimbali ya wananchi.
Habari ID: 3474458    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/23

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Oman wamepongeza hatua ya serikali kuruhusu tena Sala ya Ijumaa misikitini baada ya kufungwa kwa muda wa miezi 18 kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3474346    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/26

TEHRAN (IQNA)- Misikiti ya Oman imeidhinishwa kuanza tena Sala za Ijumaa baada ya kufungwa kwa muda wa mwaka moja na nusu kutokana na janga la maambukizi ya COVID-19.
Habari ID: 3474328    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/23

TEHRAN (IQNA) - Ofisi ya Sheikul Islam (SIO) nchini Thailand imeidhinisha kuanza kwa ibada kwenye misikiti katika jamii ambazo angalau 70% ya idadi ya watu wenye umri wa miaka 18 au zaidi wamepewa chanjo dhidi ya COVID-19.
Habari ID: 3474269    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/07

TEHRAN (IQNA)- Mamlaka ya Algeria iliamuru kufungwa kwa misikiti katika maeneo mengi ya nchi kutokana na ongezeko la maambukizi ya COVID-19, haswa aina mpya ya Delta.
Habari ID: 3474133    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/27

Kamanda Mkuu wa IRGC
TEHRAN (IQNA)- Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema mafanikio ya Iran katika uga wa sayansi yametokana na kutegemea mantiki ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474046    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/27

TEHRAN (IQNA)- Kwa mwaka wa pili mfululizo, Waislamu wamefunga saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani janga la COVID-19 likiwa limeenea duniani kote.
Habari ID: 3473879    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/05

TEHRAN (IQNA)- Rais Muhamadu Buhari huhudhuria darsa za tafsiri ya Qur'ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473837    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/21

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Ujerumani imeidhinisha adhana kupitia vipaza sauti misikitini katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kote katika nchi hiyo.
Habari ID: 3473836    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/21

TEHRAN (IQNA)- Nara ya Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka hii itakuwa ni “Tunakaribia Quds Zaidi ya Wakato Wowote Mwingine”.
Habari ID: 3473833    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/20

TEHRAN (IQNA)- Waislamu katika baadhi ya nchi wameanza Saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mnamo Aprili 13 baada ya mwezo mwandamo kuonekana Jumatatu katika baadhi ya maeneo ya dunia.
Habari ID: 3473808    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/13

Janga la virusi vya COVID-19
TEHRAN (IQNA)-Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unatazamiwa kuanza wiki ijayo na Wailsamu takribani milioni moja Uholanzi watajiunga na wenzao duniani katika kufunga Saumu.
Habari ID: 3473799    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/10

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Morocco imetangaza kuwa itatekeleza sheria ya kutotoka nje usiku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu nchini humo.
Habari ID: 3473797    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/09

TEHRAN (IQNA) - Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa hatua za utawala wa Israel kuzuia chanjo ya COVID-19 kufika Palestina.
Habari ID: 3473796    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/09

TEHRAN (IQNA)- Ufalme wa Saudi Arabia umesema Waislamu wanaokusudia kutekeleza ibada ya Umrah katika mwezi mtukufu wa Ramadhani ni sharti kwanza wapate chanjo ya COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473788    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/06

TEHRAN (IQNA) –Pakistan imetangaza maelekezo ya kufuatwa na Waislamu misikitini katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kuzuia kuenea corona au COVID-19.
Habari ID: 3473782    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/04

TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Imam Baqir AS nchini Ghana kimetoa misaada ya Hospitali ya Watu Wenye Matatizo ya Kiakili ya Accra.
Habari ID: 3473720    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/09

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemuelezea muuguzi kama malaika wa rehma; na akasema: Katika kipindi cha corona au COVID-19 na katika mazingira magumu mno ya jakamoyo na wasiwasi mkubwa zaidi kuliko ya hali ya kawaida, wauguzi wameweka kumbukumbu ya kazi kubwa na wamejituma na kufanya mambo ambayo kwa kweli ni ya kustaajabisha.
Habari ID: 3473475    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/20